masanzaone
Member
- Jul 7, 2013
- 6
- 1
sisi wananchi wa igoma ambapo shule hii ya igoma sekondary inapatikana tunaomba afisa elimu wa secondary ajaribu kufuatilia mambo yanayofanywa na mkuu wa shule hiyo husika. mkuu huyu haelewani na walimu wake kiasi cha kuifikia hatua ya kwenda kuwachongea kwa mwajiri ili wakatiwe mishahara. mpaka sasa mwalimu mmoja hakupata mashahara wake wa mwenzi wa tatu. tunaomba idara zinazohusika na mambo ya elimu zifuatilie suala hilo. hali hii inazolotesha elimu. huyo ndiyo mkuu wa shule ya sekondary igoma.