Mkuu wa chuo cha SAUT Mwanza ajiuzulu

Status
Not open for further replies.
Sio hivyo tu kuna mambo yanatia hasira sana chuoni hapo. Repeaters wa mitihani mbali na kilipia ada kubwa ya kurudia masomo. Majibu yao yameshikiliwa hadi walipe kiasi cha tsh 50000 tena ili wapate matokeo yao ati inaitwa ada ya usumbufu. Tutatoa ila wajue mtetezi wa Wanyonge ipo siku atasimama tu na udhalimu huu utaisha. Amini.
 
Mtoa mada ni MUONGO MKUBWA, SAUT hakuna lecturer anayeitwa SLAA, ametumia jina la watu vibaya. Tujihadhari na taarifa hizi kwani ni za uongo

Kwa kweli mtoa mada sio vizuri kudanganya umma.
 

Kama kawaida yenu mapadre kuficha ukweli kwa ufanisi na utashi wa hali ya juu sana..! Niwatu mnao uogopa sana ukweli unaowadhalilisha mnacho kifanya nikucheza na mind za audience wenu.

Sio muda mrefu tutasikia aliekuwa VC wa SAUT amepelekwa Ufaransa kuna kazi muhimu kaenda kuifanya.

Mwaka jana nimemaliza SAUT, wale mapadre wanapiga dili la pesa kwa wanafunzi wao....Kunajamaa alipigwa penalty la laki1 kwa deni la Sh.2500 ambapo jamaa alijichanganya mahesabu akajua amemaliza tution fee kilipofika kipindi cha mitihani anaenda kufuata exams ID anaambiwa anadeni la Sh.2500 ambayo anatakiwa kulipa na penalty ya100000 kwa kushindwa kumeet deadline....it is paining!!!

Sina hakika kama huyo mleta maada ndiye mwenye hilo jina hapo chini, ila huyo Silaa ndiye aliekuwa supervisor wangu wa research mwaka jana na alinifundisha research methodology nilipo kuwa mwaka wa pili...
 
vyuo vyote vya SAUT ni wezi wakubwa tena si watu wa dini kama tunavyofikiri
 

Saut hakuna lecturer anaitwa SLAA,taarifa yako ni ya uongo na kutunga,usipotoshe umma kwa nia ovu
 
Tusaidiane kuweka kumbukumbu sawa, aliyejiuzulu ni Mkuu wa Chuo (Chancellor) au Makamu Mkuu wa Chuo (Vice Chancellor)???
 

Mbona nimeskia huyo principal amekula hela hapo kakimbia mwenyewe...
 
public relation

Acha kudanganya wewe shigegele, hata jina la somo hujui,hakuna public relation kuna public relations, mwalimu wa PR aliyekuwepo ni SILAA na si SLAA,na hayupo SAUT tangu november 15,2013.
 
Hata unachokifundisha hujui kinaitwaje, ...Relation au ...Relations???!!!

A Father achana na huyo mwehu shigegele,anadhalilisha walimu wa saut waonekane hawajui kiingereza,hajui hata kuandika anachofundisha
 
Ila hili swala la penalty, si la kiungwana, huwezi mpiga mtu penalty, ya kiasi kikubwa hicho ukizingatia chuo kipo chini ya dini, na ada yake kubwa, na kwa upande wa pili, asilimia kubwa ya wanafunzi hawana government sponsorship.

Hawa wakatoliki wapuuzi, mtu kashindwa kulipa ada unampiga faini atalipa toka wapi. kama angelikuwa na ada angelipa , sasa unampiga faini wakati hata ada yenyewe kashindwa kulipa. Stupid these people so called representing Jesus! They are representing Satan!
 

asante mkuu
 
Mleta mada ajielewi administration shughulikia mtu uyu anazarilisha fani za watu.
 
Acha kudanganya wewe shigegele, hata jina la somo hujui,hakuna public relation kuna public relations, mwalimu wa PR aliyekuwepo ni SILAA na si SLAA,na hayupo SAUT tangu november 15,2013.

mbona umekariri mkuu mi naitwa slaa na sivingenevo nafundisha pr kama hutaki basi tena ila huo ndo ukweli
 

wewe ni mnafiki,mzandiki na mzushi pia,watu kama nyie yafaa ufungwe jiwe shingoni halafu wakutose baharini ukawe chakula cha pweza,haya majungu umepika kwa chuki zako binafsi kwa Mr Silaa,vp alikuchukulia demu wako?,maana jamaa kabla hajaacha kazi ni maduu wengi sana amesema nao!,usipotoshe uma kwa chuki binafsi elimu yako itumie vizuri,kama wamekupiga penalty ukaumizwa na kitendo hcho ungekuja hapa pia ukalalamikia hlo na sio kuongea uzushi na kupakazia watu humu ndani,hii tabia ukome na usirudie tena,kuna siku itakugharimu,nimeongea hvyo kama mfanyakazi wa chuo,huyo slaa unayemsema hayupo hapa chuo kama mfanyakazi ila tulikuwa na mtu anaitwa silaa na ameacha kazi toka mwaka jana,pia mkuu wa chuo kajiuzulu toka january na sababu si hyo aliyotaja huyo mwehu hapo juu,ni sababu zingine kwaio wanajamvi msisikilize uzushi huu
 

Hebu chelewa kulipia kodi TRA, bill yako Tanesco au bill ya maji uone kama hutalipishwa penalty pia!
 
Kanisa na ukristu ni janga kibwa sana kwa binadamu.

hizo penat hazikuwepo.ila zimewekwa baada ya muda.sasa ni roho mtakatifu gani alifanya haya maamuzi

wanafunzi kuvaa nguo za uchi kwa miaka mingi ilikuwa na baraka za kanisa.Baadae sijui wakashtuka nini sheria za nguo zikaja.kanisa lilikuwa wapi mda wote.

kanisa limekua ndumilakuwili kama imani yake ya ukrusto isivyobumbwabumbwa na kujaa upotofu.

Ukristo ni kuumiza waumini kwa madili ya hela.tena makanisa mengine bila michango hawajakuelewa.

ila ni wachache sana wenye uwezo kwa kuona hii hasara ya milele iliyo juu yao.

Eee Mungu tusaidie na hili janga.

Copy to Fr MSAFIRI.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…