Mkutano wa Trump na Zelensky waisha na sintofahamu

Mkutano wa Trump na Zelensky waisha na sintofahamu

incognitoTz

Senior Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
133
Reaction score
172
Februari 28, 2025, Donald Trump kupitia mtandao wa X, alimkashifu Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kutoheshimu nchi ya Marekani wakati wa mkutano wake na raisi huyo katika ikulu ya Marekani. Trump alimkosoa Zelensky juu ya kutoheshimu nchi hiyo kwa kuidharau ndani ya ofisi ya "oval" na kuongezea kuwa - "Anaweza kurudi kama atakuwa yuko tayari kwa Amani" -

Ukosaoaji huu umemuweka Zelensky aonekane kama mtu asiye na msimamo katika kutatua mgogoro kwa njia ya mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, jambo linalokinzana na msukumo wa Trump wa kutafuta muarobaini wa mgogoro huo kwa njia ya haraka.

Licha ya rais wa Ukraine kuonekana mtu mwenye kupenda kujibizana, kwenye hili ameonesha kukwepa mitego ya Trump inayolenga kumfarakanisha na watu wa Marekani.

Dakika thelathini tu baada ya kuondoka katika Ikulu ya Marekani alichapisha kwenye mtandao wa X, akiishukuru Marekani na kusisitiza "amani ya haki na ya kudumu" bila ya kujibu shutuma za Trump. Hii inaakisi mtazamo na nia yake ya tangu awali ya kutovunja mahusiano na nchi hiyo: Ukizingatia alipokaa kimya kipindi Trump alipomwita "dikteta" mnamo Februari, Zelensky aliikwepa hoja hiyo kwa kuto kumjibu Trump, huku akihamisha shutuma kwenye upotoshaji wa nchi ya Urusi.

Kujishikiria kwa Zelensky hakutokani na busara tu bali uhitaji wa kuihusisha marekani katika kuumaliza mgogoro wake na nchi ya Urusi.

Wakati mazungumzo ya amani yakiwa yanaendelea ni vyema kwa Ukraine kutopoteza kuungwa mkono na Wamarekani, ili kufanikisha hilo, rais Zelensky atapaswa kutanguliza diplomasia huku akipigania maslahi ya Ukraine kwenye mchakato huu wa makubaliano.
 
Ukraine hakuna mgogoro, bali ni kwamba Urusi iliivamia Ukraine na kujiemegea ardhi. Ukraine inapigana kulinda ardhi yake. Mazungumzo yalifanyika baina ya nchi za ulaya na Putin kabla hajafanya uvamizi huo, ila yeye akadanganya kuwa Urusi haina mpango wa kuivamia Ukraine. Hata baada ya kuanza uvamizi wenywewe kulikuwa na mkutano wa amani kule Minsky; Uruis wakawa kichwa ngumu. Wakarudia mkutano mwingine tena huko huko Minsky, bado urusi ikaweka ngumu, mkutano wa tatu ulifanyika Uturuki, bado Urusi akasimama pale pale kutaka serikali ya Ukraine iangushwe. Unakumbuka mikutano hii chini? Kwa hiyo tangu mwanzo mazungumzo yalifanyika lakini Urusi ndiye aliyesngangania vita. Sasa hivi siyo wakati wa maongezi tena baada ya kupigana miaka mitatu yote. Urusi inatakiwa ing'olewe kwa nguvu siyo kwa kubembelezwa tena. Kosa la Trump anafikiri kuwa Ukraine ya wakati inaanza kuvamiwa ndiyo ya leo, na ile Urusi ya wakati wa Soviet Union ndiyo ya leo.


1740784227879.jpeg



1740784274557.jpeg



Trump alikulia na kuzeekea New York na hivyo ana tabia zakimafia za kutishia na kulazimisa mambo. kama kwenye muvi hizi za wakati huo huko New York

1740785096017.png
1740785149583.png
1740785420068.png
 
Februari 28, 2025, Donald Trump kupitia mtandao wa X, alimkashifu Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kutoheshimu nchi ya Marekani wakati wa mkutano wake na raisi huyo katika ikulu ya Marekani. Trump alimkosoa Zelensky juu ya kutoheshimu nchi hiyo kwa kuidharau ndani ya ofisi ya "oval" na kuongezea kuwa - "Anaweza kurudi kama atakuwa yuko tayari kwa Amani" -

Ukosaoaji huu umemuweka Zelensky aonekane kama mtu asiye na msimamo katika kutatua mgogoro kwa njia ya mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, jambo linalokinzana na msukumo wa Trump wa kutafuta muarobaini wa mgogoro huo kwa njia ya haraka.

