beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Walio na Maoni kuhusu masuala mbalimbali yaliyoainishwa baada ya Mkutano wa Wadau wa Demokrasia uliofunguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Desemba 2021 wametakiwa kuyawasilisha kwa Kikosi Kazi kilichoundwa
Masuala makuu 9 yaliyoainishwa na Kikosi hicho ili kuwasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi ni pamoja na Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara na ndani ya Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Uchaguzi, Rushwa na Maadili katika Siasa/Uchaguzi na Elimu ya Uraia
Masuala makuu 9 yaliyoainishwa na Kikosi hicho ili kuwasilishwa Serikalini na kufanyiwa kazi ni pamoja na Mfumo wa Maridhiano, Katiba Mpya, Mikutano ya hadhara na ndani ya Vyama vya Siasa, Masuala yanayohusu Uchaguzi, Rushwa na Maadili katika Siasa/Uchaguzi na Elimu ya Uraia