Aisee, huku ni hatari zaidi kwa chuo maana sasa hata mimi sitokwenda kuomba kazi achilia mbali TAKUKURUMkuu wa Chuo cha DIT na huku kwenye Jukwa wapi na wapi! Si umeandikie yeye au uende ukamuone ofisini kwake ili mvue gloves na kuzichapa kavu kavu?
Kama ni mzazi sishauri umpeleke mtoto wako au ndugu yako pale, ubabaishaji ni mwingi mnoAisee, huku ni hatari zaidi kwa chuo maana sasa hata mimi sitokwenda kuomba kazi achilia mbali TAKUKURU
Lakini tusiwaonee wao tu, kuna penye afadhali kwani? Usikute vipo vingi tu vyenye sifa hiyo, hatujapata tu taarifa ya huko kwingine.Kama ni mzazi sishauri umpeleke mtoto wako au ndugu yako pale, ubabaishaji ni mwingi mno
Unamaanisha uzembe wa kiwango cha DIT? Tungeshasikia,maana DIT si mara ya kwanza na sijui hata mamlaka za juu huwa zinawaza nini kuchukua hatuaLakini tusiwaonee wao tu, kuna penye afadhali kwani? Usikute vipo vingi tu vyenye sifa hiyo, hatujapata tu taarifa ya huko kwingine.
Kwa uzoefu wangu kama raia wa Tz, nitashangaa sana iwapo ni chuo hiki tu chenye matatizo ya aina hii. Tunakosa tu taarifa ndugu.Unamaanisha uzembe wa kiwango cha DIT? Tungeshasikia,maana DIT si mara ya kwanza na sijui hata mamlaka za juu huwa zinawaza nini kuchukua hatua
π π π π π π kesi ya Ngedere halafu hakimu nyani!Unamuuliza nyani kwamba anatambua ngedere huwa wanakula mazao?
Kuna miungu watu kuleVyuo vya serikali ni mwiba sana hasa ukiamua kuliongelea face to face utakiona cha Mtema kuni!π π π
Mwacheni mwamba atolee nyongo JF tu
Sidhani,tungeshasikiaKwa uzoefu wangu kama raia wa Tz, nitashangaa sana iwapo ni chuo hiki tu chenye matatizo ya aina hii. Tunakosa tu taarifa ndugu.
Si lazima ndugu,na huwezi kuishi kwa kudhani.Sidhani,tungeshasikia
Hakuna mtu atafanya kazi miezi 6 bila kulipwa akaekimya aone kawaida,ndio maana nasema hiyo hali usiifanye ionekane ya kawaida. Vyuo vingine hakuna unyanyaji wa kijinga kama wa DITSi lazima ndugu,na huwezi kuishi kwa kudhani.
Siifanyi ya kawaida hat akidogo. Na kama ni hasira na kukerwa huenda ninakuzidi. Wakati wewe unaona natetea DIT, mimi ninakuona unatetea taasisi zingine kwa ujumla. Haya mambo yapo sana, hata kama si kote, taasisi nyingi zina uozo wa namna hii. Wewe kutopata taarifa hakulalalishi kutokuwepo kwa jambo. Ni kama kesi zile za ngono, mpaka sasa umesikia taasisi ngapi? Hizo ulizosikia zinahalalisha kuwa zingine zipo safi?Hakuna mtu atafanya kazi miezi 6 bila kulipwa akaekimya aone kawaida,ndio maana nasema hiyo hali usiifanye ionekane ya kawaida. Vyuo vingine hakuna unyanyaji wa kijinga kama wa DIT