Mkuu wa Majeshi Nigeria anena kuhusu Magaidi

Mkuu wa Majeshi Nigeria anena kuhusu Magaidi

Ee bwana we ! hayo mawazo yako ni ya kuzuga zuga tu.Hizo pesa wacha ziliwe kwa sababu haingii akilini kwamba kuna fungu la kununua mabomu na helicopter kwa ajili ya kupambana na mwehu na kizuu kama Abubakari Shekau.Mtu asiyefahamika vyema.
Hawa mabeberu wanaoshikilia propaganda za ugaidi sasa wameishika vibaya kusini mwa Afrika na wana hamu ya kufungua tawi la ugaidi na kulipa jina lao na waseme limekula kiapo kwa ISIS au Alqaeda.Ukiondoa Tanzania nchi za kusini mwa Afrika zina idadi ndogo ya waislamu lakini bado inaelezwa magaidi wana nguvu sana hata kushinda majeshi ya nchi hizo na sasa ziko kwenye mjadala ya kutafuta misaada .

Sio mawazo ya kuzuga zuga kwani sio mawazo yangu bali ilikuwa ni bajeti ya kununua silaha kupambana na Boko
Sikuyatoa kichwani bali ilikuwa habari kubwa huko
Kupambana nao ni vigumu sana kwani nakumbuka wanajeshi walikimbia na wengine kugoma kupigana kwa kukosa silaha wakati hela za kununulia silaha zimeliwa
 
Sio mawazo ya kuzuga zuga kwani sio mawazo yangu bali ilikuwa ni bajeti ya kununua silaha kupambana na Boko
Sikuyatoa kichwani bali ilikuwa habari kubwa huko
Kupambana nao ni vigumu sana kwani nakumbuka wanajeshi walikimbia na wengine kugoma kupigana kwa kukosa silaha wakati hela za kununulia silaha zimeliwa
Hapo ndipo utaona ile mantiki ya Trump aliposema nchi za kiafrika ni shit-shit na ndio maana wanaamini kuja na ajenda wasizoweza kuzipeleka bara jengine na zikapata kuungwa mkono na wakuu wa nchi hizo.
Ninavyoona hili tawi wanalotaka kufungua huku kusini mwa Afrika ndilo litakalowaangusha kwani litawashtua sana wakuu wa nchi hizi.Maraisi kama Magufuli baada ya kugundua njama zao za kutanua mikonga ya kibeberu kwa kisingizia cha waislamu wenye misimamo mikali isiyoonekana na kutafsirika wanaweza wakawaambia nendeni nyinyi mkapigane na dada zenu sisi tuwachieni mali zetu.
Naamini Kusini mwa Afrika watafunga matawi yao yenye majina ya ajabu ajabu na hatutotumbukia katika ujinga kama wa Nigeria.
 
