Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Gaguti hizi chuki zako uwe pia unazionyesha hadi kwa Yanga SC na si Simba SC pekee

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Gaguti hizi chuki zako uwe pia unazionyesha hadi kwa Yanga SC na si Simba SC pekee

Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa wanakuja huko. Halafu tambua pia kuwa huo Mkoa wa Kagera haukaliwi tu na wana Yanga SC wenzio bali hata wana Simba SC nao wapo na tena hata Kitakwimu tu wao ndiyo wengi ndani ya huo Mkoa wako.

Hii ni mara ya Pili sasa An Eagle Mimi nakufuatilia ambapo kila ukijua kuwa Timu ya Simba SC ( ambayo bahati nzuri hata Boss wako Mkuu aliyekuteua ndiyo Timu yake pendwa ) inakuja Kucheza huko na Kagera Sugar huwa unaibuka kama Zimwi au Jini na kuanza Kuwaahidi Wachezaji wa Kagera Sugar ' ahadi ' nyingi tu wakiifunga Simba SC ila ikija huko Timu yako pendwa ya Yanga SC huwa unanyamaza kama vile hujui kuwa ipo hapo Mkoani Kwako Kagera.

Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Hivi nani hajui kuwa CDF Jenerali Mabeyo ni Yanga SC lia lia kabisa? Lakini je umeshawahi Kumuona akiutumia Ukuu wa Majeshi yake ' Kuinemeesha ' Yanga SC yake? Hivi unadhani kuwa ni Wewe tu ndiye mwenye Mahaba niue na Uchungu na Yanga SC kuliko Yeye? Na ulivyo Mnafiki hata Kauli zako ulizonukuliwa leo na Vyombo vya Habari japo umejifanya kuwa upo ' Neutral ' ila kuna moja ulijichanganya kisha Wadadisi na Wafukunyuzi ' Wabobezi ' wa mambo tukajua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC haswa na una Chuki kubwa na ya Hatari na Simba SC.

Mwisho nakuambia mapema tu hata kabla Simba SC haijacheza na Kagera Sugar yako hiyo Alhamisi kuwa wape Hela za Kuroga ( Uchawi ) hao Kagera Sugar wako, andaeni kila aina ya Hila / Hujuma kwa Simba SC ila kaa ukijua kuwa Simba SC hasa Kamati yake ya Roho Mbaya ilishatangulia huko Siku nyingi sana na tukajua mbinu zenu zote hasa za ' Kiuchawi ' na kwa Kukuhakikishia hili angalia jinsi Simba SC itakavyotua ' Kimafia ' Kesho hapo Mkoani Kwako Kagera halafu kitafanyika nini hapo Uwanjani kwa nje na Simba SC ( hasa Gari la Wachezaji ) litapita njia gani na Siku ya Mchezo Kitu gani kitafanyika kabla ya Mechi ndipo utajua kuwa kwa Tanzania nzima hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani kwani nakuambia kama kuna Mechi ambayo Simba SC na Kamati zake zote imejipanga nayo ndani na nje basi ni hii dhidi ya Kagera Sugar na ' Jini ' tulilolitumia sasa hata kama wakija Barcelona FC au Timu yangu pendwa Uingereza ya Liverpool FC inafungwa tu.

Badilika upesi na acha Uyanga wako na Chuki za wazi kwa Simba SC.
International Pumba
 
Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani.

[/QUOTE]

😀😀 aisee utakoma na simba yako................
 
Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa wanakuja huko. Halafu tambua pia kuwa huo Mkoa wa Kagera haukaliwi tu na wana Yanga SC wenzio bali hata wana Simba SC nao wapo na tena hata Kitakwimu tu wao ndiyo wengi ndani ya huo Mkoa wako.

