Usubiri na nani mkuu?Tusubiri taarifa rasmi kutoka kwa familia na polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usubiri na nani mkuu?Tusubiri taarifa rasmi kutoka kwa familia na polisi
Mkuu ni lini uswahilini walikua wanaishi maisha ya raha?Watoweke tu ila uswahilini maisha yamesimama wananchi wanaishi kama wakimbizi, hawali. Wataasi!
Tusubiri huenda nguo zimelowekwa nyumba ndogo.
Kuna Habari kuwa mkuu wa IT pale TRA ambaye Boss wake ni miongoni mwa waliokwisha kutumbuliwa ametoweka tangu juzi tarehe 8/07/2016 na hajulikani alipo.
Inasemekana aliondoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi Nyumbani. Habari zinasema simu yake ilikuwa hewani mpaka majira ya saa 10 jioni.
My take! Labda Wazee wa EFD na 7% wameamua kuanza kupoteza ushahidi mapema.
Rais pamoja na kutumbua majipu awe na mkakati wa kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.
usisahau KITWANGA BARIDI kwa pembeni.Kitwanga kwa pop corn inashuka balaa!Hebu ngoja ninunue pop corn nitulie zangu
Katika woooote hao 20 umeshindwa kutupia hata jina moja!!Kuna zaidi ya wafanyakazi 20 wa TRA wako polisi central wakihusishwa na ushiriki katika ukwepaji kodi...
Serikali ya Magufuli haitaki mchezo na wezi wa mali za umma
Katika woooote hao 20 umeshindwa kutupia hata jina moja!!
Mkuu nadhani sheria ya kuwalinda watoa taarifa inapuuzwa sana. Mara nyingi informers mahala pa kazi wamepoteza ajira zao na wale wanawatumia kuwaacha soremba hata bila kuwasaidia. Hii pia inarudisha morali wa watu kutoa taarifa kwa kuhofia usalama wa maisha yao na kazi zao.Kuna Habari kuwa mkuu wa IT pale TRA ambaye Boss wake ni miongoni mwa waliokwisha kutumbuliwa ametoweka tangu juzi tarehe 8/07/2016 na hajulikani alipo.
Inasemekana aliondoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi Nyumbani. Habari zinasema simu yake ilikuwa hewani mpaka majira ya saa 10 jioni.
My take! Labda Wazee wa EFD na 7% wameamua kuanza kupoteza ushahidi mapema.
Rais pamoja na kutumbua majipu awe na mkakati wa kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.
Lugumi kakamatwa?Kuna zaidi ya wafanyakazi 20 wa TRA wako polisi central wakihusishwa na ushiriki katika ukwepaji kodi...
Serikali ya Magufuli haitaki mchezo na wezi wa mali za umma
Kama kawa!Tusubiri taarifa rasmi kutoka kwa familia na polisi
kwani grengud hamna maitelejensia wenu mana jeshi kuu linajipanga kupambana na BAVICHA halitakuwa na nafasiTusubiri taarifa rasmi kutoka kwa familia na polisi
kumbe umeukosa u dccm na u dedccm!Tusubiri taarifa rasmi kutoka kwa familia na polisi