Mkuu wa Wilaya Jokate azuru Afrika Kusini kutangaza zao la mkonge na bidhaa zake pamoja na masuala ya uhifadhi wa wanyamapori na mazingira

Mkuu wa Wilaya Jokate azuru Afrika Kusini kutangaza zao la mkonge na bidhaa zake pamoja na masuala ya uhifadhi wa wanyamapori na mazingira

Jokate anatangaza mkongwe Made in Korogwe,

Atakuja mwingine ndizi Made in Rombo,

Korosho Made in Tandahimba,

Ulanzi Made in Iringa,

Kwa utaratibu huu tutafika bwashee?

Hivi mkuu wa Wilaya ya Kishapu anaweza kusafiri kwenda sauzi kutangaza zao pamba?

Je huyu ni miongoni mwa watoto pendwa wa awamu hii ya kulamba asali?

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Japo unatumia infinix kupost ila una point.
 
Hizi ni mojawapo ya habari za kukera ambazo vyombo vya habari au media hurepoti.

Kimsingi tunaongelea mkuu wa wilaya kuwa nje ya nchi kutangaza maswala ya wizara ya viwanda na biashara wakati kuna watu kwaajiri ya hilo jukumu na wanalipwa mshahara hawa watu.

Sasa unajiuliza alienda kwa kujiamulia mwenyewe ili Rais amuone na imtengenezee political milage au ilikuwaje akawa na tukio la hivi?!

Haya mambo yanachukiza sana kama si kukera.
 
Hongera sana, kamaliza uzazi?
Kamuachia baba watoto huyo mtoto?
Mtoto ameanza kulishwa vyakula huku hajatimiza mwaka?
Ba-watoto wake [imarisha-bei] kama ndio yeye anaishi naye ama Jo-ako mwenyewe?
WAnaume tusikimbie majukumu, mtoto kulelewa upande mmoja inaumiza sana, anakosa ujasiri.

HONGERA JOKATE.
Usiongee mengi, ameendanaye na mdada, kwani shida iko wapi.
 
Back
Top Bottom