johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
So what??Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Sio kivitisho, sema CHADEMA na uhalifu ni chanda na pete!MBONA IMEKAA KIVITISHO VITISHO HIYO
Mwambieni akapambane na ISIS kule mpakani na Msumbiji aache usanii na ubabaishaji wa kujihusisha na mambo ya CoronaSpika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Mambo ya kijeshi ndio unaishia njiani!Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Mabeyo amestaafu ?Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Mkajiona wajanjaSio kivitisho, sema CHADEMA na uhalifu ni chanda na pete!
Mwambie DJ zero aendeMwambieni akapambane na ISIS kule mpakani na Msumbiji aache usanii na ubabaishaji wa kujihusisha na mambo ya Corona
Akili za LB7 utaziweza.!MBONA IMEKAA KIVITISHO VITISHO HIYO
Utasaidia upelelezi dogoWameacha ISIS imejitanua hadi inamiliki silaha nzito nzito kwa sasa. Ngoja waanze kufyeka
Umemalizia kama komredi wetu ambae habari za jeshi utazani ni siri za mbunguni kuzisema. Kuna vijana wamekuja humu karibuni wanakuwa wanataka wajitambulishe ila wanazugaSpika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
You're so low in terms of thinking capacity!Sasa hapo hiyo ni habari?Mtu akila akashiba,ukifika wakati wa kwenda "kujamba" inakuwa story wakati tulijua ataenda tu apende asipende! You're a hippie!Hahahahaaaa!Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeho.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mahaba hayo akufanye tu nyumba ndogo!Mbowe anasemaje