Mkuu umenikosea sana kwenye Xmas

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Nakualika kama mtu wa karibu.

Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?

Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.

SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.
 
Nakualika kama mtu wa karibu.

Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?

Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.

SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.
Acha uchoyo ndugu.
Kumbuka unapomualika mtu hasa kwenye christmass hakikisha una chakula cha kutosha kwasababu matumbo yanapishana.
Unamualika msukuma unategemea atakula kama mjita?
 
Nakualika kama mtu wa karibu.

Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?

Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.

SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.
🤣🤣🤣🤣🌅
 
Mkuu wewe mwenyewe unajua nimetoka mkoa na hii ndio Xmas yangu ya kwanza mjini. Sikua najua kama ile ni portion ya familia nzima nilijua ni ya kwangu pekee hivyo nikapakua kwa kujishtukia.

Nyie watu wa mjini mnakula kwa kujinyima aseeh na umeamua kuja kunisema huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…