Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo vikombe vya wale wauza uji ni vidogo labda kama tutaruhusiwa kuongezaAf hata hajasema kama tuje na vikombe au vp hapo mkuu, dah!
ni muhimu sana wana CCM kupata kifungua kinywa kwa pamoja🐒Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule Amewaomba Wakazi wa Dodoma na Wananchi Wote Kwa Ujumla Kufika Mapema Katika Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yatakayo Fanyika Katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma Tarehe 05 Februari 2025.
“Hapa ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia Wakazi wa Dodoma wanaoweza kupika uji mzuri wa aina yoyote ile, uwe ni uji wa muhogo, uji wa ulezi, uji wa mchele, N.K. Wafike hapa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa(Mkapa House) waonane na Afisa Biashara wajisajili, siku ya tarehe 05.02.2025 watatoa huduma ya kuwagawia uji Wananchi watakaokuwepo Uwanjani kwa utaratibu watakaolekezwa, na watalipwa pesa yao hapo hapo kulingana na kiasi cha uji watakachokuwa wamepangiwa kuleta.”
Hatuleti maandazi bali tutawapa uji na NUMBU!Uji mtupu unaleta njaa mkuu atuwekee na maandazi
Dah! Hii nchi ni kitukoMkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule Amewaomba Wakazi wa Dodoma na Wananchi Wote Kwa Ujumla Kufika Mapema Katika Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yatakayo Fanyika Katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma Tarehe 05 Februari 2025.
“Hapa ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia Wakazi wa Dodoma wanaoweza kupika uji mzuri wa aina yoyote ile, uwe ni uji wa muhogo, uji wa ulezi, uji wa mchele, N.K. Wafike hapa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa(Mkapa House) waonane na Afisa Biashara wajisajili, siku ya tarehe 05.02.2025 watatoa huduma ya kuwagawia uji Wananchi watakaokuwepo Uwanjani kwa utaratibu watakaolekezwa, na watalipwa pesa yao hapo hapo kulingana na kiasi cha uji watakachokuwa wamepangiwa kuleta.”
Ccm inashindwa hata na yanga wanatoa supu kwa chapati!Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule Amewaomba Wakazi wa Dodoma na Wananchi Wote Kwa Ujumla Kufika Mapema Katika Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yatakayo Fanyika Katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma Tarehe 05 Februari 2025.
“Hapa ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia Wakazi wa Dodoma wanaoweza kupika uji mzuri wa aina yoyote ile, uwe ni uji wa muhogo, uji wa ulezi, uji wa mchele, N.K. Wafike hapa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa(Mkapa House) waonane na Afisa Biashara wajisajili, siku ya tarehe 05.02.2025 watatoa huduma ya kuwagawia uji Wananchi watakaokuwepo Uwanjani kwa utaratibu watakaolekezwa, na watalipwa pesa yao hapo hapo kulingana na kiasi cha uji watakachokuwa wamepangiwa kuleta.”
Hata mie nashangaa. Enzi zile sikukuu za Uhuru tukipewa sahani za wali na nyamapori kwa raha zetu. Hili la " Nyuka maber" limeniacha hoi bin tabaan.Yaan CCM kufikisha miaka 60 + ,wameonaa Bado watanzania wanauhitajii wa ujui kweliii 🤔🤔🤔
Ila akili za wagogo walivyo watagombaniaa huo uji mpk uwachomeee😅😅
Hii Nchi ina laanaMkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule Amewaomba Wakazi wa Dodoma na Wananchi Wote Kwa Ujumla Kufika Mapema Katika Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yatakayo Fanyika Katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma Tarehe 05 Februari 2025.
“Hapa ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia Wakazi wa Dodoma wanaoweza kupika uji mzuri wa aina yoyote ile, uwe ni uji wa muhogo, uji wa ulezi, uji wa mchele, N.K. Wafike hapa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa(Mkapa House) waonane na Afisa Biashara wajisajili, siku ya tarehe 05.02.2025 watatoa huduma ya kuwagawia uji Wananchi watakaokuwepo Uwanjani kwa utaratibu watakaolekezwa, na watalipwa pesa yao hapo hapo kulingana na kiasi cha uji watakachokuwa wamepangiwa kuleta.”
vya bure utopwinyo nyuma mwiko ndo zao wanapendaga hizo wakajazane huko sasa wasivyo na aibu wataulizia mpaka na supu,ila ccm inakuwa na watu wajinga wajinga cjui kwaniniMkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule Amewaomba Wakazi wa Dodoma na Wananchi Wote Kwa Ujumla Kufika Mapema Katika Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yatakayo Fanyika Katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma Tarehe 05 Februari 2025.
“Hapa ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia Wakazi wa Dodoma wanaoweza kupika uji mzuri wa aina yoyote ile, uwe ni uji wa muhogo, uji wa ulezi, uji wa mchele, N.K. Wafike hapa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa(Mkapa House) waonane na Afisa Biashara wajisajili, siku ya tarehe 05.02.2025 watatoa huduma ya kuwagawia uji Wananchi watakaokuwepo Uwanjani kwa utaratibu watakaolekezwa, na watalipwa pesa yao hapo hapo kulingana na kiasi cha uji watakachokuwa wamepangiwa kuleta.”
Huyu ni Rosemary ninayemfahamu mimi au copy yake?Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule
halafu kifunga makalio kila mtu atapata kivyakeni muhimu sana wana CCM kupata kifungua kinywa kwa pamoja🐒
Well done RC
utapata tabu sana na gubu zako gentleman 🐒halafu kifunga makalio kila mtu atapata kivyake