Licha ya rais wa Ukraine kuonekana mtu mwenye kupenda kujibizana, kwenye hili ameonesha kukwepa mitego ya Trump inayolenga kumfarakanisha na watu wa Marekani.

Dakika thelathini tu baada ya kuondoka katika Ikulu ya Marekani alichapisha kwenye mtandao wa X, akiishukuru Marekani na kusisitiza "amani ya haki na ya kudumu" bila ya kujibu shutuma za Trump. Hii inaakisi mtazamo na nia yake ya tangu awali ya kutovunja mahusiano na nchi hiyo: Ukizingatia alipokaa kimya kipindi Trump alipomwita "dikteta" mnamo Februari, Zelensky aliikwepa hoja hiyo kwa kuto kumjibu Trump, huku akihamisha shutuma kwenye upotoshaji wa nchi ya Urusi.

Kujishikiria kwa Zelensky hakutokani na busara tu bali uhitaji wa kuihusisha marekani katika kuumaliza mgogoro wake na nchi ya Urusi.

Wakati mazungumzo ya amani yakiwa yanaendelea ni vyema kwa Ukraine kutopoteza kuungwa mkono na Wamarekani, ili kufanikisha hilo, rais Zelensky atapaswa kutanguliza diplomasia huku akipigania maslahi ya Ukraine kwenye mchakato huu wa makabiliano.
Zelensky alitamani ardhi ipasuke azame chini kwa kusimangwa kama mtoto aliyejinyea mbele ya media kwa upumbavu wake wa kuingia vitani na Urusi taifa lenye nguvu kubwa Duniani kwa kutegemea silaha za misaada🤣🤣
 
Zelensky alitamani ardhi ipasuke azame chini kwa kusimangwa kama mtoto aliyejinyea mbele ya media kwa upumbavu wake wa kuingia vitani na Urusi taifa lenye nguvu kubwa Duniani kwa kutegemea silaha za misaada🤣🤣

Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
 
Baada ya kuitwa dikteta na Trump ,raisi Zelensky wa Ukraine alirudi nyuma kidogo na kuanza kumkubalia baadhi ya mambo aliyokuwa akidai raisi wa Marekani hasa hasa kuhusiana na kuruhusu madini muhimu ya Ukraine yaende Marekani.
Hata hivyo mambo yamechafuka vibaya baada ya Zelensky kufika ikulu akiwa na nia ya kusaini mkataba wenye masharti nafuu kwa Marekani kupata madini muhimu yanayopatikana Ukraine kwa wingi.
Wakiwa mbele ya waandishi wa habari maraisi hao wawili walifokeana kama watoto na kumfanya Zelensky avimbe na kuamua aondoke ikulu ya White house.
Aibu hiyo kubwa kwa Marekani inatokana na taifa hilo kulazimisha iuziwe madini ya Ukraine kwa bei chee ili kulipia gharama za vita ambazo hapo zamani ziliitwa msaada kwa Ukraine.
Kiasi cha pesa Marekani inachodai ni bilioni 180 japo Zelensky anasema hajapokea kiasi hicho kutoka Marekani.
1740803577898.png
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Si kweli kuwa Ukraine ikishindwa na Ulaya yote itatekwa na Urusi.
Urusi tangu mwanzo haikuwa na nia ya kuiteka hata Ukraine lakini ujinga na jeuri za Zelensky ndizo zilizoifanya Urusi iamue kuitia adabu kidogo.
Vita hivyo vimeonesha kuwa Ulaya yote ni dhaifu sana mbele ya Urusi lakini haina maana kuwa Urusi itathububu kujaribu kuteka maeneo ya nchi yoyote ya Ulaya iwapo kila mmoja ataonesha heshima kwao.
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Western propaganda, hamna ukweli katika hilo Western Europe is more imperialistic ni nature than Russia
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Ulaya ipi? Ulaya hii hii inayotegemea ulinzi wa Marekani?

Wewe unaijua vizuri Urusi??
 
