Mkuu wa Mkoa wa Mwanza RC Mtanda unamchonganisha Rais na mashabiki wa Simba kwa mambo ya hovyo kabisa, Omba radhi yaishe

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza RC Mtanda unamchonganisha Rais na mashabiki wa Simba kwa mambo ya hovyo kabisa, Omba radhi yaishe

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
 
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
Na leo huenda kukatokea balaa kwenye hii mechi ni ajabu sana mkuu wa mkoa kupokea maelekezo kutoka jangwani.Hii kitu utaipata Tanzania pekee
 
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
🙅
 
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
Akili kisoda wewe.
 
Huu ndio upuuzi unao wafanya Simba wakatae mazoezi Yao kushuhudiwa, Nimambo ya hovyo na yakukemewa na Wakuu wote wa mikoa ambao Simba itakwenda kucheza na Mameneja na walinzi wote wa viwanja vyote kwenye maeneo Simba watakayo cheza mechi zao
 
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
Mlikuwa hamumjui? Hili ni janga Hakuna kiongozi hapo!
 
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
UBAYA UBWELA.
 
Najaribu kufikiria sana kwanini RC uliamua kufanya haya uliyoyafanya, wewe ni wa kwenda uwanjani kweli na masilaha ya moto? Wewe kazi yako c kuagiza tu kwa RPC ss iweje ubebe magari ya umma na masilaha kwenda kukabiliana na wachezaji na viongozi ambao hawana hatia?

Hihi kweli RC wangap tunaompenda Mhe Rais tumekwazwa na wewe kwa tukio la jana, nilipoona baada ya zile clip ukakimbilia haraka haraka kutoa press halaf ukamrushia Jemedari Said na yeye alivyokuwa punguani akairusha haraka haraka, kwann hukuwa mtulivu kwanza na badala yake ukakimbilia kutoa taarifa na kuimwaga kwenye mitandao?

Mtanda, Rais akikutengua leo utamlaumu nani?

Mtanda, makosa yako haya haya yalimfanya Magufuli akudhalilishe kwenye mkutano wake na akakuadhibu umlipe mwananchi sh milioni 10 na ulilipa kweli wakat huo ukiwa DC.

Mtanda, mbona RC Morogoro Adam Malima ni Simba lkn hafanyi utoto kama ule wa jana.

Ulikuwa na lengo gan kwa kufanya yale had leo Simba wanatoa taarifa yao hadharani dhidi yako, Simba Ina mashabiki wengi sana huko Mwanza huoni kwa tukio la jana umejenga uhasama mkubwa na Simba na mashabiki wake.

Unadhani mashabiki wa Simba tutakupenda kweli?

Rais anawataka mtatue kero za wananchi ss jana umetatua kero au umeongeza kero, Mtanda umeharibu sana, Omba radhi tafadhali.
Acha kupenda kulialia huku ukiwa huna sababu ya msingi.
 
Na leo huenda kukatokea balaa kwenye hii mechi ni ajabu sana mkuu wa mkoa kupokea maelekezo kutoka jangwani.Hii kitu utaipata Tanzania pekee
Una ushahidi kuwa alipokea maelekezo toka jangwani?
 
Back
Top Bottom