masanzaone
Member
- Jul 7, 2013
- 6
- 1
Mkuu wa shule ya sekondari Igoma iliyoko jijini Mwanza bwana Bregrey j. Nyakyuma amesemekana kuongoza shule kwa kuwagawanya makundi walimu wake huku akionesha udhaifu mkubwa kwa upande wa walimu wa jinsia ya kike.
Taarifa kutoka shuleni hapo zinaonesha walimu wameonekana kukerwa na tabia na mwenendo mzima wa uongozi wa mkuu huyo wa shule ya sekondari Igoma huku wengine wakilalamikia kuwa uelewa mdogo wa baadhi ya wakuu wa shule katika masuala mazima ya uongozi ni changamoto kubwa katika uendeshaji wa shule hizi za sekondari ikiwa ni pamoja na mkuu huyu wa sekondari Igoma.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mkuu huyu imesemekana pia kuwa na mawazo mgando yaani mkuu asiyeweza kuenenda na hali ya mabadiliko au kushaurika.
Mkuu huyu ameonesha udhaifu mkubwa na kusemekana kuwa mwalimu yeyote anaeonekana kupingana nae kimawazo uchukua jukumu la kupigana nae maamuzi ambayo ni ya kijima katika ulimwengu huu wa sayansi na tecknolojia na kwa kiongozi yeyote.
Baadhi ya walimu wamekuwa wakiondoka katika shule hiyo. Hata hivyo tuna wasiwasi mkubwa juu ya uteuzi wa mkuu huyu kama ulifuata vigezo maana uwezo wa kuongoza shule ni mdogo kwa mkuu huyu wa shule mambo ambayo yanapelekea kushusha kiwango cha utendaji kazi mashuleni.
Taarifa kutoka shuleni hapo zinaonesha walimu wameonekana kukerwa na tabia na mwenendo mzima wa uongozi wa mkuu huyo wa shule ya sekondari Igoma huku wengine wakilalamikia kuwa uelewa mdogo wa baadhi ya wakuu wa shule katika masuala mazima ya uongozi ni changamoto kubwa katika uendeshaji wa shule hizi za sekondari ikiwa ni pamoja na mkuu huyu wa sekondari Igoma.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mkuu huyu imesemekana pia kuwa na mawazo mgando yaani mkuu asiyeweza kuenenda na hali ya mabadiliko au kushaurika.
Mkuu huyu ameonesha udhaifu mkubwa na kusemekana kuwa mwalimu yeyote anaeonekana kupingana nae kimawazo uchukua jukumu la kupigana nae maamuzi ambayo ni ya kijima katika ulimwengu huu wa sayansi na tecknolojia na kwa kiongozi yeyote.
Baadhi ya walimu wamekuwa wakiondoka katika shule hiyo. Hata hivyo tuna wasiwasi mkubwa juu ya uteuzi wa mkuu huyu kama ulifuata vigezo maana uwezo wa kuongoza shule ni mdogo kwa mkuu huyu wa shule mambo ambayo yanapelekea kushusha kiwango cha utendaji kazi mashuleni.