Mkutano wa Trump na Zelensky waisha na sintofahamu

Mkutano wa Trump na Zelensky waisha na sintofahamu

Trump kaamua waziwazi kusimama upande wa Putin, huyu Mzee atawavuruga kweli kweli Ulaya magharibi na NATO yao.
Well ulaya wameshachukua stance yao, hatowavuruga kama anavyodhani
 
Ww unajulikana kwa chuki zako dhidi ya Urusi hivyo hatukushangai kwa lolote juu ya haya uliyo yaandika.
Kabla ya Urusi kuivamia Ukraine iliiambia Marekani na Ukraine kuwa itoe hakikisho la kusheria kuwa Ukraine haitajiunga na nato kamwe lakini Marekani na Zelenskyy wakakataa.

Bado kwenye mazungumzo ya Istanbul Uturuki, Urusi na Ukraine walikuwa wamesha fikia makubaliano tena wenye unafuu mkubwa kwa Ukraine, ambayo ilikuwa ni Ukraine kutojiunga na Nato na kuyapa uhuru wa ndani majimbo mawili ya Donesk na Luhgansik mpaka Urusi ikaondoa wanajeshi wake walio kuwa wameizunguka Kiev lakini Baden na Jonson walimkataza Zelenskyy kuyasaini makubaliano hayo na kumuambia aendelee kupambana watamsaidia mpaka ashinde.
Acha kujitungia maneno.
Wewe ndiye unayejitungia maneno kwani hukuwapo kwenye mkutano huo. Mwenyekiti ya mkutano alikuwa Waziri wa Mambo ya nje wa Turkey Cavusoglu, ambaye hakubaliani na madai unayosema. Mpaka leo Rais wa Turkey yuko upande wa Ukraine na wala hakunbaliani na propaganda za Urusi. Watu walikomalia kwenye mazingira ya propaganda hudhani kuwa wao ndio wanajua kila kitu na kutaka kuwaambukiza wengine mawazo yao. Mikutano yote iliyofanyika kabla ya uvamizi na hata baada ya uvamizi iko documented vizuri sana kwani ni mika amitatu tu iliyopita.

Unapodai walifikia makubalino yenye unafuu kwa Ukraine ni matokeo ya kutoamaini kuwa Ukraine ni nchi huru yenye haki ya kujiamlia mambo yake, lakini Urusi inalazimisha kujipa jukumu la kuamua mambo ya Ukraine wakati raia wa urusi wana masisha magumu sana. Mwanzoni mwa vita kuna askari wa urusi walikuwa wanakutwa wameiba vitu kama chupi na miswaki kuonyesha kuwa vitu hivyo vilikuwa ni hadimu huko kwao.

Uchumi wa Urusi kwa mwaka jana ulikuwa ni $2.02 trilion; huo ni sawa na nusu ya ya uchumi wa jimbo la California tu ambao ni $4.0 trilion na chini ya uchumi wa France, UK, Germany na Itally; lakini bado inataka iwe na influence kwenye mambo ya nchi nyingine. Kama alivyoshindwa Syria, hata Ukraine mambo yatakuwa vivyo hivyo hata kama trum atamsaidia.
 
Wewe ndiye unayejitungia maneno kwani hukuwapo kwenye mkutano huo. Mwenyekiti ya mkutano alikuwa Waziri wa Mambo ya nje wa Turkey Cavusoglu, ambaye hakubaliani na madai unayosema. Mpaka leo Rais wa Turkey yuko upande wa Ukraine na wala hakunbaliani na propaganda za Urusi. Watu walikomalia kwenye mazingira ya propaganda hudhani kuwa wao ndio wanajua kila kitu na kutaka kuwaambukiza wengine mawazo yao. Mikutano yote iliyofanyika kabla ya uvamizi na hata baada ya uvamizi iko documented vizuri sana kwani ni mika amitatu tu iliyopita.

Unapodai walifikia makubalino yenye unafuu kwa Ukraine ni matokeo ya kutoamaini kuwa Ukraine ni nchi huru yenye haki ya kujiamlia mambo yake, lakini Urusi inalazimisha kujipa jukumu la kuamua mambo ya Ukraine wakati raia wa urusi wana masisha magumu sana. Mwanzoni mwa vita kuna askari wa urusi walikuwa wanakutwa wameiba vitu kama chupi na miswaki kuonyesha kuwa vitu hivyo vilikuwa ni hadimu huko kwao.

