Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam asema bei ya saruji imeanza kushuka na baadhi ya wauzaji waliokuwa wakilangua wanahojiwa Polisi

Tatizo sio kuamka asubuhi na kupandisha Bei.tatizo viwanda havijapandisha Bei ya cement.mimi mwenyewe nauza hardware lakini siwezi kuwatetea hao jamaa waliopandisha Bei ya cement.maana cement haijapanda wao wamepandisha Bei ya cement kwa kigezo kipi?
kutopatikana kwa bidhaa sio sababu ya kupandisha Bei hapo Wana makosa.
Na cement haijapanda Bei TATIZO HAIPATIKANI.
Huwezi ukaamka asubuhi ukaanza kuuza kitu kwa bei ya juu from nowhere!
 
Soda bei elekezi ni 500 lakini inauzwa 700, 800, mpka 1000.
Bia hali kadhalika.
Sasa hii cement ni bidhaa peke yake yenye bei elekezi? Mafuta yanapanda maanake bei ya usafiri inapanda pia.

Sent from Hell
 
Kwa nini haipatikani?
 
Acha iendelee kupanda, kujenga si maendeleo ya vitu!
 

Price is controlled by demand and supply! Jinamizi la sukari linaamka, na huwa linaamka week ya kwanza ya utawala!
 
serikali kuachia uchumi uendeshwe na private ni shiiiiiiida zile hadithi za 666 kumbe inawezekana kutokea ,ili upate kitu chochote sharti pigwa chapa


 
Solution rahisi ya simenti kupanda bei ni kuzalisha mara dufu,,
Material yapo,umeme upo,,tabu iko wapi?
 
Hahaha yani hata wasiohitaji cement wanasema imepanda bei.

Muwe mnajadili na unga wa ugali yani dona, sembe, bila kusahau mchele na maharage haya ndiyo mahitaji yetu sote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…