Mkuu wa mkoa wa Ruvuma hana tabia za Kitanzania kabisa

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma hana tabia za Kitanzania kabisa

LAMBULAKATA,

Mndeme?

Mndeme ni Wapare!...

Labda anatumia surname ya mumewe, ngoja mleta mada aje atupe majibu asisahau na picha pia aainishe miradi ya maendeleo aloanzisha huyo mama huko ruvuma maana hizi sifa si mchezo na hiyo ruvuma ingekuwa Durban sasa hivi.
 
Labda anatumia surname ya mumewe, ngoja mleta mada aje atupe majibu asisahau na picha pia aainishe miradi ya maendeleo aloanzisha huyo mama huko ruvuma maana hizi sifa si mchezo na hiyo ruvuma ingekuwa Durban sasa hivi.

And how do we prove indeed kaolewa na some individual called Mndeme?

Hatuwezi prove

Msitumie ndio kichaka cha kusemea uongo!

Mndeme ni Wapare,thats a fact,cant deny this!

Hayo mengine ni blah blah tu!

Atuambie jina lake la ukoo original ni lipi kama lina akisi Unyamwezini?

Atleast afanye hivyo basi!
 
Uwe unasoma na kuelewa asubuhi hii, mtoa mada anapaswa kuleta majibu ya majina na wasifu wa huyo mama anaemsifia, sisi tunapiga ramli tu hapa na porojo za kuchangamsha genge.

Kunywa maji ya uvuguvugu yenye limao na tangawizi sasa, anza siku mpya .
 
Tofautisha kuongea na kuandika, unapoandika unayopaswa kuongea unampa tabu msomaji.
 
Mndeme hawezi kuwa mwenyeji wa Igalula Tabora!! Mndeme ni Mpare halisi wa Same! Ni haki yako kumsifia Mndeme lakini punguza chumvi!! File lake tunalo!!
Mme wake ndo Mpare. Unajua wanawake wakiolewa huwa wanabadili surname right?
 
Hahahahahah eti nywele zake nyeusi tiiii,mashavu sijui yakoje😂😂.nashukuru Mungu sinaga tabia Kama ya mtoa mada.sijuagi kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom