Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,msikilize Mkuu wa Mkoa wa Tabora! Chukua hatua Jimbo la Moshi Mjini Kuna shida mahali!

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,msikilize Mkuu wa Mkoa wa Tabora! Chukua hatua Jimbo la Moshi Mjini Kuna shida mahali!

milele amina

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
6,045
Reaction score
8,080
Sitaongea mengi! Huu ni mwaka mpya!

Sikiliza

 
kwani mbunge wa moshi amefanya mabadiliko gani hii miaka mitano? kama kuna jimbo halijanufaika kuwa na mbunge bungeni 2020/2025 ni jimbo la moshi mjini, hamna kitu kikubwa kilichotokea, hata barabara tu ya mabogini imemshinda, stand ya mfumuni imemshinda, kaishia kugawa mitungi ya gesi basi.

mje na riport ya ahadi zake wakati wa kampeni naa mambo aaliyoyafanya.
bure kabisa.
 
Katibu wa chama dada yetu @⁨~fridakaaya996⁩ Frida uko huku wewe ndio mtendaji wa chama hichi tunakuomba ili Mh mbunge akirudi tena tusipate shida ya kumnadi aende akamalize madeni yake mengi sana katibu yatatukosti
1. Moja ambalo ni baya kuliko yote ni lile aliloahidi mbele ya mapdri wote wa jimbo katoliki na masista wote akiongozwa na sistar mkuu pamoja na askofu Minde na aliahidi mbele ya Altara na baba askofu akiwepo milioni kumi na tatu (13,000,000) hii katibu itatutafuna 2025 mwambieni aende akalipe nilikuwa na hao viongozi wa dini maneno waliokuwa wanasema kuhusu hiyo ahadi sio nzuri wameshamkumbusha zaidi ya mara kumi lakini aonyeshi dalili ya kulipa wala kupunguza.

2. Hapo tena kwa masista Aki Anjel secondary mjini kahidi hapo zaidi ya milioni tata kuna deni.

3. ⁠ hapo secondary kiusa karibu na kwa mkuu wa mkoa laki tatu tu

4. ⁠𝗠𝗔𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 ya 𝗞𝗞𝗧zaidi ya manne kiboroloni kule kwa mchungaji 𝗡𝗝𝗔𝗠𝗔 ,majengo alipokuja katibu mkuu kanisani nenda kalipe tunaitaji ushindi hivi vitu vidogo vidogo kamalize

5. ⁠ vikundi 𝗣𝗔𝗦𝗨𝗔 vya kina mama

6. ⁠wale 𝗚𝗥𝗘𝗘𝗡 𝗚𝗔𝗥𝗗 kitambaa kiko pale mpaka leo wanalia pesa za mashono

7. ⁠kule centi margareti 𝗡𝗔𝗞𝗢 𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗗𝗘𝗡𝗜 𝗝𝗔𝗠𝗘𝗝𝗔𝗔𝗔

8⁠. Na kwingine na kwingine
Tumeamua kulipeleka kwa katibu kama mtendaji na ndio atakayekuwa meneja wako wa uchaguzi. Usimuangushe kalipe madeni....𝗨𝗖𝗛𝗔𝗚𝗨𝗭𝗜 𝗨𝗝𝗔𝗢 𝗨𝗣𝗢 𝗞𝗔𝗥𝗜𝗕𝗨 𝗦𝗔𝗡𝗔..
 
𝗞𝗔𝗞𝗔 𝗪𝗔 𝗝𝗜𝗠𝗕𝗢 ALHAAJI IBRAHIM MOHAMMED SHAYO ..
Tumaini pekee la vijana wa moshi kiongozi wa mfano kiongozi asiekuwa na makuu kiongozi wa watu wa rika zote vijana,wazee,mpaka watoto.

Amekuwa akijitolea sana kwa wananchi wa moshi na mkoa wa kilimanjaro kwa ujumla kwa hali na mali katika chamgamoto moja moja ya wakazi wa moshi
Amekuwa ni sehemu ya faraja katika hali za majonzi,,,

Ameongeza ajira wa vijana hususani kupitia kampuni yake ya Ibraline feling station kwa kuajiri vijana katika kila sekta..
Kila kona ya mji wa moshi ni 𝗞𝗔𝗞𝗔 𝗪𝗔 𝗝𝗜𝗠𝗕𝗢 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗔𝗡𝗔𝗘𝗧𝗔𝗝𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗔𝗠𝗞𝗪𝗔 .

𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗡𝗬𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗠𝗨𝗨𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗞𝗢𝗡𝗢 𝗘𝗡𝗬𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗢𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗞𝗨𝗧𝗨𝗠𝗜𝗔 𝗩𝗬𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗨𝗦𝗔𝗙𝗜𝗥𝗜 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗪𝗔𝗞𝗨𝗠𝗕𝗨𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗔𝗙𝗜 𝗡𝗔 𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗔𝗣𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔𝗡𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗦𝗛𝗘𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗜𝗕𝗥𝗔𝗟𝗜𝗡𝗘 𝗜𝗟𝗜𝗬𝗢𝗣𝗢 𝗦𝗧𝗔𝗡𝗗 𝗬𝗔 𝗠𝗕𝗢𝗬𝗔 𝗡𝗔 𝗜𝗟𝗘 𝗜𝗟𝗜𝗬𝗢𝗣𝗢 𝗦𝗧𝗔𝗡𝗗 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗕𝗔𝗦𝗜 𝗞𝗔𝗥𝗜𝗕𝗨 𝗡𝗔 𝗠𝗦𝗜𝗞𝗜𝗧𝗜 𝗪𝗔 𝗦𝗨𝗡𝗜.
..... 𝗞𝗔𝗥𝗜𝗕𝗨𝗡𝗜 𝗦𝗔𝗡𝗔......
 
Back
Top Bottom