Uchumi wa Urusi kwa mwaka jana ulikuwa ni $2.02 trilion; huo ni sawa na nusu ya ya uchumi wa jimbo la California tu ambao ni $4.0 trilion na chini ya uchumi wa France, UK, Germany na Itally; lakini bado inataka iwe na influence kwenye mambo ya nchi nyingine. Kama alivyoshindwa Syria, hata Ukraine mambo yatakuwa vivyo hivyo hata kama trum atamsaidia.
Huo uhuru wa nchi kujiamlia mambo bila kuingiliwa mbona huwa hamuuoni kwa Iran, Venezuela, N.korea, na nchi zote zenye misimamo inayo pinga itikadi za kimagharibi?
Au mtu ukishakuwa mfuasi wa nchi za Magharibi automatically unakuwa malaika kwa hiyo kila unacho kifanya ndo kipimo cha haki?
Nyinyi watu wenyewenyewe mitizamo ya kimagharibi mna unafiki mwingi,Ukraine ina haki ya kujiunga na Nato kwa sababu ni taifa huru ila wakati huo Iran haina haki ya kutengeneza silaha za nyukilia kuwalinda raia wake?
 
Uchumi wa Urusi kwa mwaka jana ulikuwa ni $2.02 trilion; huo ni sawa na nusu ya ya uchumi wa jimbo la California tu ambao ni $4.0 trilion na chini ya uchumi wa France, UK, Germany na Itally; lakini bado inataka iwe na influence kwenye mambo ya nchi nyingine. Kama alivyoshindwa Syria, hata Ukraine mambo yatakuwa vivyo hivyo hata kama trum atamsaidia.
Nadhani Ulaya,Japan, Korea kusini , Filipino,Taiwan wamepata somo kubwa kuhusu madhara ya kuitegemea mno Marekani kiulinzi....

Sasa watajitahid mno kusimama peke yao.

T14 Armata Drifter FRANC THE GREAT Gwappo Mwakatobe
 
Nadhani Ulaya,Japan, Korea kusini , Filipino,Taiwan wamepata somo kubwa kuhusu madhara ya kuitegemea mno Marekani kiulinzi....

Sasa watajitahid mno kusimama peke yao.

T14 Armata Drifter FRANC THE GREAT Gwappo Mwakatobe

Ni kweli kuwa hali hiyo imetia mashaka makubwa sana kwa washiriki wa Marekani kuhusu kuitegemea marekani

Kiukweli tatizo ni Marekani kama nchi bali tatizo kubwa ni Trump mwenyewe, na imeonyesha mapungufu kwenye mfumo wa utawala wa marekani. Kwa miaka zaidi ya 300 ya Uhuru wa Marekani, rais mpya alikuwa anaheshimu maamuzi yaliyofanywa na mtangulizi wake. Ni Trump tu ndiye amekwenda kinyume na utaratibu huo ambao ulijengwa kwa kuamini kuwa rais ni mtu mwenye busara.

Kumbuka pia kuwa ni Trump tu ndiye mtu pekee aliyegombea na kushinda urais huku kisheria akiwa na hatia! Sasa hivi serikalini amefukuza watu wote ambao wangeweza kumshauri vizuri lakini ana ego fulani ya "much know" hataki kusikiliza ushauri zaidi ya kusifiwa. Hata kwenye malumbano ya jana, alikuwa anataka ashukuriwe yeye kama Trump kwa kuepelea javelin siyo kuishukuru Marekani.

Leo asubuhi nilikuwa namsikiliza mtu fulani kwenye LBC akisema kuwa trump analenga kupata Nobel Peace Prize kwa kumaliza vita hiyo, bila kujali madahara yake, lakini anaona kama Zelensky anamwekea kiwingu. Vile vile kuna mtu aliyesema kuwa Trump alikuwa asset ya KGB kuanzia miaka ya themanini.