Hii ni mara ya Pili sasa An Eagle Mimi nakufuatilia ambapo kila ukijua kuwa Timu ya Simba SC ( ambayo bahati nzuri hata Boss wako Mkuu aliyekuteua ndiyo Timu yake pendwa ) inakuja Kucheza huko na Kagera Sugar huwa unaibuka kama Zimwi au Jini na kuanza Kuwaahidi Wachezaji wa Kagera Sugar ' ahadi ' nyingi tu wakiifunga Simba SC ila ikija huko Timu yako pendwa ya Yanga SC huwa unanyamaza kama vile hujui kuwa ipo hapo Mkoani Kwako Kagera.

Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Hivi nani hajui kuwa CDF Jenerali Mabeyo ni Yanga SC lia lia kabisa? Lakini je umeshawahi Kumuona akiutumia Ukuu wa Majeshi yake ' Kuinemeesha ' Yanga SC yake? Hivi unadhani kuwa ni Wewe tu ndiye mwenye Mahaba niue na Uchungu na Yanga SC kuliko Yeye? Na ulivyo Mnafiki hata Kauli zako ulizonukuliwa leo na Vyombo vya Habari japo umejifanya kuwa upo ' Neutral ' ila kuna moja ulijichanganya kisha Wadadisi na Wafukunyuzi ' Wabobezi ' wa mambo tukajua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC haswa na una Chuki kubwa na ya Hatari na Simba SC.

Mwisho nakuambia mapema tu hata kabla Simba SC haijacheza na Kagera Sugar yako hiyo Alhamisi kuwa wape Hela za Kuroga ( Uchawi ) hao Kagera Sugar wako, andaeni kila aina ya Hila / Hujuma kwa Simba SC ila kaa ukijua kuwa Simba SC hasa Kamati yake ya Roho Mbaya ilishatangulia huko Siku nyingi sana na tukajua mbinu zenu zote hasa za ' Kiuchawi ' na kwa Kukuhakikishia hili angalia jinsi Simba SC itakavyotua ' Kimafia ' Kesho hapo Mkoani Kwako Kagera halafu kitafanyika nini hapo Uwanjani kwa nje na Simba SC ( hasa Gari la Wachezaji ) litapita njia gani na Siku ya Mchezo Kitu gani kitafanyika kabla ya Mechi ndipo utajua kuwa kwa Tanzania nzima hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani kwani nakuambia kama kuna Mechi ambayo Simba SC na Kamati zake zote imejipanga nayo ndani na nje basi ni hii dhidi ya Kagera Sugar na ' Jini ' tulilolitumia sasa hata kama wakija Barcelona FC au Timu yangu pendwa Uingereza ya Liverpool FC inafungwa tu.

Badilika upesi na acha Uyanga wako na Chuki za wazi kwa Simba SC.
Wacha kulia lia ila wahimize wachezaji wa timu yako wakaze buti tu na hakuna uchawi mwingine wala visingizio.
 
Raisi pekee Tanzania aliyejulikana timu gani ni Kikwete hadi kadi anayo..hii ya Magufuli ni kujitapatapa tu..hana hata kadi...Kagera anakufunga hadi Taifa ..aarrggghh kwa nini nimechangia mechi za mchangani
 
Kakojoe ulale//hovyo kabisa
Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa wanakuja huko. Halafu tambua pia kuwa huo Mkoa wa Kagera haukaliwi tu na wana Yanga SC wenzio bali hata wana Simba SC nao wapo na tena hata Kitakwimu tu wao ndiyo wengi ndani ya huo Mkoa wako.

Hii ni mara ya Pili sasa An Eagle Mimi nakufuatilia ambapo kila ukijua kuwa Timu ya Simba SC ( ambayo bahati nzuri hata Boss wako Mkuu aliyekuteua ndiyo Timu yake pendwa ) inakuja Kucheza huko na Kagera Sugar huwa unaibuka kama Zimwi au Jini na kuanza Kuwaahidi Wachezaji wa Kagera Sugar ' ahadi ' nyingi tu wakiifunga Simba SC ila ikija huko Timu yako pendwa ya Yanga SC huwa unanyamaza kama vile hujui kuwa ipo hapo Mkoani Kwako Kagera.

Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Hivi nani hajui kuwa CDF Jenerali Mabeyo ni Yanga SC lia lia kabisa? Lakini je umeshawahi Kumuona akiutumia Ukuu wa Majeshi yake ' Kuinemeesha ' Yanga SC yake? Hivi unadhani kuwa ni Wewe tu ndiye mwenye Mahaba niue na Uchungu na Yanga SC kuliko Yeye? Na ulivyo Mnafiki hata Kauli zako ulizonukuliwa leo na Vyombo vya Habari japo umejifanya kuwa upo ' Neutral ' ila kuna moja ulijichanganya kisha Wadadisi na Wafukunyuzi ' Wabobezi ' wa mambo tukajua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC haswa na una Chuki kubwa na ya Hatari na Simba SC.

Mwisho nakuambia mapema tu hata kabla Simba SC haijacheza na Kagera Sugar yako hiyo Alhamisi kuwa wape Hela za Kuroga ( Uchawi ) hao Kagera Sugar wako, andaeni kila aina ya Hila / Hujuma kwa Simba SC ila kaa ukijua kuwa Simba SC hasa Kamati yake ya Roho Mbaya ilishatangulia huko Siku nyingi sana na tukajua mbinu zenu zote hasa za ' Kiuchawi ' na kwa Kukuhakikishia hili angalia jinsi Simba SC itakavyotua ' Kimafia ' Kesho hapo Mkoani Kwako Kagera halafu kitafanyika nini hapo Uwanjani kwa nje na Simba SC ( hasa Gari la Wachezaji ) litapita njia gani na Siku ya Mchezo Kitu gani kitafanyika kabla ya Mechi ndipo utajua kuwa kwa Tanzania nzima hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani kwani nakuambia kama kuna Mechi ambayo Simba SC na Kamati zake zote imejipanga nayo ndani na nje basi ni hii dhidi ya Kagera Sugar na ' Jini ' tulilolitumia sasa hata kama wakija Barcelona FC au Timu yangu pendwa Uingereza ya Liverpool FC inafungwa tu.

Badilika upesi na acha Uyanga wako na Chuki za wazi kwa Simba SC.
 
Kuhusu Simba kuwa mahiri wa kuroga na kutandaza kandanda, hilo halina mjadala. Simba wanakuroga, na wanakupigia soka hadi unatoka na possession zako za 30%. Hata Yanga wanajua, mara ya mwisho kuifunga Simba ni miaka mitatu iliyopita. Yanga hawajapata ushindi mbele ya Simba, na ndio maana wanategemea walau Kagera awasaidie kuifunga Simba. Safari hii watu kibao watapigwa mkono ligi ya Bara
 
Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa wanakuja huko. Halafu tambua pia kuwa huo Mkoa wa Kagera haukaliwi tu na wana Yanga SC wenzio bali hata wana Simba SC nao wapo na tena hata Kitakwimu tu wao ndiyo wengi ndani ya huo Mkoa wako.

Hii ni mara ya Pili sasa An Eagle Mimi nakufuatilia ambapo kila ukijua kuwa Timu ya Simba SC ( ambayo bahati nzuri hata Boss wako Mkuu aliyekuteua ndiyo Timu yake pendwa ) inakuja Kucheza huko na Kagera Sugar huwa unaibuka kama Zimwi au Jini na kuanza Kuwaahidi Wachezaji wa Kagera Sugar ' ahadi ' nyingi tu wakiifunga Simba SC ila ikija huko Timu yako pendwa ya Yanga SC huwa unanyamaza kama vile hujui kuwa ipo hapo Mkoani Kwako Kagera.

Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Hivi nani hajui kuwa CDF Jenerali Mabeyo ni Yanga SC lia lia kabisa? Lakini je umeshawahi Kumuona akiutumia Ukuu wa Majeshi yake ' Kuinemeesha ' Yanga SC yake? Hivi unadhani kuwa ni Wewe tu ndiye mwenye Mahaba niue na Uchungu na Yanga SC kuliko Yeye? Na ulivyo Mnafiki hata Kauli zako ulizonukuliwa leo na Vyombo vya Habari japo umejifanya kuwa upo ' Neutral ' ila kuna moja ulijichanganya kisha Wadadisi na Wafukunyuzi ' Wabobezi ' wa mambo tukajua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC haswa na una Chuki kubwa na ya Hatari na Simba SC.

Mwisho nakuambia mapema tu hata kabla Simba SC haijacheza na Kagera Sugar yako hiyo Alhamisi kuwa wape Hela za Kuroga ( Uchawi ) hao Kagera Sugar wako, andaeni kila aina ya Hila / Hujuma kwa Simba SC ila kaa ukijua kuwa Simba SC hasa Kamati yake ya Roho Mbaya ilishatangulia huko Siku nyingi sana na tukajua mbinu zenu zote hasa za ' Kiuchawi ' na kwa Kukuhakikishia hili angalia jinsi Simba SC itakavyotua ' Kimafia ' Kesho hapo Mkoani Kwako Kagera halafu kitafanyika nini hapo Uwanjani kwa nje na Simba SC ( hasa Gari la Wachezaji ) litapita njia gani na Siku ya Mchezo Kitu gani kitafanyika kabla ya Mechi ndipo utajua kuwa kwa Tanzania nzima hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani kwani nakuambia kama kuna Mechi ambayo Simba SC na Kamati zake zote imejipanga nayo ndani na nje basi ni hii dhidi ya Kagera Sugar na ' Jini ' tulilolitumia sasa hata kama wakija Barcelona FC au Timu yangu pendwa Uingereza ya Liverpool FC inafungwa tu.

Badilika upesi na acha Uyanga wako na Chuki za wazi kwa Simba SC.
Kachezeni mpira nyie Mikia FC.......
 
Unamuonea bure mkuu wa mkoa wetu, mbona tunawafunga hata mkiwa huko kwenu dar. Tulipo wafunga kipindi kile mlienda hadi fifa mkidai malinzi kawahujumu, tukatoboa tundu mbele ya mheshimiwa, mwaka jana tuka wa zantel kote kote. Acheni visingizio.
Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa wanakuja huko. Halafu tambua pia kuwa huo Mkoa wa Kagera haukaliwi tu na wana Yanga SC wenzio bali hata wana Simba SC nao wapo na tena hata Kitakwimu tu wao ndiyo wengi ndani ya huo Mkoa wako.

Hii ni mara ya Pili sasa An Eagle Mimi nakufuatilia ambapo kila ukijua kuwa Timu ya Simba SC ( ambayo bahati nzuri hata Boss wako Mkuu aliyekuteua ndiyo Timu yake pendwa ) inakuja Kucheza huko na Kagera Sugar huwa unaibuka kama Zimwi au Jini na kuanza Kuwaahidi Wachezaji wa Kagera Sugar ' ahadi ' nyingi tu wakiifunga Simba SC ila ikija huko Timu yako pendwa ya Yanga SC huwa unanyamaza kama vile hujui kuwa ipo hapo Mkoani Kwako Kagera.

Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Hivi nani hajui kuwa CDF Jenerali Mabeyo ni Yanga SC lia lia kabisa? Lakini je umeshawahi Kumuona akiutumia Ukuu wa Majeshi yake ' Kuinemeesha ' Yanga SC yake? Hivi unadhani kuwa ni Wewe tu ndiye mwenye Mahaba niue na Uchungu na Yanga SC kuliko Yeye? Na ulivyo Mnafiki hata Kauli zako ulizonukuliwa leo na Vyombo vya Habari japo umejifanya kuwa upo ' Neutral ' ila kuna moja ulijichanganya kisha Wadadisi na Wafukunyuzi ' Wabobezi ' wa mambo tukajua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC haswa na una Chuki kubwa na ya Hatari na Simba SC.

