Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Kwani kuna ajabu hapo mbona wizi ni jadi ya CCM! Mpango akae chonjo anaweza kuibwa mwenyewe!Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
Asihofu ndugu Mc ataipata simu yakeπ€Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
Mkutano wa majambazi unategemea nini sasa!!!
π π π mkutano wanakusanya wahuni na wavuta bangi woote wa kariakooKwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
Ccm kila kona inaambulia aibuMkutano wa majambazi unategemea nini sasa!!!
Kama zamani habari kama hii Polisi wangemtafuta mleta uzi.Kwani Bavicha walipewa mwaliko?
Dr Mpango aondoke haraka hiyo ni dalili mbaya sana. Na ni dharau pia kwa makamu wa RaisKwani kuna ajabu hapo mbona wizi ni jadi ya CCM! Mpango akae chonjo anaweza kuibwa mwenyewe!
Tupo Ikungi hatuna mda na hao maccm majizi.Kwani Bavicha walipewa mwaliko?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
Ujuavyo mwezi akiibiwa huhisi maumivu makali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tupieni habari za huko hali ikoje?Tupo Ikungi hatuna mda na hao maccm majizi.
π π πUjuavyo mwezi akiibiwa huhisi maumivu makali