Mkuu wa Mkoa wako uliko anafaa kuwatumikia au awekwe kando?

Mkuu wa Mkoa wako uliko anafaa kuwatumikia au awekwe kando?

Joined
Jan 30, 2023
Posts
16
Reaction score
14
Mkuu wa Mkoa wako uliko sasa je anafaa kuendelea kushika wadhifa huo kuwahudumia wananchi? mimi Mkuu wangu wa Mkoa Chalamila naona ni vema akae pembeni sijui wewe huko uliko mkuu wako wa mkoa anawajibika?
 
Mtaka akae kando
Makongoro nyerere- kando
Makonda- kando
Esther bulaya-kando
Riziwani-kando
Mbatia -kando
Mbowe-kando
Tundulisu-kando
Tibaijiuka-kando
 
Mkuu wa Mkoa wako uliko sasa je anafaa kuendelea kushika wadhifa huo kuwahudumia wananchi? mimi Mkuu wangu wa Mkoa Chalamila naona ni vema akae pembeni sijui wewe huko uliko mkuu wako wa mkoa anawajibika?
Atateuliwa mwingine mbovu zaidi wacha aendelee huyu huyu
 
Back
Top Bottom