Mkuu wa mkoa wa Mwanza hajavamia mazoezi ya Simba ni uzushi

Mkuu wa mkoa wa Mwanza hajavamia mazoezi ya Simba ni uzushi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ofisi ya mkuu wa mkoa Mwanza imesikitishwa na taarifa zilizoenezwa na baadhi ya watu kuwa mkuu wa mkoa Mhe Said Mtanda amevamia mazoezi ya Simba akiwa na polisi na kuwashikili meneja wa timu na kocha msaidizi, Taarifa hizi si sahihi

Ukweli ni kuwa mkuu wa mkoa alipokea simu kutoka kwa maafisa wa Jiji la Mwanza kuwa walikuwa wamefungiwa uwanjani CCM kirumba na wanaomba msaada wa Polisi kwenda kuwatoa wakiwa hapo uwanjani kwani walinzi wa Simba waliwazuia kwenye vyumba

Mkuu wa mkoa alimuelekeza kamanda kwenda kuangalia usalama kwenye eneo la tukio lakini na yeye aliamua kwenda kuhakiki ili polisi wasije kuleta taharuki

Alifika kirumba na hakuingia uwanjani alisimama nje ya uwanja na polisi walifanikiwa kuwatoa vijana waliokuwa wamezuiliwa ndani na kwenda kuwahoji, na walifanikiwa kumchukua mlinzi mmoja wa simba aliyefanya tukio hilo kwa mahojiano aidha kwa tuhuma za kuvunja mlango na vioo vya uwanja.

Soma Pia: Vurugu kali zimezuka Uwanja wa CCM Kirumba wakati Simba SC ikifanya mazoezi kuelekea mechi na Pamba Jiji hapo kesho

Kama mwenyekiti wa kamati ya usalama anawajibika kusimamia usalama wa wananchi wote wakiwemo hao waliozuiliwa na kufanyiwa shambulio

Hakuna kocha wala kiongozi aliyekamatwa aidha hakuna uvamizi wowote uliofanywa na polisi wala mkuu wa mkoa

Aliyekamatwa alikamatwa baada ya kwisha kwa mazoezi hakukuwa na kuingilia kwa mazoezi ya Simba kwa namna yeyote.

Shabiki wa timu yoyote akifanya makosa atachukuliwa hatua za kisheria na polisi wanawajibika kusimamia hilo.

Mkuu wa mkoa wa mwanza anawataka wapenzi wa soka kuimarisha amani na usalama katika viwanja vya michezo
 
Ofisi ya mkuu wa mkoa Mwanza imesikitishwa na taarifa zilizoenezwa na baadhi ya watu kuwa mkuu wa mkoa Mhe Said Mtanda amevamia mazoezi ya Simba akiwa na polisi na kuwashikili meneja wa timu na kocha msaidizi, Taarifa hizi si sahihi

Ukweli ni kuwa mkuu wa mkoa alipokea simu kutoka kwa maafisa wa Jiji la Mwanza kuwa walikuwa wamefungiwa uwanjani CCM kirumba na wanaomba msaada wa Polisi kwenda kuwatoa wakiwa hapo uwanjani kwani walinzi wa Simba waliwazuia kwenye vyumba

Mkuu wa mkoa alimuelekeza kamanda kwenda kuangalia usalama kwenye eneo la tukio lakini na yeye aliamua kwenda kuhakiki ili polisi wasije kuleta taharuki

Alifika kirumba na hakuingia uwanjani alisimama nje ya uwanja na polisi walifanikiwa kuwatoa vijana waliokuwa wamezuiliwa ndani na kwenda kuwahoji, na walifanikiwa kumchukua mlinzi mmoja wa simba aliyefanya tukio hilo kwa mahojiano aidha kwa tuhuma za kuvunja mlango na vioo vya uwanja.

Soma Pia: Vurugu kali zimezuka Uwanja wa CCM Kirumba wakati Simba SC ikifanya mazoezi kuelekea mechi na Pamba Jiji hapo kesho

Kama mwenyekiti wa kamati ya usalama anawajibika kusimamia usalama wa wananchi wote wakiwemo hao waliozuiliwa na kufanyiwa shambulio

Hakuna kocha wala kuongozi aliyekamatwa aidha hakuna uvamizi wowote uliofanywa na polisi wala mkuu wa mkoa

Aliyekamatwa alikamatwa baada ya kwisha kwa mazoezi hakukuwa na kuingilia kwa mazoezi ya simba kwa namna yeyote.

Shabiki wa timu yoyote akifanya makosa atachukuliwa hatua za kisheria na polisi wanawajibika kusimamia hilo.

Mkuu wa mkoa wa mwanza anawataka wapenzi wa soka kuimarisha amani na usalama katika viwanja vya michezo
IMG-20241121-WA0026.jpg

IMG-20241121-WA0027.jpg
IMG-20241121-WA0025.jpg
IMG-20241121-WA0025.jpg
 

Attachments

  • IMG-20241121-WA0024.jpg
    IMG-20241121-WA0024.jpg
    83.1 KB · Views: 3
Ofisi ya mkuu wa mkoa Mwanza imesikitishwa na taarifa zilizoenezwa na baadhi ya watu kuwa mkuu wa mkoa Mhe Said Mtanda amevamia mazoezi ya Simba akiwa na polisi na kuwashikili meneja wa timu na kocha msaidizi, Taarifa...
Huu uyanga wenu kuna siku mtaleta vurugu kubwa

Badala ya kuwekeza kwenye mpira mnawekeza kwenye mbinu za kupambana na chadema.

