Tetesi: Mkuu wa Idara ya Tehama (IT) wa TRA Makao Makuu Atoweka

Tetesi: Mkuu wa Idara ya Tehama (IT) wa TRA Makao Makuu Atoweka

Cha Msingi ni kusema mkuu wa IT,Mr XXXX,ametoweka hatujui nani au mtoa maada unogopa kuongea uzushi?
 
Kuna Habari kuwa mkuu wa IT pale TRA ambaye Boss wake ni miongoni mwa waliokwisha kutumbuliwa ametoweka tangu juzi tarehe 8/07/2016 na hajulikani alipo.

Inasemekana aliondoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi Nyumbani. Habari zinasema simu yake ilikuwa hewani mpaka majira ya saa 10 jioni.

My take! Labda Wazee wa EFD na 7% wameamua kuanza kupoteza ushahidi mapema.

Rais pamoja na kutumbua majipu awe na mkakati wa kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.

Kuna zaidi ya wafanyakazi 20 wa TRA wako polisi central wakihusishwa na ushiriki katika ukwepaji kodi...

Serikali ya Magufuli haitaki mchezo na wezi wa mali za umma
 
Kuna zaidi ya wafanyakazi 20 wa TRA wako polisi central wakihusishwa na ushiriki katika ukwepaji kodi...

Serikali ya Magufuli haitaki mchezo na wezi wa mali za umma
Katika woooote hao 20 umeshindwa kutupia hata jina moja!!
 
Kuna Habari kuwa mkuu wa IT pale TRA ambaye Boss wake ni miongoni mwa waliokwisha kutumbuliwa ametoweka tangu juzi tarehe 8/07/2016 na hajulikani alipo.

Inasemekana aliondoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi Nyumbani. Habari zinasema simu yake ilikuwa hewani mpaka majira ya saa 10 jioni.

My take! Labda Wazee wa EFD na 7% wameamua kuanza kupoteza ushahidi mapema.

Rais pamoja na kutumbua majipu awe na mkakati wa kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.
Mkuu nadhani sheria ya kuwalinda watoa taarifa inapuuzwa sana. Mara nyingi informers mahala pa kazi wamepoteza ajira zao na wale wanawatumia kuwaacha soremba hata bila kuwasaidia. Hii pia inarudisha morali wa watu kutoa taarifa kwa kuhofia usalama wa maisha yao na kazi zao.
 
Back
Top Bottom