Mkuu wa mkoa wa Dar unayafahamu vizuri maisha ya wananchi wako? Ushauri uliotoa ni pumba tupu

Mkuu wa mkoa wa Dar unayafahamu vizuri maisha ya wananchi wako? Ushauri uliotoa ni pumba tupu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kwa kuwa ndugu Amos Makalla wewe ni pedeshee ndio unajifanya hujui maisha ya Dar yalivyo?

Hijui kuwa alismia 90 ya wakazi wa Dar wanaishi kwa kubanana na wengi wanaishi mitaa ya madongo poromoka.

Hujui kuwa wengi wa wakazi wa Dar wanaishi nyumba moja familia zaidi ya mbili? Huku wengi wakikaa na extended families?

Wengi wamepanga na hujikuta wakiishi kwa muingiliano mkubwa. Dada wa kazi, watoto, wageni na ndugu kuchangia chumba kimoja.

Sasa unapotoa ushauri kuwa wakazi wa Dar wasiruhusu wageni kulala na watoto hiii inakaa akilini?

Kwamba familia ya watu wengi waenye vyumba viwili wakipata mgeni alale wapi?

Wakazi wa Dar wasipokee wageni?

Ni kweli mkoa wa Dar unaongoza kwa ukatili dhidi ya watoto. Lakini unadhania kukataa wageni ndio suluhu?

Au unataka wageni wanaokuja Dar walale vibarazani ili ukatiri dhidi ya watoto uishe?
 
Ametoa ushauri, wala hajashurutisha watu. Wenye uwezo wa kulitekeleza watafanya, wasio na uwezo watabanana hivyohivyo na wageni wao. Ila kama unao uwezo wa kuwalinda watoto wako na ukang'ang'ania kuwalaza na kila mgeni anayekuja kwako usije kulaumu watu mambo yakiharibika.
 
Kwa kuwa ndugu Amos Makalla wewe ni pedeshee ndio unajifanya hujui maisha ya Dar yalivyo?

Hijui kuwa alismia 90 ya wakazi wa Dar wanaishi kwa kubanana na wengi wanaishi mitaa ya madongo poromoka.

Hujui kuwa wengi wa wakazi wa Dar wanaishi nyumba moja familia zaidi ya mbili? Huku wengi wakikaa na extended families?

Wengi wamepanga na hujikuta wakiishi kwa muingiliano mkubwa. Dada wa kazi, watoto, wageni na ndugu kuchangia chumba kimoja.

Sasa unapotoa ushauri kuwa wakazi wa Dar wasiruhusu wageni kulala na watoto hiii inakaa akilini?

Kwamba familia ya watu wengi waenye vyumba viwili wakipata mgeni alale wapi?

Wakazi wa Dar wasipokee wageni?

Ni kweli mkoa wa Dar unaongoza kwa ukatili dhidi ya watoto. Lakini unadhania kukataa wageni ndio suluhu?

Au unataka wageni wanaokuja Dar walale vibarazani ili ukatiri dhidi ya watoto uishe?
Amos anaijua sana dsm siyo mshamba kama wewe uliekulia kwenu huko nyabitoche ukitega ndege na kuwinda nyani.
 
Kwa kuwa ndugu Amos Makalla wewe ni pedeshee ndio unajifanya hujui maisha ya Dar yalivyo?

Hijui kuwa alismia 90 ya wakazi wa Dar wanaishi kwa kubanana na wengi wanaishi mitaa ya madongo poromoka.

Hujui kuwa wengi wa wakazi wa Dar wanaishi nyumba moja familia zaidi ya mbili? Huku wengi wakikaa na extended families?

Wengi wamepanga na hujikuta wakiishi kwa muingiliano mkubwa. Dada wa kazi, watoto, wageni na ndugu kuchangia chumba kimoja.

Sasa unapotoa ushauri kuwa wakazi wa Dar wasiruhusu wageni kulala na watoto hiii inakaa akilini?

Kwamba familia ya watu wengi waenye vyumba viwili wakipata mgeni alale wapi?

Wakazi wa Dar wasipokee wageni?

Ni kweli mkoa wa Dar unaongoza kwa ukatili dhidi ya watoto. Lakini unadhania kukataa wageni ndio suluhu?