Tangu lini hizi vurugu zikatokea kama sio uhuni wa viongozi wa pamba wanaotegemea kusaidiwa na mashabiki wa nyuma mwiko walio madarakani?

Mi ninaona hizi ni dharau kwa Rais aliyeteua.

Ni ajabu polisi wapo ,mkuu wa wilaya yupo kisha unaona mkuu wa mkoa anaenda eti kulinda usalama wa watu kwenye timu inayofanya mazoezi!
 
SIMBA IMEVAMIWA NA MUHUNI SAIDI MTANDA AKIWA NA POLISI WENYE BUNDUKI FULLSTOP.

KAMA UMETUMWA KUJA KUHAMISHA MAGOLI UMEFELI.

SAID MTANDA NI MUHUNI NA MVUTA BANGI HATA SIJUI ALITEULIWAJE KUWA MKUU WA MKOA.

NA KAMA ANAJIFANYA MUHUNI SISI SIMBA NI WAHUNI ZAIDI YAKE.
 
Ofisi ya mkuu wa mkoa Mwanza imesikitishwa na taarifa zilizoenezwa na baadhi ya watu kuwa mkuu wa mkoa Mhe Said Mtanda amevamia mazoezi ya Simba akiwa na polisi na kuwashikili meneja wa timu na kocha msaidizi, Taarifa hizi si sahihi

Ukweli ni kuwa mkuu wa mkoa alipokea simu kutoka kwa maafisa wa Jiji la Mwanza kuwa walikuwa wamefungiwa uwanjani CCM kirumba na wanaomba msaada wa Polisi kwenda kuwatoa wakiwa hapo uwanjani kwani walinzi wa Simba waliwazuia kwenye vyumba

Mkuu wa mkoa alimuelekeza kamanda kwenda kuangalia usalama kwenye eneo la tukio lakini na yeye aliamua kwenda kuhakiki ili polisi wasije kuleta taharuki

Alifika kirumba na hakuingia uwanjani alisimama nje ya uwanja na polisi walifanikiwa kuwatoa vijana waliokuwa wamezuiliwa ndani na kwenda kuwahoji, na walifanikiwa kumchukua mlinzi mmoja wa simba aliyefanya tukio hilo kwa mahojiano aidha kwa tuhuma za kuvunja mlango na vioo vya uwanja.

Soma Pia: Vurugu kali zimezuka Uwanja wa CCM Kirumba wakati Simba SC ikifanya mazoezi kuelekea mechi na Pamba Jiji hapo kesho

Kama mwenyekiti wa kamati ya usalama anawajibika kusimamia usalama wa wananchi wote wakiwemo hao waliozuiliwa na kufanyiwa shambulio

Hakuna kocha wala kuongozi aliyekamatwa aidha hakuna uvamizi wowote uliofanywa na polisi wala mkuu wa mkoa

Aliyekamatwa alikamatwa baada ya kwisha kwa mazoezi hakukuwa na kuingilia kwa mazoezi ya simba kwa namna yeyote.

Shabiki wa timu yoyote akifanya makosa atachukuliwa hatua za kisheria na polisi wanawajibika kusimamia hilo.

Mkuu wa mkoa wa mwanza anawataka wapenzi wa soka kuimarisha amani na usalama katika viwanja vya michezo
usalama wa qumaniokoooo
 
kuvia akili inamadhara makubwa sana..mama Samia amekosa viongozi kabisa?huyu hafai kuwa kiongozi kabisa
 
Kama ilivyo kasumba ya Kila kiongozi kutaka aonekane anamfirahisha mama.
Leo RC Mtanga amevamia mazoezi ya Simba kwa kutumia polisi.
Hili ni athali ya Imani kuwa Mama anafurahia kuona Simba ikiteseka. Kwahiyo anatumia mwanya huo wa Mamlaka yake kuvamia timu ya Simba Ili kumfurahisha mama.

Tunasubiri kuona hatuja zitakazo chukuliwa na Mamlaka za uteuI.
Endapo hakuna hatua yoyote juin yake basi huo ni ujumbe wa wazi kuwa Mama amefurahi Simba kuvamiwa na endapo akichukuliwa hatu ni Imani yatu kuwa mama hakubalianai na ujinga huo.

Kumbuka zilianza tuhuma za Mawaziri saba kuingilia michezo na kushinikiza matokeo Lakini Mama alikaa kimya na hakuna tume ya uchunguzi. Hivyo kuendelea kwa matukio haya tunashawishika kuamini kuwa penguine Kuna maelekezo toka juu
 
Hapo kwenye kuhakikisha kama yule kamanda ameenda kuhakiki usalama kama alivyomuagiza, inaonyesha jinsi alivyo makini. Safi sana RC.

Naamini siku itafika atakuja apasuke. Achezee raia kwenye siasa na sio kwenye mpira.
 
Yaani meneja msaidizi wa uwanja yupo ndani ya ofisi nyie Simba mnataka atoke aende nje ya uwanja kwanini!! Mpaka kufikia kuvunja mlango na Dirisha la ofisi ya meneja wa Uwanja.
Simba mlikua mnajua Mtaonekana si tu mkifanya mazoezi bali mkiwa mnafanya ulozi iyo ndio shida iliyokua inawasumbua, Uchawi mmeweka mbele kiasi Cha kuvunja milango na Madirisha ya Ofisi ili msi rekodiwe.

Hai ingii akilini timu kubwa kama Simba iogope meneja msaidizi mmoja asiangalie kinacho endelea uwanjani kama yeye atacheza uwanjani
 

Attachments

  • VID-20241110-WA0000.mp4
    2.4 MB
Back
Top Bottom