Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus Wambura alivyofanya mabadiliko ya Makamanda wa Mikoa

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus Wambura alivyofanya mabadiliko ya Makamanda wa Mikoa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus Wambura, amefanya uhamisho wa baadhi ya Makamanda wa mikoa kwa lengo la kuboresha ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Jeshi la Polisi.

F7w1s86XwAAeRFl.jpeg

F7w1mGwXMAEsibb.jpeg
 
Huo mtandao wa polisi wanawake kazi yake nini ?mbona mtandao wa polisi wanaume hakuna au au upo mimi sijui
 
Tangazo la polisi kutoka makao makuu limefanana na matangazo ya waganga yanayobandikwa kwenye msitimu.
 
Back
Top Bottom