Mwisho nakuambia mapema tu hata kabla Simba SC haijacheza na Kagera Sugar yako hiyo Alhamisi kuwa wape Hela za Kuroga ( Uchawi ) hao Kagera Sugar wako, andaeni kila aina ya Hila / Hujuma kwa Simba SC ila kaa ukijua kuwa Simba SC hasa Kamati yake ya Roho Mbaya ilishatangulia huko Siku nyingi sana na tukajua mbinu zenu zote hasa za ' Kiuchawi ' na kwa Kukuhakikishia hili angalia jinsi Simba SC itakavyotua ' Kimafia ' Kesho hapo Mkoani Kwako Kagera halafu kitafanyika nini hapo Uwanjani kwa nje na Simba SC ( hasa Gari la Wachezaji ) litapita njia gani na Siku ya Mchezo Kitu gani kitafanyika kabla ya Mechi ndipo utajua kuwa kwa Tanzania nzima hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani kwani nakuambia kama kuna Mechi ambayo Simba SC na Kamati zake zote imejipanga nayo ndani na nje basi ni hii dhidi ya Kagera Sugar na ' Jini ' tulilolitumia sasa hata kama wakija Barcelona FC au Timu yangu pendwa Uingereza ya Liverpool FC inafungwa tu.

Badilika upesi na acha Uyanga wako na Chuki za wazi kwa Simba SC.
 
Hili jamaa jinga kweli unataka kusema Mwigulu alitumbuliwa baada ya wewe kumshtakia rais hapa jf kwamba yule ni mnazi wa Yanga?
 
Nafikiri sio busara kuanza kuwapa wachezaji uoga usio na sababu mara sijui mkuu wa mkoa, mara hirizi mara mexime. Hayo yote yatawajengea hofu wachezaji wa Simba. Kama kweli wewe ni shabiki wa Simba nilitegemea kuwa uwape moyo wachezaji na viongozi kuwa ni kweli Kagera Sugar ni mwiba kwa Simba lakini safari hii mnakwenda kubadilisha historia ukizingatia mmefanya usajili wa mabilioni. Tafuteni hata mtu wa saikolojia awasaidie kuwatoa kwenye huu mzimu wa kushindwa na Kagera lakini sio hayo mawazo ya kizamani na kutaka kuwapa watu lawama wasizostahili. Kwani mkuu wa mkoa kuhamasisha kafanya kosa gani? Je, yeye anaingia uwanjani kuongeza idadi ya wachezaji wawe 13? Hivi kwa mawazo kama haya ndio tulikuwa tunategemea kuwatoa UD Songo halafu twende makundi, robo fainali halafu nusu fainali CL?

Nina hakika Simba itaishinda tu Kagera iwapo itaachana na mawazo potofu na kuamua kucheza mpira kwani ina kikosi bora na haihitajiki mambo mengine nje ya uwanja wa mpira kuweza kupata ushindi.
 
Na wakiendako JKT Ruvu je? Huwa inakuwaje?
 
Mwaka huu muwatigotigo ndiyo size yao
Unamuonea bure mkuu wa mkoa wetu, mbona tunawafunga hata mkiwa huko kwenu dar. Tulipo wafunga kipindi kile mlienda hadi fifa mkidai malinzi kawahujumu, tukatoboa tundu mbele ya mheshimiwa, mwaka jana tuka wa zantel kote kote. Acheni visingizio.
 
Hukuteuliwa na Rais JPM ili uwe unaikomoa tu Simba SC kila inapokuja huko Mkoani Kwako Kagera kucheza na Timu yako ya Kagera Sugar bali uliteuliwa ili uwe ' Fair ' kwa Wageni wote ambao watakuwa wanakuja huko. Halafu tambua pia kuwa huo Mkoa wa Kagera haukaliwi tu na wana Yanga SC wenzio bali hata wana Simba SC nao wapo na tena hata Kitakwimu tu wao ndiyo wengi ndani ya huo Mkoa wako.

