Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Wewe unaelewa maana ya conflict of interest au unaleta ushabiki maandazi hapa. Huyo mteuliwa kwa misingi ya undugu anaweza akatumia madaraka vibaya kwa kuwadhulumu watu au kuwanyima haki kwa vile ameteuliwa kwa misingi ya nepotism. Hata kama anazo sifa, hakutakiwa kumpa nafasi kama ya ukuu wa wilaya ambayo ina uhusiano wa moja kwa moja na kazi ya "Baba" yake. Je atawatendea haki wapinzani wa "baba" yake? Je mkuu wa mkoa atakuwa na uhuru wa kumuwajibisha "mtoto wa raisi"?

Kama hii habari ni ya ukweli basi tukubaliane kuwa misingi ya utawala bora imekiukwa na ifikie wakati haya mambo yawepo kwenye katiba ya nchi.
Well said mkuu
 
Ingekuwa hivyo unavyosema ni kweli basi leo Kenya kusingekuwa na crisis, kuna ishu kubwa kwamba watu wanapendelewa kwenye uongozi!
Nani kakuambia Kenya hayo hayapo? Tunazungumzia teuzi za Rais hapa. Na sio kila kiongozi ni mteule wa Rais. Nitajie kiongozi mmoja tuu wa kuteuliwa na Kenyatta ambaye kalalamikiwa
 
Shida ipo wapi dogo kasoma akili zipo uwezo ni mkubwa unahofu nini?

Je unaweza kututhibitishia pia kwamba mchakato wa selection kwenye hiyo position aliyokuwa nayo huko 'tanroads' nao ulizingatia usawa kwa wengine wote walio apply hiyo same position?
 
Aisee hata majungu naona huyajui. Hivi mtu kama anao uwezo na ni ndugu wa kiongozi ina maana hasipiwe nafasi? Tafakari kwanza unapoamua kuleta hoja. Umeandika mwenyewe sifa zake na anaonesha ni mpiganaji na anafaa kushika nafasi hiyo. Sometimes tuache majungu tusonge Mbele. Hakuna tatizo lolote kwa huyo mkuu wa wilaya kupewa nafasi.

Ushauri, tafuta sifa, fanya kazi kwa bidii utafanikiwa na kushika nafasi za juu. Nchi ya Tanzania bado inaangalia merits Zaidi, waweza kuibuka toka kokote ukifanya bidii. Mfano ni wa huyo unayemlalamikia kuchagua, angalia History yake na sasa ni nani. Chapa kazi tafuta elimu, maarifa kwa bidii

Katika sifa zilizowekwa kwenye hii post ni ipi hiyo inayompa huyu dogo sifa ya kuwa mpiganaji? Ni hiyo kufanya kazi tanroads au ni hiyo ya kuwania viti maalum?

Je mchakato wa selection kwenye hiyo position aliyokuwa nayo huko 'tanroads' ulikuwagaje? Hivi ni nani aliyekuwaga na dhamana na 'tanroads'? Embu msituchoshe na haya mautetezi yenu yasiokuwa na mantiki!
 
Ni katika kujiimarisha zaidi,qualifications is enough,you need to know somebody more than that
 
ha ha ha mtoto katoka udom juzi tu ameshapanda hadi kuwa regional h.r manager....

mimi kwenye ukuu wa wilaya sijashangaa sabab ni kuteuana tu.. hata demu wako au msela wako unamteua tu ukiwa rais..

ila hiyo ya kuwa h.r manager tanroads wa mkoa wa tanga baada ya kutoka udom juzi juzi hapo ngumh kumeza

Haya ndio tunayoyapigia kelele watanzania ambao ndio wazalendo maana kiukweli taifa limekwama kwa ujinga kama huu, haya huyu tumemsikia na tunamjua na ni wa mkubwa sana, je hao wengine ambao wapo kwa sababu mjomba, baba,shangazi ni mkurugenzi!!! utakuta mnyororo ni mrefu sana. Tuna haja kama taifa tuwe serious na issue hizi ziwe fair kama ni mwanao lazima afuate taratibu ambazo wengine tunapitia na tumpe kweli kazi kwa kupitia mchujo ulio fair kwa maana baada ya kushindanishwa na magenious wenzake maana huyu dada inaoneka ni genious.... Tunahitaji kuwa serious kutoka hapa tulipo...
 
Sijui watu hawajaelewa nini....Kwani hapa kuna mahali imesemwa kuwa huyo dada hakustahili?Au mada kuna mahali imesema huyo dada hana sifa?Kwani kutoa taarifa siku hizi imekuwa ni "uhaini"?Mbona vijana humu mnatukana sana na mikwara kibao inbox?

Watu wanwapa binadamu wenzao vyeo vya malaika
 
Kwan ukiwa Rais ni dhambi kumteaua nduguyo kushika wadhifa hata kama ana sifa?
 
Hata kama ni mtoto wa Rais kosa liko wapi. Ni wapi kulikoandikwa miiko ya watoto wa Ma-Rais wasiteuliwe kushika vyeo mbali mbali aerikalini. Mbona haujahoji Hussein Mwinyi, mbona haujahoji Ridhiwan kikwete na wengine. Watu mmejaa roho mbaya tu na ndiyo maana nchi haipigi hatua ya maendeleo kwa sababu ya roho ya kwanini.
 
A leader must have the courage to act against an expert's advice.
 
Back
Top Bottom