Mkuu wa Mkoa Kagera Bi. FATUMA agundua uozo mkubwa, Mbunge BKb Mjini na Meya wakalia kuti Kavu, waanzisha ujenzi Bila Ramani

Mkuu wa Mkoa Kagera Bi. FATUMA agundua uozo mkubwa, Mbunge BKb Mjini na Meya wakalia kuti Kavu, waanzisha ujenzi Bila Ramani

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF

Kagera imepata mwarobaini wa matatizo makubwa waliyokuwa wanayapata kwa muda mrefu.

Mkuu wa mkoa kagera afichua uozo hatari uliokuwa unaendeshwa chini chini na genge la wahuni kuhujumu miradi mbali mbali ya maendeleo. Nisikuchoshe sana hii hapa hotuba kali ya mkuu wa mkoa pamoja na voice tag ya tuhuma kwenda kwa Mh. Byabato kwa kufungua ujenzi wa stand kuu kwa mgoma na nderemo huku akijua yeye kama mwanasheria kuwa hakuna ujenzi bila ramani. Rushwa ya Mil. 50 aliitoa mkandalazi ili wapewe milion 900 aanze ujenzi wa magumashi huku akijua 2024/5 hilo eneo kapewa World Bank kutafuta mkandaras wa kujenga stand mpya ya viwango.

Video ni kubwa mno nitaweka link ya miladiayo mpate wote

View: https://youtu.be/3Vd7WYBjgoc?si=uchTbSqf3FLtFWJB
 
Haya sasa waliosema ni majungu habari ipo tayari kayoutuke sasa
 
Wahaya wenzenu ndio wezi wenyewe. Watakuja na ego zao na kuanza kumshambulia huyu mama bila ya kuongelea wizi wanaoufanya.
 
Wahaya wenzenu ndio wezi wenyewe. Watakuja na ego zao na kuanza kumshambulia huyu mama bila ya kuongelea wizi wanaoufanya.
Awawezi tena kwani majizi tumeanza kuyakabiri kupitia mtandao wetu Kagera Mpya tunayataja bila kificho
 
Haitoshi, wachukuliwe hatua za kisheria, hao ndiyo wahujumu uchumi.
 
Unamwonea wivu
Yule ni profesa mpe heshma yake
Kama hukusoma ni wewe na wazazi wako walokusisitiza usome madrasa aka elimu ahera🤣
Profesa uchwara tu.

Hao ndiyo waliyoiuwa Tanzania, wana impact ipi zaidi ya kuondoka kwa aibu ya wizi serikalini? Ana heshima ipi aliyoiwacha zaidi ya kuondoka na uharo?

Anna Tibaijuka
Mama Amon
 
Wana JF

Kagera imepata mwarobaini wa matatizo makubwa waliyokuwa wanayapata kwa muda mrefu.

Mkuu wa mkoa kagera afichua uozo hatari uliokuwa unaendeshwa chini chini na genge la wahuni kuhujumu miradi mbali mbali ya maendeleo. Nisikuchoshe sana hii hapa hotuba kali ya mkuu wa mkoa pamoja na voice tag ya tuhuma kwenda kwa Mh. Byabato kwa kufungua ujenzi wa stand kuu kwa mgoma na nderemo huku akijua yeye kama mwanasheria kuwa hakuna ujenzi bila ramani. Rushwa ya Mil. 50 aliitoa mkandalazi ili wapewe milion 900 aanze ujenzi wa magumashi huku akijua 2024/5 hilo eneo kapewa World Bank kutafuta mkandaras wa kujenga stand mpya ya viwango.

Video ni kubwa mno nitaweka link ya miladiayo mpate wote

View: https://youtu.be/3Vd7WYBjgoc?si=uchTbSqf3FLtFWJB

Hao watuhumiwa wanatoka chama gani cha siasa?

