Mkuu wa Wilaya Monduli, Frank Mwaisumbe aliyepopolewa Mawe na wananchi afunguka, ampiga chini Mwenyekiti wa kijiji

Nyerere ndio alikuwa na busara??

Mijitu mko brainwashed sana. Huyo Nyerere aliwahi kumuita mpigania uhuru mwenzie (kiongozi) Malaya
 
Hapo ndipo unapoona umuhimu wa Raisi kuzunguka kutatua migogoro ya wananchi

Ukweli ni kwamba huwezi kutegemea wateule wako kwa 100%, na pia Raisi kwa mamlaka makubwa aliyonayo, anampa uwezo mkubwa wa kutatua matatizo kuliko RC, DC au Mbunge

Anayeumia na nchi ni Rais kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…