Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kwaujumla watumiaji wa barabara ya morogoro eneo kuanzia Chuo Kikuu cha Jordan mpaka oilcom kumekuwa na foleni kubwa sana inayofanya watumiaji wakifika hapo kupoteza muda mwingi sana.
Hakuna utaratibu mzuri uliowekwa ambao ungeruhusu magari yasiyo ya mizigo kupita kwa urahisi bila kero.
Barabara hiyo kwasasa hata kabla ni muhimu sana na nyeti kwakuwa inaelekea nchi nyingi sana za jirani zambia, congo, rwanda, burundi, uganda. Serikali ya mkoa ifanye mpango kuondoa hiyo kero haraka sana..
Hakuna utaratibu mzuri uliowekwa ambao ungeruhusu magari yasiyo ya mizigo kupita kwa urahisi bila kero.
Barabara hiyo kwasasa hata kabla ni muhimu sana na nyeti kwakuwa inaelekea nchi nyingi sana za jirani zambia, congo, rwanda, burundi, uganda. Serikali ya mkoa ifanye mpango kuondoa hiyo kero haraka sana..