Februari 28, 2025, Donald Trump kupitia mtandao wa X, alimkashifu Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kutoheshimu nchi ya Marekani wakati wa mkutano wake na raisi huyo katika ikulu ya Marekani. Trump alimkosoa Zelensky juu ya kutoheshimu nchi hiyo kwa kuidharau ndani ya ofisi ya "oval" na kuongezea kuwa - "Anaweza kurudi kama atakuwa yuko tayari kwa Amani" -

Ukosaoaji huu umemuweka Zelensky aonekane kama mtu asiye na msimamo katika kutatua mgogoro kwa njia ya mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, jambo linalokinzana na msukumo wa Trump wa kutafuta muarobaini wa mgogoro huo kwa njia ya haraka.

Licha ya rais wa Ukraine kuonekana mtu mwenye kupenda kujibizana, kwenye hili ameonesha kukwepa mitego ya Trump inayolenga kumfarakanisha na watu wa Marekani.

Dakika thelathini tu baada ya kuondoka katika Ikulu ya Marekani alichapisha kwenye mtandao wa X, akiishukuru Marekani na kusisitiza "amani ya haki na ya kudumu" bila ya kujibu shutuma za Trump. Hii inaakisi mtazamo na nia yake ya tangu awali ya kutovunja mahusiano na nchi hiyo: Ukizingatia alipokaa kimya kipindi Trump alipomwita "dikteta" mnamo Februari, Zelensky aliikwepa hoja hiyo kwa kuto kumjibu Trump, huku akihamisha shutuma kwenye upotoshaji wa nchi ya Urusi.

Kujishikiria kwa Zelensky hakutokani na busara tu bali uhitaji wa kuihusisha marekani katika kuumaliza mgogoro wake na nchi ya Urusi.

Wakati mazungumzo ya amani yakiwa yanaendelea ni vyema kwa Ukraine kutopoteza kuungwa mkono na Wamarekani, ili kufanikisha hilo, rais Zelensky atapaswa kutanguliza diplomasia huku akipigania maslahi ya Ukraine kwenye mchakato huu wa makabiliano.
Nimemwonea huruma sana bwana zelensky alivyokuwa anashambuliwa kama mpira wa kona na trump na vence. Barozi wake alikuwa kakaa upande wa audince mwanamama alikuwa hadi kajfunika uso na viganja. baadaye alienda fox news kuhojiwa bado akasema haoni haja ya kuomba msamaha kwa sababu haoni alipokosa jambo ambalo wengine wanadai ni kosa hakupaswa kufanya hiyo interview.
Sema mfano swali la kwanini hakuvaa suti sikuona kama ni mhimu maana toka vita ianze jamaa hapigi suti nadhani ni kama kuonyesha yuko vitani kazi kazi
 
Ukraine hakuna mgogoro, bali ni kwamba Urusi iliivamia Ukraine na kujiemegea ardhi. Ukraine inapigana kulinda ardhi yake. Mazungumzo yalifanyika baina ya nchi za ulaya na Putin kabla hajafanya uvamizi huo, ila yeye akadanganya kuwa Urusi haina mpango wa kuivamia Ukraine. Hata baada ya kuanza uvamizi wenywewe kulikuwa na mkutano wa amani kule Minsky; Uraris wakawa kicha ngumu. Wakarudia mkutano mwingine tena huko huko Minsky, bado urusi ikaweka ngumu, mkutano wa tatu ulifanyika Ankara Uturuki, bado Urusi akasimama pale pale kutaka Ukraine iangushwe. Unakumbuka mikutano hii chini? Kwa hiyo tangu mwanzo mazungumzo yalifanyika lakini Urusi ndiye aliyesngangania vita. Sasa hivi siyo wakati wa maongezi tena baada ya kupigana miaka mitatu yote. Urusi inatakiwa ing'olewe kwa nguvu siyo kwa kubembelezwa tena. Kosa la Trump anafikiri kuwa Ukraine ya wakati inaanza kuvamiwa ndiyo ya leo, na ile Urusi ya wakati wa Soviet Union ndiyo ya leo.


View attachment 3254062


View attachment 3254063


Trump alikulia na kuzeekea New York na hivyo ana tabia zakimafia za kutishia na kulazimisa mambo. kama kwenye muvi hizi za wakati huo huko New York

View attachment 3254067View attachment 3254068View attachment 3254074
Ww unajulikana kwa chuki zako dhidi ya Urusi hivyo hatukushangai kwa lolote juu ya haya uliyo yaandika.
Kabla ya Urusi kuivamia Ukraine iliiambia Marekani na Ukraine kuwa itoe hakikisho la kusheria kuwa Ukraine haitajiunga na nato kamwe lakini Marekani na Zelenskyy wakakataa.