Hapo ndipo utaona ile mantiki ya Trump aliposema nchi za kiafrika ni shit-shit na ndio maana wanaamini kuja na ajenda wasizoweza kuzipeleka bara jengine na zikapata kuungwa mkono na wakuu wa nchi hizo.
Ninavyoona hili tawi wanalotaka kufungua huku kusini mwa Afrika ndilo litakalowaangusha kwani litawashtua sana wakuu wa nchi hizi.Maraisi kama Magufuli baada ya kugundua njama zao za kutanua mikonga ya kibeberu kwa kisingizia cha waislamu wenye misimamo mikali isiyoonekana na kutafsirika wanaweza wakawaambia nendeni nyinyi mkapigane na dada zenu sisi tuwachieni mali zetu.
Naamini Kusini mwa Afrika watafunga matawi yao yenye majina ya ajabu ajabu na hatutotumbukia katika ujinga kama wa Nigeria.
Nigeria BH wanekaa kaskazini ambako kuna muslim majority...Unajua Nigeria ina waislam wengi kuliko Nchi karibia zote za Africa ukitoa Misri.
Mozambique imekaa kimajimbo lakini Alshabab wametokea kwenye jimbo lenye Muslim wengi.
Hawa magaidi wanarecruit watu mainly kwa njia ya ushawishi wa kidini na kupitia Maimam wa itikadi kali.
Hao magaidi sio wakristo,wahindu au wabudha Mwisho wa siku tunarudi kulekule na tatizo la waafrika na waarabu kila kitu tunalaumu mzungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nigeria BH wanekaa kaskazini ambako kuna muslim majority...Unajua Nigeria ina waislam wengi kuliko Nchi karibia zote za Africa ukitoa Misri.
Mozambique imekaa kimajimbo lakini Alshabab wametokea kwenye jimbo lenye Muslim wengi.
Hawa magaidi wanarecruit watu mainly kwa njia ya ushawishi wa kidini na kupitia Maimam wa itikadi kali.
Hao magaidi sio wakristo,wahindu au wabudha Mwisho wa siku tunarudi kulekule na tatizo la waafrika na waarabu kila kitu tunalaumu mzungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio hapo nakwambia hili tawi la kusini mwa Afrika wanalotaka kulifungua litawaabisha na kutoa picha cha kinachotendeka kuhusu ugaidi kwamba ni kishingizio tu kwa ajenda pana za mabeberu.
Tawi la kusini mwa Afrika litaonekana ni kichekesho.Kule Nigeria wanaweza kutumia kivuli waislamu wenye msimamo mkali hawataki wakristo ndio wanataka kuanzisha dola yao ya Sharia.Huku kwetu kisingizio ni nini?. Hata ikisemwa walitokea Somalia mbona huko Somalia kwenyewe hawako vizuri na mapambano yao yako kikabila zaidi na wala si kidini. Haya ikisemwa wametokea Somalia walipitia wapi na jee kuna treni kutoka Somalia mpaka Cabodel Gado na Mtwara.
Juzi nasikia kwenye mkutano wa SADCC raisi Magufuli na Felipe Nyusi wala hawakuhudhuria.Wacha washughulike na mambo mengine ya maana nchini mwao na wawache kuzipa nguvu ajenda za wapuuzi wa Kizungu kwa ajili ya ubeberu wao.
Masuala haya ya taarifa za ugaidi ni mtego mbaya sana na tope ambalo ukitia mguu hutoki. Wanatengeneza matukio na kuyatia chumvi.Nchi zikitaka msaada inakuja kama mvua lakini haisaidii kitu kupunguzo hizo habari.
 
MAREKANI NDIO MUASISI NA FINANCER WA UGAIDI NA MAGAIDI, AKISHIRIKIANA NA WAYAHUDI(Wanaoitwa ISRAEL),

BAADA YA BIASHARA KUNOGA, URUSI KWA KUSHIRIKIANA NA IRAN WAMEIPENDA BIASHARA HIYO...NAO WAMEINGIZA MIGUU YAO YOTE...

HIVI KWA MFANO;- NATO NA USA WANGEFANYA KAMA WALIVYOMFANYIA GADDAF, OPERESHENI MOJA TU KUSHUGHULIKIA MAKUNDI YOTE YA KIGAIDI...INGESHINDIKANA?
 
Nashangaa sana watu wanashindwa kuona kitu kama hiki kuzungumzwa na mkuu wa majeshi.Wachangiaji wengi wanavutiwa na maneno ya vijiweni kuhusu ugaidi.
Sahihi, nadhani wengi huwa hawapendi kufuatilia vyanzo vya uhakika.
 
Sahihi, nadhani wengi huwa hawapendi kufuatilia vyanzo vya uhakika.
Mfano huyo mkuu wa majeshi waandishi wa habari wangembana kwa maswali mpaka angetoa zaidi ya moyoni mwake kuhusu kwanini ameona ugaidi utakuwepo kwa miaka 20 ijayo.Itakuwa ameona mengi mpaka nguvu zimemuishia. Watu hawapaswi kuendelea kuamini taarifa za waandishi wanaokaa mezani ulaya na kutunga ya kwao au kutia chumvi yale wanayopelekewa na watu wao.
Taarifa inaweza kuwa ya kawaida na bila kutaka wahusika lakini watu wenye ajenda hujazia nyama kwa kutoa histori ya mikasa ya makundi ya kigaidi na kuyapa uhusiano.
 
MAREKANI NDIO MUASISI NA FINANCER WA UGAIDI NA MAGAIDI, AKISHIRIKIANA NA WAYAHUDI(Wanaoitwa ISRAEL),

BAADA YA BIASHARA KUNOGA, URUSI KWA KUSHIRIKIANA NA IRAN WAMEIPENDA BIASHARA HIYO...NAO WAMEINGIZA MIGUU YAO YOTE...

