Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Yaani hapo hadi makamu wa rais asachiwe.Wezi ni wezi tu.Waanze kumsachi huyo mc,waendelee hivyohivyo kwa wote.Fula-pigmies!πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hapo hadi makamu wa rais asachiwe.Wezi ni wezi tu.Waanze kumsachi huyo mc,waendelee hivyohivyo kwa wote.Fula-pigmies!πππππ
Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
mkutano wa ma[emoji238][emoji238]
wao wanavoiba huhisi tunaoibiwa hatuna maumivu makali[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapa uko sawa kabisa mkuuCCM wana uwezo wa kijiibia wenyewe sembuse mali ya serikali ndiyo wanakwapua yote kabisa!
Hata mm nina wasiwasi huo , jamaa zetu wamechokwa kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo picha hapo ni mhe Lissu akiwa njiani kuelekea Ikungi na halisimamishwa na wananchi wakimtaka awasalimie ndo aendelee na safari...alafu umeliwa zako kiboga huko unakuja hapa unasema chadema imekufa [emoji12][emoji23][emoji12][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kwa hali hii watazuia tena mikutano
π π πHata mm nina wasiwasi huo , jamaa zetu wamechokwa kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo picha hapo ni mhe Lissu akiwa njiani kuelekea Ikungi na halisimamishwa na wananchi wakimtaka awasalimie ndo aendelee na safari...alafu umeliwa zako kiboga huko unakuja hapa unasema chadema imekufa [emoji12][emoji23][emoji12]View attachment 2507326
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo leo Katibu Mwenezi ata feel pinchwao wanavoiba huhisi tunaoibiwa hatuna maumivu makali
Hiyo simu bado hawajaipata hadi sahizi?Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa.
MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane.
Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
Zuchu ndiyo alipewa mwalikoKwani Bavicha walipewa mwaliko?