Mkuu wa kituo cha Himo ondoa huyu askari mwenye nyota moja na trafiki walipo barabara ya Marangu karibu na mwanzo wa katani

Mkuu wa kituo cha Himo ondoa huyu askari mwenye nyota moja na trafiki walipo barabara ya Marangu karibu na mwanzo wa katani

Takukuru nao siku hizi hawana tofauti na wale waliokuwa wakisemwa kule ZNZ na Raisi Mwinyi! nao wamekuwa sehemu ya tatizo!
Kuna kijana mmoja ni takukuru anatokea mkoa wa mbeya, yaani aamejiona amefika soon mtamsikia atakula za chembe.
 
Mtu mwwnyewe unaitWa @ sexless?mwarifu babako kaka wewe ni afande na upo himo jiandaeni ubatizo wa moto unakuja ni balaaa
Hata sijaelewa ulichoandika. Uliishia darasa la ngapi?
 
Ni sikitiko na masikitiko makubwa askari ambaye ana nyota moja yupo hapo barabarani akiwa amevalia kiraia na trafiki mmoja aliyevalia sare za kitrafiki, wanakamata magari yote yanayotoka Marangu Mwika, pamoja njia panda. Trafiki anasimamisha gari, hakagui gari, anachukua namba na leseni za madreva na kuwaagiza washushe abilia na kuwafata.

Kwa wenye cash wanatoa rushwa kesho kwa askari polisi mwenye nyota na kijana mmoja ambae nina imani nae ni askari polisi. Wasio na pesa wanaambiwa warudi hapo hapo walisha shusha abilia Ili wajisalimishe.

Hakuna gari inayokaguliwa, kila dreva anakaguliwa leseni basi, baada ya hapo unapewa kibano. Ni jambo la aibu askri polisi, afisa kabisa mwenye nyota moja kutongoza kundi la askari wasio na vyeo kwenda kufanya uhalifu.

Yote haya ni kwa sababu TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro, na hasa wilaya ya Moshi Vijijini hawatimizi wajibu wao ipasavyo. Hivi vitendo vya huyu askari sio leo wala jana walipunguza speed alipo wasema Kinana ila ni mwezi umeisha sasa upuuzi umerudi tena barabarani.

Angalizo mkuu wa kituo cha Himo, nina kusihi mkuu, Kilimanjaro hasa hapo. Sisi hatuwezi endelea kuona vijana wetu wanaonewa na askari wageni hao, wambie waache rushwa wafanye kazi kwa mujibu wa sheria. La sivyo tutalaumiana, hatuwezi ishi na mijizi inayo lipwa mshahara na tunao lipa mijizi iliyovaa gwanda ni sisi hapa.

Mimi dereva haice Mwika-Moshi, nimeandika kwa hasira sana.

Mkuu wa kituo ukitaka ushahidi nipo tayari maana hata picha nimepiga.

Hongera kamanda jipangeni kuwakabili majizi hawa kwa vitendo. Mtaji wa maskini ni nguvu zake Mwenyewe.
 
Mpk unakamatwa una tatizo, Rekebisha kwanzA Gari lako ili ukisimamishwa umwambie twende mahakamani mie sina kosa
 
Mpk unakamatwa una tatizo, Rekebisha kwanzA Gari lako ili ukisimamishwa umwambie twende mahakamani mie sina kosa

Kwa polisi aliowatolea uvivu kina Hawa? Labda kama wewe ni mmoja wao. Ila hawa anaosema pia Samia, dhuluma kwao ndiyo halali.
 
Ni sikitiko na masikitiko makubwa askari ambaye ana nyota moja yupo hapo barabarani akiwa amevalia kiraia na trafiki mmoja aliyevalia sare za kitrafiki, wanakamata magari yote yanayotoka Marangu Mwika, pamoja njia panda. Trafiki anasimamisha gari, hakagui gari, anachukua namba na leseni za madreva na kuwaagiza washushe abilia na kuwafata.