1740862228606.png
 
Huo uhuru wa nchi kujiamlia mambo bila kuingiliwa mbona huwa hamuuoni kwa Iran, Venezuela, N.korea, na nchi zote zenye misimamo inayo pinga itikadi za kimagharibi?
Au mtu ukishakuwa mfuasi wa nchi za Magharibi automatically unakuwa malaika kwa hiyo kila unacho kifanya ndo kipimo cha haki?
Nyinyi watu wenyewenyewe mitizamo ya kimagharibi mna unafiki mwingi,Ukraine ina haki ya kujiunga na Nato kwa sababu ni taifa huru ila wakati huo Iran haina haki ya kutengeneza silaha za nyukilia kuwalinda raia wake?
Wewe ni Asset kwani unarudia maneno ya Putin one on one. Unatoa mifano isyofanana kabisa. Mifano yako ingekuwa na nguvu iwapo ungeonyesha nchi ambayo ilimegwa na nchi za magharibi kwa nguvu. Mengine yote ni bla blah tu.

Marekani ingekuwa Urusi ni wazi kuwa nchi za Cubna Venezuela zingeshachukuliwa kwa nguvu.

Unavyoandika kwa kugeneralize ni dalili ya kutokutumia akili bali unatumia mishipa ya shingo.
 
Uko sahihi
Kwa mantiki ya Putin, kama nchi jirani zisipokubaliana na matakwa yake basi anazivamia na kuzichukua kwa nguvu kuzifanya sehemu ya urusi. Cuba na Venezuela hazikubaliani nsa matakwa ya Marekani lakini Marekani haijazivamia kama Putin alivyofanya Ukraine na Georgia
 
Huo uhuru wa nchi kujiamlia mambo bila kuingiliwa mbona huwa hamuuoni kwa Iran, Venezuela, N.korea, na nchi zote zenye misimamo inayo pinga itikadi za kimagharibi?
Au mtu ukishakuwa mfuasi wa nchi za Magharibi automatically unakuwa malaika kwa hiyo kila unacho kifanya ndo kipimo cha haki?
Nyinyi watu wenyewenyewe mitizamo ya kimagharibi mna unafiki mwingi,Ukraine ina haki ya kujiunga na Nato kwa sababu ni taifa huru ila wakati huo Iran haina haki ya kutengeneza silaha za nyukilia kuwalinda raia wake?
Utakuwa una matatizo makubwa sana akilini mwako.
Hivi hizi Nchi ulizozitaja ni Nchi nzuri za kuzitolea mifano katika masuala haya ya Utawala Bora wa Sheria, Haki za kiraia na Demokrasia???? Kweli?

Nchi hizi za Iran, Venezuela, na Korea ya Kaskazini zote kabisa kwa Sasa na kwa muda mrefu Sana zimekuwa na Watawala makatili wa kifashisti wenye Misimamo mikali na iliyo potofu ya Kikomunisti/Ujamaa. Je, Hao wanaweza kuwa mifano bora?
 
Nadhani Ulaya,Japan, Korea kusini , Filipino,Taiwan wamepata somo kubwa kuhusu madhara ya kuitegemea mno Marekani kiulinzi....

Sasa watajitahid mno kusimama peke yao.

T14 Armata Drifter FRANC THE GREAT Gwappo Mwakatobe
Hizo nchi zote ulizo zitaja zinailipa mabilion ya $ kwa Marekani kila mwaka hata silaha wanazo pewa wananunua sio kama Ukraine inayo taka kupewa bure.
 
Wewe ni Asset kwani unarudia maneno ya Putin one on one. Unatoa mifano isyofanana kabisa. Mifano yako ingekuwa na nguvu iwapo ungeonyesha nchi ambayo ilimegwa na nchi za magharibi kwa nguvu. Mengine yote ni bla blah tu.

Marekani ingekuwa Urusi ni wazi kuwa nchi za Cubna Venezuela zingeshachukuliwa kwa nguvu.

