Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hata usitishike mkuu hapo n MINAKI SECONDARY nilikuwepo hapo Jana walikuwa wanazindua uwanja wa basketball ambao kocha wa toronto raptots ya usa alitoa ahad ya kujenga viwanja 100 Africa.Huo sasa ulimbukeni wa kuning'inia kwenye mabega ya diplomats
Mkuu wa wilaya Mh.Nikkj wa Pili ameweza kushawishi mabalozi wa shelisheli na Canada kwenda Kisarawe na kuwekeza.
Hii ni zaidi ya hatua, Mh. Nikki wa Pili ameonyesha njia na uwezo mkubwa kioungozi kwa kushawishi wanadiplomasia wakubwa kwenda kuwekeza kisarawe.
Hili ni Jambo la kupongezwa na kuunga mkono naa kila mtu.
Haya ndio mambo sasa, hakika mkuu wa wilaya huyu anaacha alama kubwa Sana ya uongozi hapa nchini.
#kisarawe mpya#
#nipo na mama 2025#
#kazi iendelee#
Nick ameishia kupiga picha tu ,hao walienda kwenye ufunguzi wa uwanja wa basketball, Kongole kwa JokateMkuu Kama Hilo bango linahusihana na hao mabalozi limeandikwa GIANTS OF AFRICA sio kweli ukisemacho
HILO BANGO HALIHUSIANI NA UKISEMACHO
unamjua MASAI UJIR WA TORONTO RAPTORS?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa atakuwa ni chawa wa ni Niki minajiHata usitishike mkuu hapo n MINAKI SECONDARY nilikuwepo hapo Jana walikuwa wanazindua uwanja wa basketball ambao kocha wa toronto raptots ya usa alitoa ahad ya kujenga viwanja 100 africa
Kocha anaitwa masai ojir pia n mkurugenz wa giants of africa iliyo chini ya timing ya Toronto raptors
Juhud za ujenz wa uwanja huu zimetokana na JOKET MWEGELO wakat akiwa DC wa kisarawe ilitokana MASAI OJIR kuvutiwa na juhud zake za ujenz wa uwanja wa basketball pale JANGWANI SEC kabla hajawa mkuu wa wilaya so jamaa wakampa chance ya kujenga uwanja kisarawe kipind akiwa mkuu wa wilaya
Jamaa aliyeleta mada nadhan n wale CHAWA wa DC NICK WA 2
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umeelewa concern yangu au unanipa maelezo tu ilimradi umeandika unachokijua?Hata usitishike mkuu hapo n MINAKI SECONDARY nilikuwepo hapo Jana walikuwa wanazindua uwanja wa basketball ambao kocha wa toronto raptots ya usa alitoa ahad ya kujenga viwanja 100 africa
Kocha anaitwa masai ojir pia n mkurugenz wa giants of africa iliyo chini ya timing ya Toronto raptors
Juhud za ujenz wa uwanja huu zimetokana na JOKET MWEGELO wakat akiwa DC wa kisarawe ilitokana MASAI OJIR kuvutiwa na juhud zake za ujenz wa uwanja wa basketball pale JANGWANI SEC kabla hajawa mkuu wa wilaya so jamaa wakampa chance ya kujenga uwanja kisarawe kipind akiwa mkuu wa wilaya
Jamaa aliyeleta mada nadhan n wale CHAWA wa DC NICK WA 2
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kunywa maji kwanza alafu shusha pumzi, maana naona unahema sanaMkuu Kama Hilo bango linahusihana na hao mabalozi limeandikwa GIANTS OF AFRICA sio kweli ukisemacho
HILO BANGO HALIHUSIANI NA UKISEMACHO
unamjua MASAI UJIR WA TORONTO RAPTORS?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ulitaka aning'inie kwenye mabega yako hayo?Huo sasa ulimbukeni wa kuning'inia kwenye mabega ya diplomats
Wewe ulitakaje kwani? Mbona una kiherehere sanaHata usitishike mkuu hapo n MINAKI SECONDARY nilikuwepo hapo Jana walikuwa wanazindua uwanja wa basketball ambao kocha wa toronto raptots ya usa alitoa ahad ya kujenga viwanja 100 africa
Kocha anaitwa masai ojir pia n mkurugenz wa giants of africa iliyo chini ya timing ya Toronto raptors
Juhud za ujenz wa uwanja huu zimetokana na JOKET MWEGELO wakat akiwa DC wa kisarawe ilitokana MASAI OJIR kuvutiwa na juhud zake za ujenz wa uwanja wa basketball pale JANGWANI SEC kabla hajawa mkuu wa wilaya so jamaa wakampa chance ya kujenga uwanja kisarawe kipind akiwa mkuu wa wilaya
Jamaa aliyeleta mada nadhan n wale CHAWA wa DC NICK WA 2
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio unazoMabalozi wanazo pesa za kuwekeza?
Wewe ni chawa wa nani?Huyu jamaa atakuwa ni chawa wa ni Niki minaji
Sawa zuri, ntafanya hivyo mwananguMama Zuri kafanye tafiti kwanza kabla hujanzisha thread humu.
hahahahaMama Zuri kafanye tafiti kwanza kabla hujanzisha thread humu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1312][emoji1312]Huo sasa ulimbukeni wa kuning'inia kwenye mabega ya diplomats
Maryvonne PoolBalozi wa Seychelles Tanzania anaitwa nani?
Nilitaka wewe mkewe uning'inie nikutafune kimasiharaUlitaka aning'inie kwenye mabega yako hayo?