Mkuu wa Mkoa Chalamila: Ni aibu kumsumbua Waziri Mkuu wakati mimi nipo

Mkuu wa Mkoa Chalamila: Ni aibu kumsumbua Waziri Mkuu wakati mimi nipo

Mkuu wa Mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema ni aibu Kumsumbua Waziri Mkuu kuja kutatua Changamoto wakati yeye Mkuu wa Mkoa Yupo.

Chalamila ameahidi kwamba Hilo halitajitokeza tena

=====

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema ni aibu kumsumbua Waziri Mkuu kuja kusikiliza kero za wafanyabiashara wakati yeye Mkuu wa mkoa yupo huku akiahidi sasa itakuwa ni mwisho kutokea jambo hilo

Akizungumza na wafanyabiashara wa Kariakoo wakati akimkaribisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, RC Chalamila amesema ofisi yake itakuwa wazi muda wote huku akisema anafahamu wazi kuwa kuna mahalui wafanyabiashara wanakanyagwa kiatu na atafanyia kazi suala hilo

“Nawathibitishia Ofisi ya RC itakuwa wazi, nafahamu Wafanyabiashara kuna mahali mnakanyagwa kiatu na Mimi kama RC itakuwa mara ya mwisho kuja kikao ambacho kina Waziri Mkuu wangu maana itakuwa aibu RC kumsumbua Waziri Mkuu afike na Mimi nipo maana yake nitakuwa sitaki kazi ya Ukuu wa Mkoa wa Dar es salaam” amesema RC Chalamila
Mwambieni huyo pimbi, Ukuu wa Mkoa wa DSM unakuwa kama taarishi wa serikali kuu.
Kuna mambo ambayo hata mdomo hatakiwi kuuingiza na kuchukua hatua.
Ama sivyo ataungua muda si mrefu.

DSM kuna maosi wengi , kutako Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote na wakuu wa Taasisi na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, kwa wote hao Mkuu wa Mkoa ni taarishi na si vinginevyo.
Akue ayaone.
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema ni aibu Kumsumbua Waziri Mkuu kuja kutatua Changamoto wakati yeye Mkuu wa Mkoa Yupo.

Chalamila ameahidi kwamba Hilo halitajitokeza tena

=====

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema ni aibu kumsumbua Waziri Mkuu kuja kusikiliza kero za wafanyabiashara wakati yeye Mkuu wa mkoa yupo huku akiahidi sasa itakuwa ni mwisho kutokea jambo hilo

Akizungumza na wafanyabiashara wa Kariakoo wakati akimkaribisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, RC Chalamila amesema ofisi yake itakuwa wazi muda wote huku akisema anafahamu wazi kuwa kuna mahalui wafanyabiashara wanakanyagwa kiatu na atafanyia kazi suala hilo

“Nawathibitishia Ofisi ya RC itakuwa wazi, nafahamu Wafanyabiashara kuna mahali mnakanyagwa kiatu na Mimi kama RC itakuwa mara ya mwisho kuja kikao ambacho kina Waziri Mkuu wangu maana itakuwa aibu RC kumsumbua Waziri Mkuu afike na Mimi nipo maana yake nitakuwa sitaki kazi ya Ukuu wa Mkoa wa Dar es salaam” amesema RC Chalamila
Mkuu wa mkoa ni mtu mdogo sana
 
  • Mambo ya Kodi ni ishu za kisheria, kitu ambacho hana ushawishi nacho.
  • Hiyo ni sawa na kujimilikisha Dar, atambue ya kuwa matatizo hayana mwenyewe ila yana mkubwa wake
Atapambana na wale wa Rushwa liko ndani ya uwezo wake
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema ni aibu Kumsumbua Waziri Mkuu kuja kutatua Changamoto wakati yeye Mkuu wa Mkoa Yupo.

Chalamila ameahidi kwamba Hilo halitajitokeza tena

=====

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema ni aibu kumsumbua Waziri Mkuu kuja kusikiliza kero za wafanyabiashara wakati yeye Mkuu wa mkoa yupo huku akiahidi sasa itakuwa ni mwisho kutokea jambo hilo

Akizungumza na wafanyabiashara wa Kariakoo wakati akimkaribisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, RC Chalamila amesema ofisi yake itakuwa wazi muda wote huku akisema anafahamu wazi kuwa kuna mahalui wafanyabiashara wanakanyagwa kiatu na atafanyia kazi suala hilo

“Nawathibitishia Ofisi ya RC itakuwa wazi, nafahamu Wafanyabiashara kuna mahali mnakanyagwa kiatu na Mimi kama RC itakuwa mara ya mwisho kuja kikao ambacho kina Waziri Mkuu wangu maana itakuwa aibu RC kumsumbua Waziri Mkuu afike na Mimi nipo maana yake nitakuwa sitaki kazi ya Ukuu wa Mkoa wa Dar es salaam” amesema RC Chalamila
Anaweza kuwaagiza viongozi waandamizi mfano Makatibu wakuu? Mama Waziri mkuu asingefika jana ngoma ingekuwa mbichi bado.

Waziri mkuu jana ameonyesha uwezo wa hali ya juu wa kutatua changamoto, binafsi nampongeza Majaliwa kwa umahiri aliouonyesha.
 
Atapambana na wale wa Rushwa liko ndani ya uwezo wake
  • Yawekena wana rushwa papa wanamtizama Tu, na wengi wao hana uwezo wa kuwatingisha.
  • Kuna watu rushwa ndio kazi ya msingi inayowalatia kipato, wao na 'wakubwa' zao.
 
Wafanyabiashara wasumbufu, walimtingisha Makalla nae akatingishika akajikuta ametua Mwanza wala asijue amefikaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu wa Mikoa walikua wanaaminika Zamani,Sasa hivi wanaonekana Vituko tu hakuna kitu wanachoweza wakaongea kwenye jamii wakaaminika wanaonekana ni Chawa tu wakumsifia Rais ila hawana wanachoweza kuisaidia jamii.
 
Back
Top Bottom