HIVI KWA MFANO;- NATO NA USA WANGEFANYA KAMA WALIVYOMFANYIA GADDAF, OPERESHENI MOJA TU KUSHUGHULIKIA MAKUNDI YOTE YA KIGAIDI...INGESHINDIKANA?
Usilinganishe Ugaidi na udikteta ni vitu viwili tofauti...tenaugaidi wa kidini maana udikteta ukimuua dikteta na viongozi wake wa karibu basi umemaliza lakini ugaidi wa dini hata uwauwe wote huwezi kuisha maana ideology haifi.
Labda uiue hiyo ideology inayoleteleza ugaidi Lakini kwa gia hii mnayotumia kumsingizia Marekani na USA kila kitu hamtoiua hiyo ideology tena mnazidi kuchochea kuni kwenye moto maana muislam msimamo mkali akisikia story zenu za USA anazidi kukasirika zaidi na anatamani alipize kisasi..Atalipizaje?Hana silaha wala uwezo?
Jibu:Kuna watu tayari wanasilaha na madhumuni kama yake ambao watamsaidia nao wanaitwa ISIS au Alshabaab au Alqaeda au Boko haram au Taliban au Hizbollah au jaysh e muhamad
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sahihi, nadhani wengi huwa hawapendi kufuatilia vyanzo vya uhakika.
Mfano huyo mkuu wa majeshi waandishi wa habari wangembana kwa maswali mpaka angetoa zaidi ya moyoni mwake kuhusu kwanini ameona ugaidi utakuwepo kwa miaka 20 ijayo.Itakuwa ameona mengi mpaka nguvu zimemuishia. Watu hawapaswi kuendelea kuamini taarifa za waandishi wanaokaa mezani ulaya na kutunga ya kwao au kutia chumvi yale wanayopelekewa na watu wao.
Taarifa inaweza kuwa ya kawaida na bila kutaka wahusika lakini watu wenye ajenda hujazia nyama kwa kutoa histori ya mikasa ya makundi ya kigaidi na kuyapa uhusiano.
Usilinganishe Ugaidi na udikteta ni vitu viwili tofauti...tenaugaidi wa kidini maana udikteta ukimuua dikteta na viongozi wake wa karibu basi umemaliza lakini ugaidi wa dini hata uwauwe wote huwezi kuisha maana ideology haifi.
Labda uiue hiyo ideology inayoleteleza ugaidi Lakini kwa gia hii mnayotumia kumsingizia Marekani na USA kila kitu hamtoiua hiyo ideology tena mnazidi kuchochea kuni kwenye moto maana muislam msimamo mkali akisikia story zenu za USA anazidi kukasirika zaidi na anatamani alipize kisasi..Atalipizaje?Hana silaha wala uwezo?
Jibu:Kuna watu tayari wanasilaha na madhumuni kama yake ambao watamsaidia nao wanaitwa ISIS au Alshabaab au Alqaeda au Boko haram au Taliban au Hizbollah au jaysh e muhamad

Usilinganishe Ugaidi na udikteta ni vitu viwili tofauti...tenaugaidi wa kidini maana udikteta ukimuua dikteta na viongozi wake wa karibu basi umemaliza lakini ugaidi wa dini hata uwauwe wote huwezi kuisha maana ideology haifi.
Labda uiue hiyo ideology inayoleteleza ugaidi Lakini kwa gia hii mnayotumia kumsingizia Marekani na USA kila kitu hamtoiua hiyo ideology tena mnazidi kuchochea kuni kwenye moto maana muislam msimamo mkali akisikia story zenu za USA anazidi kukasirika zaidi na anatamani alipize kisasi..Atalipizaje?Hana silaha wala uwezo?
Jibu:Kuna watu tayari wanasilaha na madhumuni kama yake ambao watamsaidia nao wanaitwa ISIS au Alshabaab au Alqaeda au Boko haram au Taliban au Hizbollah au jaysh e muhamad
Makundi uliyoyataja mengi ni hewa na ndiyo yanayotumika na mabeberu kuleta mtafaruku maeneo yenye utajiri wa chini ya ardhi.Makundi halisi kama Hezbola na Taliban hutosikia yana matawi Mahariki au magharibi ya Afrika kwa sababu wenyewe wana matatizo yao wanayopambana nayo na hawatokubali kupakaziwa na watajibu kuwaumbua wanaowataja katika ugaidi.
 
