Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Mkuu wa mkoa wa Dar Mheshimiwa Albert Chalamila Amesema ya kuwa yeye binafsi alishaacha masuala ya ubabe kabisa.
Ameyasema maneno hayo mbele ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kikao chake na maafisa habari wa serikali na wanahabari.
Amesema yeye na wakuu wake wa wilaya wameyapokea vyema maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuacha ubabe na hata hivyo yeye Mheshimiwa Chalamila alishaacha ubabe.akachukua nafasi hiyo kuwa simamisha wakuu wa wilaya wawili ambao ni wa ubungo na kinondoni.
Kauli hiyo ya Mheshimiwa Chalamila inakuja baada ya kupita siku chache Mheshimiwa Rais kusema kuwa kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaendelea na matumizi ya mabavu na ubabe.na akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia: Bado kuna Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanatumia vibaya madaraka yao
Mkuu wa mkoa wa Dar Mheshimiwa Albert Chalamila Amesema ya kuwa yeye binafsi alishaacha masuala ya ubabe kabisa.
Ameyasema maneno hayo mbele ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kikao chake na maafisa habari wa serikali na wanahabari.
Amesema yeye na wakuu wake wa wilaya wameyapokea vyema maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuacha ubabe na hata hivyo yeye Mheshimiwa Chalamila alishaacha ubabe.akachukua nafasi hiyo kuwa simamisha wakuu wa wilaya wawili ambao ni wa ubungo na kinondoni.
Kauli hiyo ya Mheshimiwa Chalamila inakuja baada ya kupita siku chache Mheshimiwa Rais kusema kuwa kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaendelea na matumizi ya mabavu na ubabe.na akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia: Bado kuna Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanatumia vibaya madaraka yao