Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amewasili na kutimiza Haki yake ya Msingi ya Kikatiba ya Kupiga Kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao Leo Novemba 27, 2024 unafanyika Tanzania Bara.
DC Mpogolo amepiga kura yake katika Mtaa wa Karume uliopo Kata ya Ilala, akiwa hapo amewahimiza Wananchi kuendelea kujitokeza Ili Kushiriki zoezi hilo la Kuchagua Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa pamoja na Wajumbe katika eneo hilo.
Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam ina jumla ya mitaa 159.
DC Mpogolo amepiga kura yake katika Mtaa wa Karume uliopo Kata ya Ilala, akiwa hapo amewahimiza Wananchi kuendelea kujitokeza Ili Kushiriki zoezi hilo la Kuchagua Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa pamoja na Wajumbe katika eneo hilo.
Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam ina jumla ya mitaa 159.