Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 920
- 994
- Thread starter
-
- #21
Kazunguka sana mkuu,Miaka zaidi ya kumi anahangaika ujue kapita kote,nia sasa ni kumfikia Mhe Rais.Kwenye hizi kesi ndogo wanazimaliza wenyewe zile kesi kubwa za mapapa ndio inabidi wamuulize manake kuna nyigine ukizigusha nchi inapasuka siku iyo iyo inabidi kuzipotezea
Amekata tamaa baada ya kuhangaika kote huko,Miaka zaidi ya kumi kwa sasa ni mgonjwa,Kama yuko NSSF Kinondoni aende akamuone Meneja wa Madai Kinondoni. The guy is very smart
You are strong than what you think...
Anafahamu ndio maana anazipiganiaTanzania bado tuna safari ndefu sana kama mkuu wa wilaya mstaafu hajui hata haki zake , yaani mtu ambaye amekuwa kiongozi wa ulinzi na usalama kwa miaka 16 katika wilaya usika tuanze kumtetea je walimu na manesi itakuwajeView attachment 1061975
Kaandika sana mkuu,nakwambia Ni zaidi ya Miaka kumi sasa anahangaikaMuandikie barua Rais au ukiweza nenda bungeni Dodoma,mtafute waziri WA utumishi.Pambana mkuu
Hakuwahi.Alisaidia kuzuia mikutano mingapi ya hadhara au kuwaweka raia wangapi ndani masaa 48 wakati wa utendaji wake!?
Tuanzie hapo
Nitajaribu kupita huko kwa niaba,ila alipita Sana huko kabla ya kuanza kuumwa...imepita Miaka kumi ya uvumilivu na kuamini atapata bila mafanikioAende lumumba atapata msaada polepole atamsaidia najua huyu ni mpiga kura sugu wa CCM
May be karma on workAlisaidia kuzuia mikutano mingapi ya hadhara au kuwaweka raia wangapi ndani masaa 48 wakati wa utendaji wake!?
Tuanzie hapo
Wala rushwa wana mioyo migumu sana. Nakumbuka mzee sozigwa alisumbuliwa kuhusu mafao hadi anaaga dunia sijui kama walimlipa. Hao hua wamepofushwa ni kizazi cha nyoka. Hawaelewi historia au haki wanawaza kwa tumbo zao tu ndio maana akitokea muadilifu kuwafuatilia wanashikwa mara moja.Heshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)
Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika
Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.
Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.
Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.
NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.
Natanguliza Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania bado tuna safari ndefu sana kama mkuu wa wilaya mstaafu hajui hata haki zake , yaani mtu ambaye amekuwa kiongozi wa ulinzi na usalama kwa miaka 16 katika wilaya usika tuanze kumtetea je walimu na manesi itakuwajeView attachment 1061975
Amekata tamaa baada ya kuhangaika kote huko,Miaka zaidi ya kumi kwa sasa ni mgonjwa,
Angependa kilio chake kimfikie Mhe Rais
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kuna tatizo pahala hulijui au hutaki kulisema wazi
You are strong than what you think...
Heshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)
Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika
Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.
Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.
Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.
NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.
Natanguliza Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani pensheni nani analipa?,si ni haya mashirika kama pspf?,sasa hapa tatizo liko wapi hasa kama alikuwa mtumishi wa serekali?
Alisaidia kuzuia mikutano mingapi ya hadhara au kuwaweka raia wangapi ndani masaa 48 wakati wa utendaji wake!?
Tuanzie hapo
Wacha alipe maumivu ya wapinzani alio shiriki kuwanyima haki zaoMuandikie barua Rais au ukiweza nenda bungeni Dodoma,mtafute waziri WA utumishi.Pambana mkuu