KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
parekebishe hakuna panapokushinda!..😁Hapo pabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
parekebishe hakuna panapokushinda!..😁Hapo pabaya
Vipengele.ni vingi sana vinanikataa kama mke sahihiparekebishe hakuna panapokushinda!..😁
hebu leta hivyo vipengele mamaVipengele.ni vingi sana vinanikataa kama mke sahihi
Kwanza niko over 30 😆hebu leta hivyo vipengele mama
mi nakutaka hivyohivyoKwanza niko over 30 😆
-Sina kazi wala shuguli yeyote
- sijasoma nmeishia la 7
- sina fani
-Bonge
-mbishi
-Mvivu
-Sio single mom ila tayari red flag umri huu sina mtoto
😆😆😆😆 zimetosha mana ziko nyingi
Haya leta posa.mi nakutaka hivyohivyo
Mh! haraka tu posa hata sijatest kizazi chako kama kinafyatua..!🤣Haya leta posa.
Wakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda, ameshtushwa kwa kufungiwa Uwanja wa CCM Kirumba na kuuagiza Uongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza MZFA kuiandikia barua Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB kuja kukagua Uwanja na waainishe mapungufu yaliyosababisha Uwanja kufungiwa.
Nashabikiaga Madrid ila tangu waondoke wakina Benzema/Marcelo/Ronaldo/Ramos nikaachaga kushabikia mana hata ivyo majuu mm sio shabiki saana nasapoti ligi ya ndani
Hawa wakina Vin na Camavinga mm kwakweli hapana
Nikipata mke kama huyu familia yangu itakua na raha sanaaaHapo hapo cCM KIRUMBA ,Tabora United wamehamia wamepiga mechi moja tu uwanja umefungwa.. sijui wataenda kucheza Manungu Turiani au...
Uwanja ambao binafsi niliuona haufai uwanja ule wa Tabora Ali Hassan/ Uwanja Wa Singida Bs / sokoine kwa Ken Gold /Ule wanaoutumia COASTAL ARUSHA....mara 100 uwanja wa mashujaa
Siunajua tena mkataa kwao MtumwaUnawezaje kufuatilia huu utopolo wa bongo uliojaa uchawa na upumbavu endelevu namna hii?
Sina mambo mengi kabisa mimi ni watoto, mume, mpira tena mpira home sio vibandaniNikipata mke kama huyu familia yangu itakua na raha sanaaa
Mwanamke anajua mpira mpaka namuogopa
Umeolewa?Siunajua tena mkataa kwao Mtumwa
Tunafatilia sa tutafanyaje mkuu japo unatia hasira
Sina mambo mengi kabisa mimi ni watoto, mume, mpira tena mpira home sio vibandani
bado badoUmeolewa?