Tatizo ni CCM
 
Mwassa yuko sawa! Wakandarasi wetu wengi ni ovyo sana
 
Kutoka kwa Machali aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya Bukoba Mjini , akafanyiwa figisu baada ya kugundua fedha za halmashauri kupigwa bila huruma. Hapa akimuasa Bi. Fatuma dhidi ya Kamnobile

============
RC FATMA MWASA ALINDWE DHIDI YA WANA KAMNOBELE🤣🤣🤣

Kagera bila ya kuwa na viongozi wabishi dhidi ya wana kamnobele ; yaani watu wenye fitina, Mtimanyongo,na kutengenezeana ajali dhidi ya viongozi wanaotenda haki, inaweza kuendelea ikatoka hapo ilipo. Tatizo kubwa ni kuendekeza wale watu ambao mara nyingi kama siyo zote wamejiaminisha kisha wakawaaminisha na watu wengine kwamba huwa wanaonewa na viongozi wa kuteuliwa kama Wakuu wa Mikoa na Wilaya, nk wanaoamua nyekundu iwe nyekundi au nyeusi iwe nyeusi. Genge hilo huwa lipo hasa hapo Bukoba. Hujifanya lina hati miliki na watu. Linaishi kwa misheni tauni na propaganda za kila aina. Huwa lina tabia ya kuwachafua viongozi wanaoipigania Bukoba kwa haki.

Moto aliouwasha RC Fatma Mwasa lazima utasikia genge hilo linaanza kusema huyu siyo mwenzetu. Anatuvuruga, anakivuruga chama. Hatutakii heri huyu, nk. Ni vizuri sana wana Bukoba na Kagera kwa ujumla mkawakataa hao wana Kamnobele wanaokuwa wakitengeneza vifitina vinavyoirudisha nyuma Kagera. Ni wakati wa wana Bukoba wakajitathmini sasa kuhusu waendelee kuliacha na kuliamini genge la wana Kamnobele linalokuwa linawapiga vita viongozi wa kuteuliwa hasa Wakuu wa wilaya au mikoa wanaoamua kutoendekeza ubabaishaji au wana Bukoba waelewe sasa kwamba genge la wana Kamnobele halifai na walikatae kwa nguvu zote.

Ninajua bayana kwamba wana Kamnobele watakuwa wanaishi kwa msongo wa mawazo baada ya Mhe Fatma Mwasa kuwatandika hadharani bila chenga. Watakuwa wanaona kama wamekabwa balaa. Watakuwa wanapanga mikakati haramu kuhusu namna ya kumfitini ili aonekane mtu mbaya. Hakika hao wapo sana.

Wakataeni wana Kamnobele wanaiyumbisha Bukoba Manispaa. Hao siyo wengine ni wale wale waliokuwa wakisema Machali anawavuruga hafai. JE, leo wataacha kusema kwamba Fatma mwasa hawavurugi? Wana Bukoba mtafakari sana. Nawaeleza ya kwamba Fatma Mwasa ametenda haki kuieleza Bukoba kuhusu watafuna hela. Huyo ni RC chuma kwelikweli
Mlindeni atawaisaidia wana Bukoba na Kagera kwa ujumla. Hanaga kona kabisaa.

Wana Kamnobele waelezwe kuacha janja janja mara moja ili Bukoba Manispaa ipige hatua.
ALAMSIKI
 
Profesa uchwara tu.

Hao ndiyo waliyoiuwa Tanzania, wana impact ipi zaidi ya kuondoka kwa aibu ya wizi serikalini? Ana heshima ipi aliyoiwacha zaidi ya kuondoka na uharo?

Anna Tibaijuka
Mama Amon
🤣🤣🤣Hana degree za kupewa huyo
Hakufel form four
Alikaa darasan
In short hajaungaunga elimu yake Kama yuleee🤣🤣unamjua
 
Sio kwa utawala huu wa Mama Abdul labla wa Magufuli. Huu wataishia kuhamishwa tu na kutiwa moyo
Unamuona kuku anavyokunya tu.

Kikwete mlisema anachekacheka lakini hakuna aliyewafunga mawaziri na kuwafurusgha kazi kama yeye.

Mama anajipanga, ngoja formation yake ikae sawa, utampenda. Labda huelewi maana ya Reforms na Rebuilding.
 
Back
Top Bottom