Mkuu wa mkoa wa Mara naye asikiliza kero za wananchi kijijini Butiama

Mkuu wa mkoa wa Mara naye asikiliza kero za wananchi kijijini Butiama

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Tumeamka asubuhi na makelele ya loudspeaker: "Mkuu wa mkoa wa Mara anafika Butiama leo, ndio mara yake ya kwanza kuja hapa toka alipoteuliwa na Dakta Samia, mama wa shoka............."

Nasema "naye", maana yake kama Makonda. Alikuwa anasikiliza kero za wananchi: ugomvi wa viwanja, matatizo ya maji, na mengineyo.

Mtu mmoja akashika mike akasema,"Mkuu wa mkoa,Kijiji chetu kilikuwa cha amani,lakini sasa amani imetoweka kwa ajili ya vijana,Panya Road. Jana wamemkaba ndugu yangu anafanya kazi ya wakala wa simu,wamemuibia sh.milioni mbili...............wanakaba watu, wanabaka wanawake,siku hizi hata wanaume wanabakwa."

Basi Mkuu wa mkoa akasema,"Kamanda,sitaki watu wangu wapate shida. Anza patrol leo usiku,anza mshike,mshike......."
 
Safi sana, others should follow him. Tunataka Viongozi wanaokuwa watetezi wa Wananchi...sio wa Majizi Serikalini
 
Afike na kule mgodini, nina eneo langu kule sijalipwa na mgodi mpaka leo.
 
Wanabakwa na Wanawake AU? Fafanua KIDOGO hapo kuna utata wanabakwa Tambarale au kwenye Miinuko?
Hawa Panya Road hawaridhiki kuiba. Wanaiba na kubaka wanawake.
Panya Road wanawaibia wanaume,na kuwabaka wanaume.
Hiki ni kijiji cha Butiama,kijihu cha Mwalimu ( Nyerere). Kaburi la Mwalimu Nyerere lipo hapa,halafu,eti,mwanaume anapigwa,anaibiwa hela zake,anabakwa .
Crime does bot ger any more serious than this.
Miezi saba iliyopita Mkuu wa mkoa alifika hapa akaambiwa hivyo hivyo,"Tusaidie,mheshimiwa,vibaka hapa wamezidi."
Hili jambo nilikuwa nalitafakari kana usiku.
Nilikuwa najiuliza kwa nini napitapita kijijini,naona watu wana dharau sana. Hii dharau siyo ya kawaida. Ni mambo ya kupuuziwa tu au kuna hatari hapa?
Kwa sababu hii inanikumbusha posting moja niliiona you tube yule mwanamke mmoja alikuwa analala na chatu.( pet python).
Halafu ghafla yule python alikuwa hataki Kula chakula chochote.
Yule mwanamke akampeleka chatu vertenary.
Vet akamwambia yule mwanamke, "Huyu chatu anashinda njaa,anatengeneza nafasi tumboni ili akumeze. Hawa wanyama wengine taabu kufugika"
Ndio mimi nilikuwa natilia mashaka sana tabia za hawa watu.
Sasa Mkuu was mkoa anasema,"Pigeni kura za maoni",jambo ambalo halinipendezi mimi,kwa sababu mini nafikiria kwamba polisi wanatakiwa kuwafukuza na kuwakamata wezi.
Sasa haya Mambo yanataka clear thinking,kuwakamata wezi bila kukiuka haki za binadamu.
Ki achonishangaza Mimi siyo kuwepo vibaka hapa. Vibaka wapo kila mahali.
Kinachonishangaza no kwamba nilikuwa banished kwa muda was miezi sita,nimerudi hapa juzi tu. Nilikuwa exiled Arusha kwa sababu watu hapa walikuwa wanajuita walokone,wanaaema mimi mhuni.
In fact,mpaka Sasa hivi naam iwa nimefunguliwa file polisi.
Finiria,ninerudi kijijini,nimewao a watoto wengi wa primary wako in tatters.
Nimeenda mjini nimenunua jora mbili ili watoto washobe safe. Laki I nimegopa kuwaita watoto kuchukua kitambaa,ili nisíitwe mbakaji. Kwa sababu Sheria zinakuwa siyo radiki unapotaka kumsaidia mtotoLakini Sasa nayasikia maneno haha.
Nimempa mtoto kitambàa sasa hivi,anasema,"Mama anatamani kunipeleka darasa la kwanza lakini hana hela za kuninunulia uniform" .
Actually ilivyokuwa nilikuwa nimejikwaruza kidogo kwenye mguu,lakini kidonda kilikuwa licha ya kwenda hospitali. Ndio likaniijia Hili wazo kwamba nikitaka kupona pamoja na pranayama ,lazima nitoe sadaka.
Kumbe nimekuwa nalalamika bure. Yule Mkuu wa Wilaya wa Butiama na OCD wa Butiama( OCD,maana yake mkuu wa kituo cha polisi) wamehamishwa miezi mitatu iliyopita. Kuna fedha za mradi zilipotea,kwa hiyo hawa watu wamepata transfer.
 
Back
Top Bottom