Mkuu wa Mkoa Chalamila: Nimeacha ubabe

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mkuu wa mkoa wa Dar Mheshimiwa Albert Chalamila Amesema ya kuwa yeye binafsi alishaacha masuala ya ubabe kabisa.

Ameyasema maneno hayo mbele ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kikao chake na maafisa habari wa serikali na wanahabari.

Amesema yeye na wakuu wake wa wilaya wameyapokea vyema maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuacha ubabe na hata hivyo yeye Mheshimiwa Chalamila alishaacha ubabe.akachukua nafasi hiyo kuwa simamisha wakuu wa wilaya wawili ambao ni wa ubungo na kinondoni.

Kauli hiyo ya Mheshimiwa Chalamila inakuja baada ya kupita siku chache Mheshimiwa Rais kusema kuwa kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaendelea na matumizi ya mabavu na ubabe.na akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

PIA SOMA
- Rais Samia: Bado kuna Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanatumia vibaya madaraka yao

Chalamila.png
 
Naamini wale dada poa watakaa Kwa utulivu na kufanya biashara Yao Kwa aman ss
Ni lazima kila kiongozi atekeleze majukumu kwa kuzingatia kanuni ,sheria , miongozo na katiba yetu .na siyo kujichukulia na kujifungia sheria zako mkononi na kwenda kuanza kuzitekeleza kwa kuwadhalilisha na kuvunja haki za watu wengine.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mkuu wa mkoa wa Dar Mheshimiwa Albert Chalamila Amesema ya kuwa yeye binafsi alishaacha masuala ya ubabe kabisa.

Ameyasema maneno hayo mbele ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kikao chake na maafisa habari wa serikali na wanahabari.

Amesema yeye na wakuu wake wa wilaya wameyapokea vyema maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuacha ubabe na hata hivyo yeye Mheshimiwa Chalamila alishaacha ubabe.akachukua nafasi hiyo kuwa simamisha wakuu wa wilaya wawili ambao ni wa ubungo na kinondoni.

Kauli hiyo ya Mheshimiwa Chalamila inakuja baada ya kupita siku chache Mheshimiwa Rais kusema kuwa kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaendelea na matumizi ya mabavu na ubabe.na akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3019913
Pimbi in action!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mkuu wa mkoa wa Dar Mheshimiwa Albert Chalamila Amesema ya kuwa yeye binafsi alishaacha masuala ya ubabe kabisa.

Ameyasema maneno hayo mbele ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kikao chake na maafisa habari wa serikali na wanahabari.

Amesema yeye na wakuu wake wa wilaya wameyapokea vyema maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuacha ubabe na hata hivyo yeye Mheshimiwa Chalamila alishaacha ubabe.akachukua nafasi hiyo kuwa simamisha wakuu wa wilaya wawili ambao ni wa ubungo na kinondoni.

Kauli hiyo ya Mheshimiwa Chalamila inakuja baada ya kupita siku chache Mheshimiwa Rais kusema kuwa kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaendelea na matumizi ya mabavu na ubabe.na akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3019913
Hoja yako ni nini sasa!
 
Back
Top Bottom