Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Mimi ni mkatoliki wa kweli lakini matendo mengine siyataki, hatufanyi biashara, tunatoa huduma mradi tusiendeshe kwa hasara tuweze kudumu vema. Faini is not part of a developmental source of funds!
Hebu wacha kunichekesha we zuzu........Hii kauli unajua inamaanisha nini....."Hawa Wakatoliki"......
Kama ungekuwa Mkatoliki kweli kama unavyojinasibu hiyo kauli usingeitumia.."Hawa Wakatoliki"..........Ni mpu.mb.avu tuu ndiye atakaye amini.....