Kwako Mkuu wa Mkoa, Kunenge ni masikitiko makubwa wewe kama Mkuu wa Mkoa umekaa kimya na najua unachokiona hapa kimekufikia.
Je, wewe Mkuu wa Mkoa nyumbani kwako unakaa karibu na dampo la takataka?
Je, watoto wako wanasomea shule na wanavuta harufu na takataka za dampo?
Mkuu wangu unajua na taarifa zimekufikia mlifunga barabara ya kwenda Canossa Primary sababu ya kuboresha miundombinu ya maji taka ya Tegeta sokoni lakini ni mwaka sasa kazi hii haijaisha na wewe upo umekaa ofisini unapata kiyoyozi.
Sasa mkuu kwa muda sasa sehemu anaposomea watoto wetu ndio seheme ya kumwaga taka tena taka zinamwagwa getini, pia karibu na madarasa ya kusomea watoto wetu.
Je, wewe mkuu wa mkoa kwanini unataka kuua afya za watoto wetu?
Serikali ya Mtaa, Diwani, Mkuu wa Wilaya wote kimya kama hawajui kuwa watoto wanateseka.
Hii hoja nimeleta kwako maana hii ipo ndani ya mkoa wako na najua hii imekufikia.
Je, wewe Mkuu wa Mkoa nyumbani kwako unakaa karibu na dampo la takataka?
Je, watoto wako wanasomea shule na wanavuta harufu na takataka za dampo?
Mkuu wangu unajua na taarifa zimekufikia mlifunga barabara ya kwenda Canossa Primary sababu ya kuboresha miundombinu ya maji taka ya Tegeta sokoni lakini ni mwaka sasa kazi hii haijaisha na wewe upo umekaa ofisini unapata kiyoyozi.
Sasa mkuu kwa muda sasa sehemu anaposomea watoto wetu ndio seheme ya kumwaga taka tena taka zinamwagwa getini, pia karibu na madarasa ya kusomea watoto wetu.
Je, wewe mkuu wa mkoa kwanini unataka kuua afya za watoto wetu?
Serikali ya Mtaa, Diwani, Mkuu wa Wilaya wote kimya kama hawajui kuwa watoto wanateseka.
Hii hoja nimeleta kwako maana hii ipo ndani ya mkoa wako na najua hii imekufikia.