Au unataka wageni wanaokuja Dar walale vibarazani ili ukatiri dhidi ya watoto uishe?

Huyo RC ni wa hovyo kabisa haijawahi kutokea, ndiyo maana tulishauri hizo nafasi zitangwazwe na watu waombe badala ya kupeana vyeo kama zawadi, matokeo yake ni hayo, wanawapa uongozi vichaa
 
Kwa kuwa ndugu Amos Makalla wewe ni pedeshee ndio unajifanya hujui maisha ya Dar yalivyo?

Hijui kuwa alismia 90 ya wakazi wa Dar wanaishi kwa kubanana na wengi wanaishi mitaa ya madongo poromoka.

Hujui kuwa wengi wa wakazi wa Dar wanaishi nyumba moja familia zaidi ya mbili? Huku wengi wakikaa na extended families?

Wengi wamepanga na hujikuta wakiishi kwa muingiliano mkubwa. Dada wa kazi, watoto, wageni na ndugu kuchangia chumba kimoja.

Sasa unapotoa ushauri kuwa wakazi wa Dar wasiruhusu wageni kulala na watoto hiii inakaa akilini?

Kwamba familia ya watu wengi waenye vyumba viwili wakipata mgeni alale wapi?

Wakazi wa Dar wasipokee wageni?

Ni kweli mkoa wa Dar unaongoza kwa ukatili dhidi ya watoto. Lakini unadhania kukataa wageni ndio suluhu?

Au unataka wageni wanaokuja Dar walale vibarazani ili ukatiri dhidi ya watoto uishe?
Kwa hiyo unataka waendelee kuishi maisha ya kinyonge?
Ufike wakati tubadilike hata kwa gharama kubwa.
Hii sio awamu ya wanyonge
 
Huyo mleta mada kwani humjui ?
Nilisahu kumbe uzi umeletwa na MATAGA a.k.a Mzee wa Regacy!!! Ni hasira tu hizi bila shaka baada ya Mama kumteua mtu kutoka upande tofauti na wa kwao.
 
Kwa kuwa ndugu Amos Makalla wewe ni pedeshee ndio unajifanya hujui maisha ya Dar yalivyo?

Hijui kuwa alismia 90 ya wakazi wa Dar wanaishi kwa kubanana na wengi wanaishi mitaa ya madongo poromoka.

Hujui kuwa wengi wa wakazi wa Dar wanaishi nyumba moja familia zaidi ya mbili? Huku wengi wakikaa na extended families?

Wengi wamepanga na hujikuta wakiishi kwa muingiliano mkubwa. Dada wa kazi, watoto, wageni na ndugu kuchangia chumba kimoja.

Sasa unapotoa ushauri kuwa wakazi wa Dar wasiruhusu wageni kulala na watoto hiii inakaa akilini?

Kwamba familia ya watu wengi waenye vyumba viwili wakipata mgeni alale wapi?

Wakazi wa Dar wasipokee wageni?

Ni kweli mkoa wa Dar unaongoza kwa ukatili dhidi ya watoto. Lakini unadhania kukataa wageni ndio suluhu?

Au unataka wageni wanaokuja Dar walale vibarazani ili ukatiri dhidi ya watoto uishe?
Katika kitu siwezi na haitakuja kutokea ni kulaza wanangu na mtu/watu baki, hata awe baba yangu mzazi.
Mgeni/wageni wanapokuja ni lazima uwatanabaishe hali yako na namna ambavyo unaweza kuwahimili katika huduma ya chakula na malazi.. Ila ukijifanya una roho nzuri sana, et mgeni akija unakopa na jogoo ili akufurahie. Ndugu yangu siku moja utaelewa kwanini waliimba DUNIA HAINA HURUMA.
Binafsi nna mstari, mstari ambao ukivukwa huo awe mama mzazi,baba mkwe hata malaika kutoka mbinguni Hatutoelena kamwe
 
Nilisahu kumbe uzi umeletwa na MATAGA a.k.a Mzee wa Regacy!!! Ni hasira tu hizi bila shaka baada ya Mama kumteua mtu kutoka upande tofauti na wa kwao.
Walitegemea DAB ndiyo ateuliwe sasa wameona nyota nyota tu
 
Back
Top Bottom