Mkutano wa Wafanyabiashara Kariakoo na Serikali

GeoMex

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
5,431
Reaction score
19,913
Inatia moyo kwakweli nadhani tunafungua kurasa mpya sasa. Kama watasikiliza na watakua tayari kutekeleza maoni. At least tutawashuhudia Herufi Tatu(TRA) wakija kwa majadiliano bila kuwa na FFU na makofuli ya kufunga fremu kwa kipindi kirefu sana

Ila kama ni mkutano tu kama mingine iliyopita basi ni kupoteza muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…