Bado kwenye mazungumzo ya Istanbul Uturuki, Urusi na Ukraine walikuwa wamesha fikia makubaliano tena wenye unafuu mkubwa kwa Ukraine, ambayo ilikuwa ni Ukraine kutojiunga na Nato na kuyapa uhuru wa ndani majimbo mawili ya Donesk na Luhgansik mpaka Urusi ikaondoa wanajeshi wake walio kuwa wameizunguka Kiev lakini Baden na Jonson walimkataza Zelenskyy kuyasaini makubaliano hayo na kumuambia aendelee kupambana watamsaidia mpaka ashinde.
Acha kujitungia maneno.
 
Zelensky alitamani ardhi ipasuke azame chini kwa kusimangwa kama mtoto aliyejinyea mbele ya media kwa upumbavu wake wa kuingia vitani na Urusi taifa lenye nguvu kubwa Duniani kwa kutegemea silaha za misaada[emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo wewe na wafia dini wenzako mlitaka Zelesky aikabidha nchi yake kwa Urusi kiroho safi swala linabaki Urusi aliivamia Ukraine na kujimegea maeneo na Zelesky anaitetea nchi yake sioni kosa lake liko wapi nyie wanafiki mnapeleka lawama kwa mwathiriwa na kumtetea jambazi Putin aliyeanzisha vita vya kumega maeneo ya ukraine
 
Si kweli kuwa Ukraine ikishindwa na Ulaya yote itatekwa na Urusi.
Urusi tangu mwanzo haikuwa na nia ya kuiteka hata Ukraine lakini ujinga na jeuri za Zelensky ndizo zilizoifanya Urusi iamue kuitia adabu kidogo.
Vita hivyo vimeonesha kuwa Ulaya yote ni dhaifu sana mbele ya Urusi lakini haina maana kuwa Urusi itathububu kujaribu kuteka maeneo ya nchi yoyote ya Ulaya iwapo kila mmoja ataonesha heshima kwao.
waislamu mbona mmekuwa watetezi wa Urusi Kila nikiangalia cometi ya kumponda Zelesky na kumuunga mkono Putin ni watu wenye majina ya kiarabu
 
Tuache uswahili nani kagombezwa kama mtoto hali yakua huo ni uongeaji wakawaida wa Trump
Kwahiyo mtu kuelekezwa na kupewa ushauri kidogo tu tayari kagombezwa😁😁😁
 
JP Magufuli tu alikuwa anaogopwa na Trump. Kwenye vita ya Corona Trump aliiga kila kitu kutoka kwa Magufuli ikiwemo maombi ya siku tatu.
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Hizo ni propaganda za West! Kama Ukraine ingekubali kutii mkataba wa Minsky 2014 vita isingetokea!
Russia ilishasema sana kuwa haina mpango wa kuivamia Ulaya.
Unachozungumza ni kinyume kabisa!
Sema Russia imefanikiwa kuwachonganisha maadui zake,Zelensky,EU na US!
 
Zelensky alitamani ardhi ipasuke azame chini kwa kusimangwa kama mtoto aliyejinyea mbele ya media kwa upumbavu wake wa kuingia vitani na Urusi taifa lenye nguvu kubwa Duniani kwa kutegemea silaha za misaada🤣🤣
Tena wana mwambia kukurupuka kwako kunaweza sababisha vita ya 3 ya dunia zele anatoa macho tu 🤣🤣🤣🤣

Wale wasenge akili hawana kmmk
 
Tuache uswahili nani kagombezwa kama mtoto hali yakua huo ni uongeaji wakawaida wa Trump
Kwahiyo mtu kuelekezwa na kupewa ushauri kidogo tu tayari kagombezwa😁😁😁
Kagombezwa bwana acha basiii huoni kuwa walikuwa wanabishana kabisa mpaka zele akawa kama anataka kususa kwanini mnapenda kuuficha ukweli ??


Leo hii zele yupo uchi dunia nzima clip yake akigombezwa inatembea watu wana mcheka 🤣🤣😃
 
Back
Top Bottom