Mkuu wa Nairobi kuhutubia Umoja wa Mataifa

Mkuu wa Nairobi kuhutubia Umoja wa Mataifa

Wewe unafikiria kama hizo tuhuma zingekua kweli angeendelea kuwa gavana wa Mombasa hususan wa chama cha upinzani, aidha inawezakana kweli lakini awe amejilinda kwa nguvu zote kwa kufuta chochote kinachoweza kuthibitisha. Mbona juzi tu huyo huyo Joho alikua Marekani, unafikiria wale wanaweza kumuachia atie kambi kwao huko kama kuna kaukweli kokote kwenye hizo tuhuma, soma hapa Flamboyant Governor Joho tours the US in style – PHOTOS
Mbona kama unatoa povu wakati mimi nilikua nauliza tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom