Jokate anatangaza mkongwe Made in Korogwe,
Atakuja mwingine ndizi Made in Rombo,
Korosho Made in Tandahimba,
Ulanzi Made in Iringa,
Kwa utaratibu huu tutafika bwashee?
Hivi mkuu wa Wilaya ya Kishapu anaweza kusafiri kwenda sauzi kutangaza zao pamba?
Je huyu ni miongoni mwa watoto pendwa wa awamu hii ya kulamba asali?
Sent from my Infinix X658E using
JamiiForums mobile app