Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Beton ni kwa Kifaransa kwa Kiswahili ni Zege.Swadakta, au ukipenda Bonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beton ni kwa Kifaransa kwa Kiswahili ni Zege.Swadakta, au ukipenda Bonge
Sawa sawaBeton ni kwa Kifaransa kwa Kiswahili ni Zege.
Wanapiga mziki mzuri utadhani wana AmaniWacongo waachane kwanza na kina Fali Ipupa na Fele Gora wafanye kazi hii ya kusafisha nchi.
Yupo baby wa Irene Uwooooo yaaaahEmilie Mberagababo Castro akiwa ktika picha ...umemtambua nani hapo mwingine?
Hahahahahaha,sasa umejua kwann KDF ilifeli kule DRCYupo baby wa Irene Uwooooo yaaaah
Hii picha imekatwa tafuta iliyofull uone pembeni yuko na akina nani
Daah sura yake aiendani na anayofanya au naongopa mkuu?
🤣🤣mpaka General wa Kdf akawa analia maisha yake yapo hatarini ,alinichosha sasa unajua kabisa uko uwanja wa medani alitaka sijui akutane na mapisi kali na mibia na minyama choma 🤣🤣🤣Hahahahahaha,sasa umejua kwann KDF ilifeli kule DRC
Hawa wapumbavu walinikera sana kumuuza Col. Ndala.Basi bale bamutu ba congo wanapenda sana anasa na faranga, hapo wataanza kutajana mpaka aliyerusha hiyo drones kwa kupewa faranga wanauzana ,nakumbuka hadi kesho kifo cha mwanamwema wa congolee Colonel Mommadou Ndala
Hahahaha🤣🤣mpaka General wa Kdf akawa analia maisha yake yapo hatarini ,alinichosha sasa unajua kabisa uko uwanja wa medani alitaka sijui akutane na mapisi kali na mibia na minyama choma 🤣🤣🤣