Mkuu wa Shule na Mzazi wa Mwanafunzi walinitengenezea zengwe hadi nikafukuzwa kazi

Asante k
wa ushauri, nitaufanyia kazi mkuu
 
Nimekuelewa vizuri, nchi kubwa sana hii, nilikoanzia kazi ni kijijini sana hakuna zaidi na ni halmashauri hii hii baadae nakahama.
Pia sijaficha chochote kosa langu ni hilo moja tu nililotuhumiwa nalo.

 

Attachments

  • Screenshot_20240317-073151~2.png
    55.1 KB · Views: 9
I bet kuna taarifa umezificha,hujaelezea. Huwezi kufukuzwa kazi kirahisi hivyo..kwa story kama hyo
 

Attachments

  • Screenshot_20240317-073151~2.png
    55.1 KB · Views: 11
Shukran sana kwa mawazo mema
 
Ukweli unajua mwenyewe ila naamini haijasema kweli toka kwenye moyo wako.

Ukisema kweli nitakusaidia.
Kazi ni kwako kusema kweli au kuendelea kuongopa huku ukiwa jobless.
Msaada wa watu ni kitu pekee ninachokihitaji kwa sasa, na natambua ni lazima niwe muwazi. Niliyoyasema yote ni sahihi kiongozi hivyo karibu kwa msaada tafadhari.
 
Umesema vyema kabisa. Hiyoo team yote haitotaka kuonekana hawatoshi, lazima watatak kuthibitsha zaid, udhalimu wao.
Maana kwa System ya sasa, kila mtu hapo anamjua mtue, unaweza kwenda kufatilia rufaa, unaye muandikia rufaa ana ushikaji na hao , unakuta email zako au barua zako zina somwa na unao walalamikia [emoji16].

Kama una connection fight, zama Wizarani kajiripue, ila kama ndio wale wanyonge, utashangaa kesi inachezeshwa ktk jinai huko, so mahakama za kiraia zitahusishwa..

By the way, kumbuka kuna watu wana ubaya mwingi sana, mtu anaweza kuongea uongo ,akijua matokeo yake ni kukupoteza na anaongea uso mkavu na kiapo juu.
 
Hizi drama zoote zimeanza kisa ulikuwa unajaribu kum satsify mwanamke kwa namna moja au nyingine, na wala sio kwa ubaya nia ilikuwa njema kabisa. Mwanangu punguza shobo na hawa wanawake watakuja kukukost big time, your career is at an edge of a cliff because of a woman, hili likiisha salama redefine the way you deal/treat women sikatai ni mama zetu ila mwanamke pekee anaeweza kukuelewa na kukuthamini mpaka mwisho ni mama yako mzazi tu. Fear women.
 
Kama KunA kitu una pindisha ebu nyoosha tujue jinsi ya kukusaidia. Nawajua walimu walio wapa wanafundi mimba. Na bado Wana dunda kwenye ajira zao...Yani wewe kuhusiwa tu uwe chanzo Cha kufukuzwa tena bila uthibitisho😭😭😭😭

Nyoosha maelezo ndugu yangu...jf ni jukwaa kubwa...!​
 
Nimewka wazi kila kitu, karibu kwa ushaur
Inaonesha wewe mwl ulikuwa karibu na huyo mwanafunzi, kuna shida mahali haiwezekani kila kiongozi awe against wewe

shukrani sana kwa maelezo yanayoeleweka mkuu.
 
Nimenyoosha kwa kiwango changu cha juu kabisa kiongozi
 
Mwalimu Ni mwalimu tu

Just imagine mwalimu anashindwa kuandika kwa Aya
Hiko ni kitu kidogo sana mkuu cha msingi umepata ujumbe. Unadhani hajui kuwa ilipaswa apangilie aya? Unajua alikuwa katika hali gani kimawazi wakati anaandika huu ujumbe? Hakuna Jambo linaloleta frustrations kubwa kama kuzuiliwa kukatiwa njia inayokupatia ridhiki.
Tujifunze kuvaa uhusika wa jambo kabla ya kutoa ushauri
 
Pole. Mwalimu Mkuu angeweza kukuita tu mkazungumza kuwa unachotaka kufanya kitahatarisha ajira yake halafu kwa pamoja mngekuja na hitimisho, hapakupaswa kuwa na vita.

Ila bado hilo la mzazi kushirikiana na mwalimu ambaye ndiye mbaya wake kukusingizia unatembea na mwanae bado halijakaa sawa, aliahidiwa nini? Anyway kila la heri, haki yako ipatikane.
 
Tsc wilaya hawana welding wa kuamua kesi za walimu wengi wana mihemko na kati ya jambo la hovyo ambalo serikali imelifanya ni kuwapa uwezo Tsc wilaya kufukuza kazi walimu, walimu wengi wataumia kupitia huo mfumo.

Hapo mwamba ulichotakiwa kufanya kabla hujakata rufaa ulipaswa uje humu kuomba ushauri huu au kukutana na mwanasheria au expert wa hiyo field ili akusaidie.

Pengine muda huu unaposubiri majibu ya rufaa yako kuna vitu umeshajichanganya wkt wa kujibu rufaa hiyo hivyo ni rahisi tena kuliwa kichwa ktk ngazi ya juu ya rufaa yako simply because pengine ulijibu rufaa hiyo kwa mihemko au jazba kwa vile urihisi umeonewa.

Cha kukushauri zaidi kama utaweza nitafute box, tuma na utetezi wako tuone umejibu nn kulingana na ulivyotuhumiwa ili tuone kama utaweza kujinasua kwenye huo msala unless unaweza kuwa jobless hvhv unajiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…