Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Acha majani.Ndugu zako hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha majani.Ndugu zako hao
Kwani uwongo wewe siyo chawa??Acha majani.
Wewe ni ndumilakuwili wa hatari sanaNi lazima kila kiongozi atekeleze majukumu kwa kuzingatia kanuni ,sheria , miongozo na katiba yetu .na siyo kujichukulia na kujifungia sheria zako mkononi na kwenda kuanza kuzitekeleza kwa kuwadhalilisha na kuvunja haki za watu wengine.
Huyu ni kama ile sigara nyota kote kote unawasha.Wewe ni ndumilakuwili wa hatari sana
Kuna Mtu kaiba simu ya Lucas.Ni lazima kila kiongozi atekeleze majukumu kwa kuzingatia kanuni ,sheria , miongozo na katiba yetu .na siyo kujichukulia na kujifungia sheria zako mkononi na kwenda kuanza kuzitekeleza kwa kuwadhalilisha na kuvunja haki za watu wengine.
Ameshajikatia tamaa ya kuteuliwa.Alafu mwamba siku hizi unasahau Sana kuandika mawasiliano yako. Sasa watu wa teuzi watawasiliana vipi na wewe??
Wewe ni mzoefu sana wa uvutaji wa vitu mbalimbali.ndio maana hupo sawa kichwani mwakoHuyu ni kama ile sigara nyota kote kote unawasha.
😂😂😂 Mbona mapema Sana kukata tamaa??Ameshajikatia tamaa ya kuteuliwa.
sipo hapa jukwaani kwa ajili ya kutafuta uteuziAlafu mwamba siku hizi unasahau Sana kuandika mawasiliano yako. Sasa watu wa teuzi watawasiliana vipi na wewe??
Mimi ni msema kweli.Wewe ni ndumilakuwili wa hatari sana
Niko sawa ndiyo maana siandiki ujinga ujinga wa kujipendekeza kwa mtu yoyote yule.Wewe ni mzoefu sana wa uvutaji wa vitu mbalimbali.ndio maana hupo sawa kichwani mwako
Sawa kijana wa mama samia ,nasikia mkuu Kuna Hela za mama na pikipiki raia wanapewa ,naomba unipe muongozo naweza kupataje NAMI niwe mnufaika wa Moja Kwa Moja kupitia ufadhili huo wa mama niwe napita na boda yenye picha yake mtaan ...asanteNi lazima kila kiongozi atekeleze majukumu kwa kuzingatia kanuni ,sheria , miongozo na katiba yetu .na siyo kujichukulia na kujifungia sheria zako mkononi na kwenda kuanza kuzitekeleza kwa kuwadhalilisha na kuvunja haki za watu wengine.
Ubabe ameacha Ila ukichaa ndio bado hajaacha.?Ndugu zangu Watanzania,
Mkuu wa mkoa wa Dar Mheshimiwa Albert Chalamila Amesema ya kuwa yeye binafsi alishaacha masuala ya ubabe kabisa.
Ameyasema maneno hayo mbele ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kikao chake na maafisa habari wa serikali na wanahabari.
Amesema yeye na wakuu wake wa wilaya wameyapokea vyema maelekezo ya Mheshimiwa Rais ya kuacha ubabe na hata hivyo yeye Mheshimiwa Chalamila alishaacha ubabe.akachukua nafasi hiyo kuwa simamisha wakuu wa wilaya wawili ambao ni wa ubungo na kinondoni.
Kauli hiyo ya Mheshimiwa Chalamila inakuja baada ya kupita siku chache Mheshimiwa Rais kusema kuwa kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya wanaendelea na matumizi ya mabavu na ubabe.na akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3019913
Kazi ni kipimo cha utu. Fanya kazi kwa bidii , juhudi na maarifa utapata kununua na kumiliki chochote kile unachotaka .Sawa kijana wa mama samia ,nasikia mkuu Kuna Hela za mama na pikipiki raia wanapewa ,naomba unipe muongozo naweza kupataje NAMI niwe mnufaika wa Moja Kwa Moja kupitia ufadhili huo wa mama niwe napita na boda yenye picha yake mtaan ...asante
Uwe na heshima kwa viongozi wetuUbabe ameacha Ila ukichaa ndio bado hajaacha.?
Suala la Heshima ni 'Two-Way Traffic,' huwezi kuheshimiwa endapo kama wewe mwenyewe hujiheshimu na Wala hauheshimu Watu wengine. Ukipandacho ndicho utakachovuna.Uwe na heshima kwa viongozi wetu
Nilishasema kuwa mimi siyo chawaKwani uwongo wewe siyo chawa??