Dah Huu siyo ustaarabu ni ujinga sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Huu siyo ustaarabu ni ujinga sasa
Watu wanataka maendeleo, si longolongo.Chalamila unachokitafuta utakipata
Si kwa style ya unyama kiasi hichoWatu wanataka maendeleo, si longolongo.
Ulipwe nini wakati umejenga kwenye hifadhiwamekubali bila kulipwa au?
Mbona hatukuona hata sufuria?Si kwa style ya unyama kiasi hicho
Hifadhi ya Barbarawamekubali bila kulipwa au?
KweliTatizo binadamu wa siku hizi wabishi Sana
Jamaa anaonekana kuwa na ngweje kubwa! Ona tamabala kidogo lidumbukie
Safi, nilipo ona hifadhi ya barabara nikashutuka! Watu wengine wanajenga kwa kiburi aidha kwa kushirikiana na viongozi wa S/za mitaa na kuuziana maeneo ya hifadhi ya barabara, likisha waka serikali unaonekana mbaya.Hifadhi ya Barbara
anamuona mwenye nyumba au fafanua!! banaMungu anamuona
Mkuu wa mkoaanamuona mwenye nyumba au fafanua!! bana