Kwa wenye cash wanatoa rushwa kesho kwa askari polisi mwenye nyota na kijana mmoja ambae nina imani nae ni askari polisi. Wasio na pesa wanaambiwa warudi hapo hapo walisha shusha abilia Ili wajisalimishe.

Hakuna gari inayokaguliwa, kila dreva anakaguliwa leseni basi, baada ya hapo unapewa kibano. Ni jambo la aibu askri polisi, afisa kabisa mwenye nyota moja kutongoza kundi la askari wasio na vyeo kwenda kufanya uhalifu.

Yote haya ni kwa sababu TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro, na hasa wilaya ya Moshi Vijijini hawatimizi wajibu wao ipasavyo. Hivi vitendo vya huyu askari sio leo wala jana walipunguza speed alipo wasema Kinana ila ni mwezi umeisha sasa upuuzi umerudi tena barabarani.

Angalizo mkuu wa kituo cha Himo, nina kusihi mkuu, Kilimanjaro hasa hapo. Sisi hatuwezi endelea kuona vijana wetu wanaonewa na askari wageni hao, wambie waache rushwa wafanye kazi kwa mujibu wa sheria. La sivyo tutalaumiana, hatuwezi ishi na mijizi inayo lipwa mshahara na tunao lipa mijizi iliyovaa gwanda ni sisi hapa.

Mimi dereva haice Mwika-Moshi, nimeandika kwa hasira sana.

Mkuu wa kituo ukitaka ushahidi nipo tayari maana hata picha nimepiga.
haya bwashe ushauri wako tutaufanyia kazi pindi nitakapokaa na kamati yangu
 
Hili swala ungeweka ushahidi ingekua ni vzr sasa bila ushahidi wataanzia wapi wahusika kufatilia?
 
Kabla Kinana hajatusehea nlikwiishasimamisha kutumia gari binafsi barabara kuu. Wana njaa sana

Ni sikitiko na masikitiko makubwa askari ambaye ana nyota moja yupo hapo barabarani akiwa amevalia kiraia na trafiki mmoja aliyevalia sare za kitrafiki, wanakamata magari yote yanayotoka Marangu Mwika, pamoja njia panda. Trafiki anasimamisha gari, hakagui gari, anachukua namba na leseni za madreva na kuwaagiza washushe abilia na kuwafata.

Kwa wenye cash wanatoa rushwa kesho kwa askari polisi mwenye nyota na kijana mmoja ambae nina imani nae ni askari polisi. Wasio na pesa wanaambiwa warudi hapo hapo walisha shusha abilia Ili wajisalimishe.

Hakuna gari inayokaguliwa, kila dreva anakaguliwa leseni basi, baada ya hapo unapewa kibano. Ni jambo la aibu askri polisi, afisa kabisa mwenye nyota moja kutongoza kundi la askari wasio na vyeo kwenda kufanya uhalifu.

Yote haya ni kwa sababu TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro, na hasa wilaya ya Moshi Vijijini hawatimizi wajibu wao ipasavyo. Hivi vitendo vya huyu askari sio leo wala jana walipunguza speed alipo wasema Kinana ila ni mwezi umeisha sasa upuuzi umerudi tena barabarani.

Angalizo mkuu wa kituo cha Himo, nina kusihi mkuu, Kilimanjaro hasa hapo. Sisi hatuwezi endelea kuona vijana wetu wanaonewa na askari wageni hao, wambie waache rushwa wafanye kazi kwa mujibu wa sheria. La sivyo tutalaumiana, hatuwezi ishi na mijizi inayo lipwa mshahara na tunao lipa mijizi iliyovaa gwanda ni sisi hapa.

Mimi dereva haice Mwika-Moshi, nimeandika kwa hasira sana.

Mkuu wa kituo ukitaka ushahidi nipo tayari maana hata picha nimepiga.
 
Back
Top Bottom