Mfano huyo mkuu wa majeshi waandishi wa habari wangembana kwa maswali mpaka angetoa zaidi ya moyoni mwake kuhusu kwanini ameona ugaidi utakuwepo kwa miaka 20 ijayo.Itakuwa ameona mengi mpaka nguvu zimemuishia. Watu hawapaswi kuendelea kuamini taarifa za waandishi wanaokaa mezani ulaya na kutunga ya kwao au kutia chumvi yale wanayopelekewa na watu wao.
Taarifa inaweza kuwa ya kawaida na bila kutaka wahusika lakini watu wenye ajenda hujazia nyama kwa kutoa histori ya mikasa ya makundi ya kigaidi na kuyapa uhusiano.



Makundi uliyoyataja mengi ni hewa na ndiyo yanayotumika na mabeberu kuleta mtafaruku maeneo yenye utajiri wa chini ya ardhi.Makundi halisi kama Hezbola na Taliban hutosikia yana matawi Mahariki au magharibi ya Afrika kwa sababu wenyewe wana matatizo yao wanayopambana nayo na hawatokubali kupakaziwa na watajibu kuwaumbua wanaowataja katika ugaidi.
Huku unatetea ugaidi wa makundi kadhaa huku unaponda makundi mengine tukueleweje.
Kwanza hao kina Taliban na hezbollah wanakosea kufocus sehem moja maana imeandikwa I'm paraphrasing "KILA mtu LAZIMA awe islamisized dunia nzima"
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huku unatetea ugaidi wa makundi kadhaa huku unaponda makundi mengine tukueleweje.
Kwanza hao kina Taliban na hezbollah wanakosea kufocus sehem moja maana imeandikwa I'm paraphrasing "KILA mtu LAZIMA awe islamisized dunia nzima"
Imeandikwa wapi?. Hakuna kutetea ugaidi.Kama ni ugaidi kila mmoja anaupinga waislamu na watu wengine. Pamoja na hayo kama maana ya ugaidi haijaeleweka vizuri basi hata mpigania haki yake ataitwa gaidi na yule anayefanya Ugaidi kweli kwa kuuwa watu kwa mamia kutoka angani atajiita anapambana na magaidi na watu kama Citizen watakubaliana naye.
Jee umewahi kusikia tawi la Hezbolah au Taliban nje na maeneo yao.
 
Imeandikwa wapi?. Hakuna kutetea ugaidi.Kama ni ugaidi kila mmoja anaupinga waislamu na watu wengine. Pamoja na hayo kama maana ya ugaidi haijaeleweka vizuri basi hata mpigania haki yake ataitwa gaidi na yule anayefanya Ugaidi kweli kwa kuuwa watu kwa mamia kutoka angani atajiita anapambana na magaidi na watu kama Citizen watakubaliana naye.
Jee umewahi kusikia tawi la Hezbolah au Taliban nje na maeneo yao.
Kwenye Hadith.
Gaidi ni mtu/kundi la watu linalotishia amani na usalama wa nchi fulani kwa either kuua raia au kuharibu miundombinu au uchumi likiwa na mlengo wa kuwa likitishia amani litapata maslahi yake.Haijalishi lina matawi au La...Sasa kuhusu Serikali kulipua hiyo ni ishu ya Vita ndomana Hitler hajaitwa gaidi ila aliitwa dikteta.


Kuhusu kupigania haki kuna njia halali za kufanya Hivo lakini si kuua maelfu ya raia wasio na hatia.(kumbuka kuna msimamo wa taifa na msimamo wa raia)
Mfano Ayatollah mwenyewe hapendwi na % kubwa ya wairan kwahyo kuua raia wa iran wasio na Hatia eti kisa matendo ya serikali yao ndo ugaidi wenyewe huo.
 
Usilinganishe Ugaidi na udikteta ni vitu viwili tofauti...tenaugaidi wa kidini maana udikteta ukimuua dikteta na viongozi wake wa karibu basi umemaliza lakini ugaidi wa dini hata uwauwe wote huwezi kuisha maana ideology haifi.
Labda uiue hiyo ideology inayoleteleza ugaidi Lakini kwa gia hii mnayotumia kumsingizia Marekani na USA kila kitu hamtoiua hiyo ideology tena mnazidi kuchochea kuni kwenye moto maana muislam msimamo mkali akisikia story zenu za USA anazidi kukasirika zaidi na anatamani alipize kisasi..Atalipizaje?Hana silaha wala uwezo?
Jibu:Kuna watu tayari wanasilaha na madhumuni kama yake ambao watamsaidia nao wanaitwa ISIS au Alshabaab au Alqaeda au Boko haram au Taliban au Hizbollah au jaysh e muhamad
UISLAAM WENYEWE UNAFAHAMU UNACHOENDELEA...

UISLAAM WENYEWE HAUYATAMBUI WALA HAIYAKUBALI HAYO MAKUNDI YANAYOJINASIBISHA NA UISLAAM..

MAREKANI WASHIRIKA WAKE WAMEFANYA ULE MCHEZO WA UKITAKA KUMUUA MBWA MPE JINA BAYA...NA LENGO LAO NI KUTULETEA KITU KINAITWA ISLAMOPHOBIA...
 
UISLAAM WENYEWE UNAFAHAMU UNACHOENDELEA...

UISLAAM WENYEWE HAUYATAMBUI WALA HAIYAKUBALI HAYO MAKUNDI YANAYOJINASIBISHA NA UISLAAM..

MAREKANI WASHIRIKA WAKE WAMEFANYA ULE MCHEZO WA UKITAKA KUMUUA MBWA MPE JINA BAYA...NA LENGO LAO NI KUTULETEA KITU KINAITWA ISLAMOPHOBIA...
Uislam sio mtu wala shirika la watu.
Uislam ni ideology kwahyo haina uwezo kwa kutambua kufikiri kula wala kulala. Kwahyo unaposema Uislam hauyatambui hayo makundi haueleweki..ukiongelea waislam hiyo ni ishu nyingine maana wapo wanaosapoti na wapo wanaopinga...
Kuhusu marekani na washirika wake tuweke pembeni maana inachosha kila saa muarabu/uislam ukizungumziwa lazima marekani ahusishwe leo tumpumzishe kidogo
 
Kwenye Hadith.
Gaidi ni mtu/kundi la watu linalotishia amani na usalama wa nchi fulani kwa either kuua raia au kuharibu miundombinu au uchumi likiwa na mlengo wa kuwa likitishia amani litapata maslahi yake.Haijalishi lina matawi au La...Sasa kuhusu Serikali kulipua hiyo ni ishu ya Vita ndomana Hitler hajaitwa gaidi ila aliitwa dikteta.


Kuhusu kupigania haki kuna njia halali za kufanya Hivo lakini si kuua maelfu ya raia wasio na hatia.(kumbuka kuna msimamo wa taifa na msimamo wa raia)
Mfano Ayatollah mwenyewe hapendwi na % kubwa ya wairan kwahyo kuua raia wa iran wasio na Hatia eti kisa matendo ya serikali yao ndo ugaidi wenyewe huo.
WEWE NI MOJA YA WATU WALIOATHIRIKA NA PROPAGANDA ZA MAREKANI NA UKAAMINI NI KWELI...
 
mimi naonaga bora hata wauaji wa kutumia bunduki,yaani bianadamu unamchinja binadamu mwenzio kabisaa?? 😳 😳 😳 😳
 
BA
Uislam sio mtu wala shirika la watu.
Uislam ni ideology kwahyo haina uwezo kwa kutambua kufikiri kula wala kulala. Kwahyo unaposema Uislam hauyatambui hayo makundi haueleweki..ukiongelea waislam hiyo ni ishu nyingine maana wapo wanaosapoti na wapo wanaopinga...
Kuhusu marekani na washirika wake tuweke pembeni maana inachosha kila saa muarabu/uislam ukizungumziwa lazima marekani ahusishwe leo tumpumzishe kidogo
BASI BAKI NA UJINGA WAKO...
 
Back
Top Bottom