Hii ni mara ya Pili sasa An Eagle Mimi nakufuatilia ambapo kila ukijua kuwa Timu ya Simba SC ( ambayo bahati nzuri hata Boss wako Mkuu aliyekuteua ndiyo Timu yake pendwa ) inakuja Kucheza huko na Kagera Sugar huwa unaibuka kama Zimwi au Jini na kuanza Kuwaahidi Wachezaji wa Kagera Sugar ' ahadi ' nyingi tu wakiifunga Simba SC ila ikija huko Timu yako pendwa ya Yanga SC huwa unanyamaza kama vile hujui kuwa ipo hapo Mkoani Kwako Kagera.

Labda leo nikukumbushe tu kuwa ' Upuuzi ' huu huu ambao leo unaufanya alianza Kuufanya mwana Yanga SC mwenzio Mbunge Mwigulu Nchemba alipokua Waziri na ni hapa hapa ' tulimuonya ' kuwa anachokifanya ' Kitamgharimu ' nafasi yake ya Uwaziri ambapo tulimshtakia hapa hapa JamiiForums kwa Mheshimiwa Rais na hatimaye ' akaliwa Kichwa ' na sasa anajutia.

Hivi nani hajui kuwa CDF Jenerali Mabeyo ni Yanga SC lia lia kabisa? Lakini je umeshawahi Kumuona akiutumia Ukuu wa Majeshi yake ' Kuinemeesha ' Yanga SC yake? Hivi unadhani kuwa ni Wewe tu ndiye mwenye Mahaba niue na Uchungu na Yanga SC kuliko Yeye? Na ulivyo Mnafiki hata Kauli zako ulizonukuliwa leo na Vyombo vya Habari japo umejifanya kuwa upo ' Neutral ' ila kuna moja ulijichanganya kisha Wadadisi na Wafukunyuzi ' Wabobezi ' wa mambo tukajua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC haswa na una Chuki kubwa na ya Hatari na Simba SC.

Mwisho nakuambia mapema tu hata kabla Simba SC haijacheza na Kagera Sugar yako hiyo Alhamisi kuwa wape Hela za Kuroga ( Uchawi ) hao Kagera Sugar wako, andaeni kila aina ya Hila / Hujuma kwa Simba SC ila kaa ukijua kuwa Simba SC hasa Kamati yake ya Roho Mbaya ilishatangulia huko Siku nyingi sana na tukajua mbinu zenu zote hasa za ' Kiuchawi ' na kwa Kukuhakikishia hili angalia jinsi Simba SC itakavyotua ' Kimafia ' Kesho hapo Mkoani Kwako Kagera halafu kitafanyika nini hapo Uwanjani kwa nje na Simba SC ( hasa Gari la Wachezaji ) litapita njia gani na Siku ya Mchezo Kitu gani kitafanyika kabla ya Mechi ndipo utajua kuwa kwa Tanzania nzima hakuna Timu inayojua ' Fitna ' na ' Kuroga ' kama Simba SC.

Najua Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime ni Yanga SC Kindakindaki na kwamba kila akicheza na Simba SC ( Kupitia Kagera Sugar ) yake huwa anakuwa na ' Hirizi ' ambayo huiweka sana katika Mfuko wake wa Kushoto wa Suruali yake hivyo mwambie kuwa Siku ya Alhamisi aivae tena na Simba SC tusije Kulaumiwa kama ' Akifa ' pale Uwanjani kwani nakuambia kama kuna Mechi ambayo Simba SC na Kamati zake zote imejipanga nayo ndani na nje basi ni hii dhidi ya Kagera Sugar na ' Jini ' tulilolitumia sasa hata kama wakija Barcelona FC au Timu yangu pendwa Uingereza ya Liverpool FC inafungwa tu.

Badilika upesi na acha Uyanga wako na Chuki za wazi kwa Simba SC.
Mwache RC afanye kazi yake,ulikuwa humuoni Amosi Makala alivyokuwa mbeya,Yanga ikienda alikuwa anahaha ili ifungwe? Huyu RC wa Kagera ni mzalendo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom