Mkuu wa chuo kikuu Cha Victoria nchini Akamatwa akidaiwa kuwa ni shushu maalumu wa Rais Kagame

Wale waasi pale msituni congo.. hii yote kupigania madini kama hutu m7 kashakuwa bilionea kwa madini anayochota hapo
Hivi inakuaje Rwanda na Uganda wote waliiba maliasili za Congo lkn ni Uganda pekee yake ndiyo iliyoshitakiwa na Congo na International court kuamuru Uganda kulipa $10bil kwa kuiba natural resources za Congo.Rwanda haijashitakiwa na Congo mpk leo.
 
JK alimwambia akaelewane na waasi kwa njia ya mazungumzo. PK hakulipenda kabisa neno hilo na ndio mwanzo wa ugomvi. Lakini pia usisahau jamaa wote wawili ni wanajeshi so inawezekana JK alishtukia hila za PK
Ktk ulimwengu huu, watu hua wanafanya mazungumzo pale ambapo mnakaribiana nguvu au kila mmoja anakitu ambacho mwenzake anahitaji lkn kama mmoja wao anaona mwenzake hana Cha kufanya hakuna namna ya kufanya mazungumzo.

Ndio maana US aliona aanze kufanya mazungumzo na Taliban baada ya kuona Vita vinamchosha na anatumia resources zake nyingi pia na ndio maana pia CCM haiwezi kuomba muafaka wowote ule na Chadema maana inajua Ina Dola,Pesa na kila kitu na Chadema na wafuasi wake haina Cha kuwafanya.

Ili mfanye mazungumzo lazima uwe na power flani Kama hauna sahau khs mazungumzo.
 
Hivi inakuaje Rwanda na Uganda wote waliiba maliasili za Congo lkn ni Uganda pekee yake ndiyo iliyoshitakiwa na Congo na International court kuamuru Uganda kulipa $10bil kwa kuiba natural resources za Congo.Rwanda haijashitakiwa na Congo mpk leo.
Game anapiga kiujanja sana kwa kujifanya hao sio watu wake lakini ufadhili mzima yuko na mmarekani kama utakumbuka mpaka bifu la jk ka kagame ni ile jk alipomwambia (nenda katoe watu wako pale msituni usidhani sijui)hii ngona ndio bifu ikaanzia hapo mpaka ulipoona ile oparation nchi nzima tz ikafurumusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kisanga kilitokea kimoja kilitokea hapo kati kuna mdau mmoja aliandika hicho kisa vizuri sana
Ukuda ulikua Ni JK kumshauri Paka apatane na waasi wkt huo JK amesha side nao na anakutana nao behind the scene na mbaya kabisa akaenda kumpa huo ushauri mbele ya mkutano wa AU, hapo ndipo kiliwaka Moto.

Hata leo Kenyatta akiaenda kwny mkutano wa AU unaokutanisha Marais wote wa Africa na akashauri Mama Samia amuachie Mbowe na afanye mazungumzo na Chadema na aache kuwatesa tesa aruhusu wafanye shughuli zao za kisiasa kwa Uhuru patawaka Moto Kati ya Kenya na Tz maana diplomacy haifanyi kazi hivyo Kati ya nchi na nchi.
 
Kwani Rwanda ilishaondoa waasi Congo mpk Leo?
 
Hakuna sehemu alisema JK Ni handsome na Kama kuna sehemu alisema hivyo quote uiweke hapa,hayo Ni maneno ya uchochoroni.

Hivi Mwandosya na Mkapa walienda kufanya Nini Kigali wkt wa ugomvi wa JK na PK?
 
Kwani Ile Operation nchi mzima ilifanya Rwanda waache kuiba madini maliasili za Congo?

Kagame anaibaje kiujanja ujanja wkt wote wawili na M7 walikua na makundi wanayoya support huko Congo waziwazi.Rwanda walikua AFDL,RCD,RCD Goma,M23 tena Congo PK amekua Muda mrefu kuliko hata M7.
 
Wanagombania mali zilizoko Congo.
Wanagombaniaje Congo wkt Kule Ni Shamba la Bibi kila mtu anachuma tu?M7 anamtuhumu PK Kum spy,huku PK nae akimtuhumu M7 ku support waasi wa RNC chini ya Nyamwasa na Mabaki ya FDLR.
 

Acha uongo/umbea ww kama wadada wa Saloon. Lini JK aliitwa handsome na PK. Shithole
 
Likipatikana jibu LA aliyemuweka M7 madarakani ndiyo Mr Slim anakuwa na uhalali wa kuattack Marais wengine? Ama umekusudia nini kuniuliza Hivyo Chief?
M7 aliwekwa madarakani na vita alioianzisha mwenyewe. Na kati ya wapiganaji 27 alioanza nao walikuemo wanyarwanda wengi sana hadi waliposhinda vita. Wanyarwanda walikua wanaongoza kuanzia platuni hadi divijonzi, wakati mseveni akitumia muda mwingi Sweden. Ukumbuke cabinet yake ya kwanza naibu waziri wa ulinzi alikua mnyarwanda pure.
 
Ninalijua ili ila nilitaka kujua motive ya alien-kot.
Nb: umefanya sahihi kufafanua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…