ukirudia tena nalamba kipoti chote...na jikoni naenda kufata ukoko,tusileteane masihara tangu lini mtu anapika robo tatu siku ya sikukuuNakualika kama mtu wa karibu.
Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?
Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.
SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.
Mkuu sitaki kukuona tena kwangu.Mkuu wewe mwenyewe unajua nimetoka mkoa na hii ndio Xmas yangu ya kwanza mjini. Sikua najua kama ile ni portion ya familia nzima nilijua ni ya kwangu pekee hivyo nikapakua kwa kujishtukia.
Nyie eatu wa mjini mnakula kwa kujinyima aseeh
Mi ntakuja tu mkuu kumsalimia mkeo na wanao ni ndugu zangu pia.Umenikosea sana Mkuu, sitaki kukuona tena kwangu.
Asubuhi umekunywa chai, imefika saa 7 mchana tumbo limepata njaa, umekula usiku tena tumbo linadai😀😀😀😀Kwa alichokifanya sitaki kumuona tena kwangu.
Kanikosea sana MkuuNdo umekuja kumnanga huku? Hahahahaaa....
Hahaha nomah sanaAlafu jirani huu ubwabwa shem kaupatia sana yaniii EM FUNUA HOTPOT NCHUKUE NDIZI NA TIKITI hizo nyama nazo unabakiza kwani una wageni wengine?
HAPO NAKULA MASHAVU YOTE YAMEJAA NATAFUNA NYAAM NYAAM
Hata kama Mkuu, huyu mtu sitaki kumuona tena kwangu.Asubuhi umekunywa chai, imefika saa 7 mchana tumbo limepata njaa, umekula usiku tena tumbo linadai😀😀😀😀
Hapo sioni kosa lake kwasababu amekula kwa uwezo wake. Ungechukia endapo chakula hajakimaliza yaani amekula kidogo.
Kwa hali hiyo utaweza kuishi na ndugu wa kwenu na wa mkeo?
Bora ungenyamaza ila kwakuwa umeamua kumwaga ugali mm namwaga mboga,Nakualika kama mtu wa karibu.
Nakukaribisha chakula, unapakua Nusu hotpot kweli?
Unajua tupo wanne mezani lakini unapakuwa chakula nusu Hotpot peke yako.
SIJAPENDA MKUU, NA HUU NDIO MUALIKO WAKO WA MWISHO SITAKI KUKUONA TENA KWANGU.
Kuwa na huruma ndugu. Huenda jana alilala na njaaHata kama Mkuu, huyu mtu sitaki kumuona tena kwangu.
Mkuu utakutana na Mbwa/Mlinzi getini.Bora ungenyamaza ila kwakuwa umeamua kumwaga ugali mm namwaga mboga,
Nasemaje Mwaka mpya nakuja Tena kwako jipange nakuja na wanangu wa faida watatu itabidi uombe media ya Ayo Tv Ili malalamiko Yako yaenee Kwa haraka.