Mkuu wa wilaya Kisarawe, Nikki wa Pili akiwa na balozi wa Shelisheli na Canada

Mkuu wa wilaya Kisarawe, Nikki wa Pili akiwa na balozi wa Shelisheli na Canada

Kunywa maji kwanza alafu shusha pumzi, maana naona unahema sana
Wala sihemi mkuu

Huyo mama n mwakikish wa ubalozi wa CANADA sababu sababu ujenz wa ule uwanja umejengwa na timu ya TORONTO RAPTORS ya CANADA inayoshiriki ligi ya NBA ya marekan

Sasa unaposema NICK amehamaisha uwekezaj huo ni UONGO MKUBWA aliyehamasisha n JOKETI MWEGELO Tena ahad ilitolewa mwaka2018 n imetimizwa mwaka huu


Wala sijakupinga ila nimekuambia ukweli unajua humu jf tupo watu wengi na habari zako huwa nazisoma Sana. na nilikuwa nakuamini lakn kuanzia Sasa habari zako SITAZIAMINI KWAN ZITAKUWA NA UONGO MWINGI SANA




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa wilaya Mh.Nikkj wa Pili ameweza kushawishi mabalozi wa shelisheli na Canada kwenda Kisarawe na kuwekeza.

Hii ni zaidi ya hatua, Mh. Nikki wa Pili ameonyesha njia na uwezo mkubwa kioungozi kwa kushawishi wanadiplomasia wakubwa kwenda kuwekeza kisarawe.

Hili ni Jambo la kupongezwa na kuunga mkono naa kila mtu.

Haya ndio mambo sasa, hakika mkuu wa wilaya huyu anaacha alama kubwa Sana ya uongozi hapa nchini.

#kisarawe mpya#
#nipo na mama 2025#
#kazi iendelee#

Aliyemshawishi balozi wa Shelisheli alikuwa Jokate, kwani alisaidia ktk ujenzi wa madarasa, uchimbaji visima na kusaidia vikundi vya wakulima wanaolima ORGANIC VEGETABLES
 
Aliyemshawishi balozi wa Shelisheli alikuwa Jokate, kwani alisaidia ktk ujenzi wa madarasa, uchimbaji visima na kusaidia vikundi vya wakulima wanaolima ORGANIC VEGETABLES
N kwel mkuu mm n mdau wanmaendeleo kisarawe linapokuja suala la kisarawe najua Mambo mengi Sana


Hawa jamaa n waongo waongo Sana kila Jambo kwao n siasa tuuu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wala sihemi mkuu

Huyo mama n mwakikish wa ubalozi wa CANADA sababu sababu ujenz wa ule uwanja umejengwa na timu ya TORONTO RAPTORS ya CANADA inayoshiriki ligi ya NBA ya marekan

Sasa unaposema NICK amehamaisha uwekezaj huo ni UONGO MKUBWA aliyehamasisha n JOKETI MWEGELO Tena ahad ilitolewa mwaka2018 n imetimizwa mwaka huu


Wala sijakupinga ila nimekuambia ukweli unajua humu jf tupo watu wengi na habari zako huwa nazisoma Sana. na nilikuwa nakuamini lakn kuanzia Sasa habari zako SITAZIAMINI KWAN ZITAKUWA NA UONGO MWINGI SANA




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bado unahema kwa nguvu sana.
Sikiliza ushauri wangu, kunywa maji then shusha pumzi alafu njoo ucomment
 
Aliyemshawishi balozi wa Shelisheli alikuwa Jokate, kwani alisaidia ktk ujenzi wa madarasa, uchimbaji visima na kusaidia vikundi vya wakulima wanaolima ORGANIC VEGETABLES
Ulikuwepo wakati anamshawishi? Una miaka mingapi? Maana sasa hivi Kuna vijana wadogo wameingia kwenye uchawi
 
Mleta mada wewe ni mke au mchepuko wa Nikki wa pili?
Acha kuwa chawa pro..!!
 
Mkuu wa wilaya Mh.Nikkj wa Pili ameweza kushawishi mabalozi wa shelisheli na Canada kwenda Kisarawe na kuwekeza.

Hii ni zaidi ya hatua, Mh. Nikki wa Pili ameonyesha njia na uwezo mkubwa kioungozi kwa kushawishi wanadiplomasia wakubwa kwenda kuwekeza kisarawe.

Hili ni Jambo la kupongezwa na kuunga mkono naa kila mtu.

Haya ndio mambo sasa, hakika mkuu wa wilaya huyu anaacha alama kubwa Sana ya uongozi hapa nchini.

#kisarawe mpya#
#nipo na mama 2025#
#kazi iendelee#

Hongera kwake Kazi nzuri
 
Back
Top Bottom