Mkutano wa Wadau wa Demokrasia: Kikosi Kazi chawaita wenye maoni kuyawasilisha

Mkutano wa Wadau wa Demokrasia: Kikosi Kazi chawaita wenye maoni kuyawasilisha

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Walio na Maoni kuhusu masuala mbalimbali yaliyoainishwa baada ya Mkutano wa Wadau wa Demokrasia uliofunguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 wametakiwa kuyawasilisha kwa Kikosi Kazi kilichoundwa

Masuala makuu 9 yaliyoainishwa na Kikosi hicho ili kuwasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi ni pamoja na Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara na ndani ya Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Uchaguzi, Rushwa na Maadili katika Siasa/Uchaguzi na Elimu ya Uraia

DF6F31F9-76E0-4568-A4AF-0C1A55A465EB.jpeg

63F100AE-F7ED-44C9-83F8-27CDAA7952DE.jpeg
 
Maoni yatachukua mwaka mzima kuchakatwa kama kupatikana usajili wa muda wa Umoja Party.

JF waanzishe uzi maalumu kwa ajili ya wadau kutoa maoni. Sheria ipi ya Katiba ya JMT iliyoanzisha Kikosi kazi cha muundo huu wa Kikosi kazi cha wadau wa Demokrasia?
 
Msajili wa vyama vingi ndiyo katibu wa kikosi kazi / task force .

Kweli maoni yetu atayabeba kama yalivyo au ata edit au kuyatupa kapuni kuwa siyo kipaumbele cha wakubwa waliomteua kuwa ktk ofisi ya msajili wa vyama.
 
Walio na Maoni kuhusu masuala mbalimbali yaliyoainishwa baada ya Mkutano wa Wadau wa Demokrasia uliofunguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 wametakiwa kuyawasilisha kwa Kikosi Kazi kilichoundwa

Masuala makuu 9 yaliyoainishwa na Kikosi hicho ili kuwasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi ni pamoja na Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara na ndani ya Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Uchaguzi, Rushwa na Maadili katika Siasa/Uchaguzi na Elimu ya Uraia

View attachment 2200466

View attachment 2200469
Mbona wamepika maoni ya wajumbe wao. Hata yetu si wapike tu. Wasiingie gharama.
 
No !NO! NOo..Maoni ya wananchi yapo kwenye time ya Warioba.Msitupotezee muda na fedha Hapa.Wajumbe wa Bunge la Katiba walitugeuka,wakachakachua maoni ya tume ya warioba,wakaja na Katiba ya Marehemu Samweli Sita.Sisi wananchi wanyonge ambao Sio wa level ya utawala,MAONI YETU TUNAMUACHIA MUNGU,MAANA NDIYE MWENYE KUAMUA KWA HAKI."AKISEMA NO ! HAKUNA WA KUSEMA YES.NA AKISEMA YES,HAKUNA WA KUSEMA NO! nyie Subirini,mtaziona nguvu zake kwa Mara nyingine.
 
Walio na Maoni kuhusu masuala mbalimbali yaliyoainishwa baada ya Mkutano wa Wadau wa Demokrasia uliofunguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 wametakiwa kuyawasilisha kwa Kikosi Kazi kilichoundwa

Masuala makuu 9 yaliyoainishwa na Kikosi hicho ili kuwasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi ni pamoja na Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara na ndani ya Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Uchaguzi, Rushwa na Maadili katika Siasa/Uchaguzi na Elimu ya Uraia

View attachment 2200466

View attachment 2200469

Mbona mikutano ya kisiasa ilikuwa inafanyika maoni ya Nini Tena?. Katiba ipo wazi na sheria ipo wazi. Kilichobakia ni kuruhusiwa mikutano IENDELEE maoni ya nini Tena.
 
Back
Top Bottom