mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Wewe ni mukya?Kwa mahaba hayo akufanye tu nyumba ndogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mukya?Kwa mahaba hayo akufanye tu nyumba ndogo!
Hata huyo uliyemtaja simjui!Ila ninachosema,unaonekana una mahaba sana na Mbowe!Kama vipi mtafute umueleze ya moyoni,huenda akakuelewa na kukufanya nyumba ndogo!Wewe ni mukya?
Kwani ameulizwa nini?Mbowe anasemaje
Kwani huwa anaulizwa si ni mzee wa matamkoKwani ameulizwa nini?
Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeyo.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio bwashee.Hivi katika Habari ambayo unadhani Watanzania kweli kabisa kwa wakati huu wanataka Kuijua au Muhimu Kwao ni hii Ndugu?
Wewe uzushi wako umekushushia heshima sana humu,Wameacha ISIS imejitanua hadi inamiliki silaha nzito nzito kwa sasa. Ngoja waanze kufyeka
Kuna mbunge wa ccm kakamatwa na silaha 16 huko shinyanga. Hii inaitwaje?Sio kivitisho, sema CHADEMA na uhalifu ni chanda na pete!