Unavyoandika kwa kugeneralize ni dalili ya kutokutumia akili bali unatumia mishipa ya shingo.
Kwa hiyo kumbe nchi hairuhusiwi kumega nchi nyingine ila wakati huo inaruhusiwa kuvamia nchi nyingine na kuuwa mamilion na kufanya uharibifu dhidi ya nchi hizo kama wafanyavyo hao mabwana zako sio?
Marekani si aliivamia Mexico na kuteka maeneo makubwa ya nchi hiyo na mpaka sasa ni maeneo yake?
Au ww mbona huwa unachekelea na kushangilia uporaji wa ardhi unao fanywa na Israel?
Umeondoka kwenye hoja ya kupangiwa umekimbilia kwenye hoja ya kumegwa ardhi?
Kwani kabla Ukraine kuonesha nia ya kujiunga na Nato Urusi ilikuwa imesha mega ardhi yeyote ndani ya Ukraine?

Hapa hoja sio kumegwa hoja uliyo ileta ww ni Ukraine ni nchi huru hivyo ina haki ya kujiamulia mambo yake kama taifa huru, sasa ndo nakuuliza kwanini hiyo haki ya kujiamulia iwe nayo Ukraine na sio Iran ?maana hata sasa hivi Urusi ikirudisha maeneo ya Ukraine yote kwa makubaliano ya Ukraine kutojiunga na nato bado atakuwa amepangiwa cha kufanya.
Jibu maswali kwa hoja acha kuruka ruka.
 
Utakuwa una matatizo makubwa sana akilini mwako.
Hivi hizi Nchi ulizozitaja ni Nchi nzuri za kuzitolea mifano katika masuala haya ya Utawala Bora wa Sheria, Haki za kiraia na Demokrasia???? Kweli?

Nchi hizi za Iran, Venezuela, na Korea ya Kaskazini zote kabisa kwa Sasa na kwa muda mrefu Sana zimekuwa na Watawala makatili wa kifashisti wenye Misimamo mikali na iliyo potofu ya Kikomunisti/Ujamaa. Je, Hao wanaweza kuwa mifano bora?
Ww ni mjinga wa kuwango cha juu kwa hiyo hizo nchi ulizo zitaja hazina utawala wa sheria unao waongoza ila wanaishi kama wanyama sio?
Nenda Iran kabake, kauze madawa ya kulevya, kafanye ufisadi ndo utajua ni nchi inayo ongozwa kwa utawala wa sheria au la.
Kama Ukraine ina haki ya kujiamulia mambo yake kwanini hizo nchi ulizo zitaja zisiwe na haki kujiamulia ni mfumo gani wanao uona unawafaa kujiongoza unarazimisha ni lazima waongozwe na mifumo ya kimagharibi?
Au ni kitabu gani cha dini kinacho sema kuwa mfumo ya kimagharibi ndo mfumo bora na ya haki na mifumo mingine ni mibaya?
Au ww nchi yako Tz, kenya, Malawi, zambia ambazo zinaongozwa na mifumo ya kimagharibi zina nini cha maana kuizidi Iran, Qtaar, China, Singapore, UAE, Saudia, kuwait ?
 
Usalama wa Ukraine ndio Usalama wa bara lote la Ulaya, hususani Ulaya Magharibi.

Ukraine ikishindwa Vita maana yake ni kwamba Ulaya yote kabisa itakuwa imetekwa na Urusi. Hili litakuwa jambo baya sana tena ni jambo la hatari kubwa sana kupita kiasi kwa maisha ya Watu wote kabisa wa bara la Ulaya.
Kwa hali kama hiyo, ni Bora Watu wa Ulaya waingie katika Vita ya Tatu ya dunia kuliko kuruhusu Urusi ishinde Vita hiyo.
Kwanza kabisa, lengo Kuu mojawapo la kuanzishwa kwa NATO ilikuwa ni kupambana na Udikteta wa Watawala wababe wa Urusi.

Urusi ikishinda Vita hii, bado ataendelea kuteka maeneo mengine zaidi na zaidi hadi Ulaya yote kabisa iwe chini ya Utawala wa Urusi, Putin hataishia kuiteka Ukraine peke yake.
Vp nawe utakuwa vitan???
 
Kwa mantiki ya Putin, kama nchi jirani zisipokubaliana na matakwa yake basi anazivamia na kuzichukua kwa nguvu kuzifanya sehemu ya urusi. Cuba na Venezuela hazikubaliani nsa matakwa ya Marekani lakini Marekani haijazivamia kama Putin alivyofanya Ukraine na Georgia
Ni nchi gani imefanywa sehemu ya Urusi?
 
Back
Top Bottom