Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ludigija kwanini uliendesha bomoabomoa Vingunguti akikiuka agizo la Rais?

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ludigija kwanini uliendesha bomoabomoa Vingunguti akikiuka agizo la Rais?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale Chato ndio kwao na nduguye Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je, huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
 
Mkuu naona umeamua kuja kimajungu kupitia uzi huu. Unajaribu kuihusianisha Chato na ufanisi wa utendaji wa Lubigija ili umpakazie kwa Mama Samia.

Huu uzi ni so cheap kutoka kwako kwani lengo lako la kishamba limeshastukiwa na kila anayeusoma huu uzi. Badilika kiakili na ukue uondokane na akili hizi za kichonganishi.
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Unaonekana una tatitizo la uelewa wa chini kabisa.baadaye utakuja kuelewa tuuu
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Kwahiyo umeona hapa jf ndiyo ubao wa matangazo?

Huo ushauri wako peleka lumumba kwa maccm wenzako
 
Mkuu naona umeamua kuja kimajungu kupitia uzi huu. Unajaribu kuihusianisha Chato na ufanisi wa utendaji wa Lubigija ili umpakazie kwa Mama Samia.

Huu uzi ni so cheap kutoka kwako kwani lengo lako la kishamba limeshastukiwa na kila anayeusoma huu uzi. Badilika kiakili na ukue uondokane na akili hizi za kichonganishi.
Mbona umecharuka kama nyuki?
Au kwakuwa kaguswa mwana chato mwenzako?
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Machinga acha washughulikiwe mpaka wapate akili
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Basi hata mkuu wa mkoa wa pwani kunenge ni wa huko naye mtoeni maana hawatakiwi!
 
Utaratibu walioweka Waziri Mkuu na Rais ni Upi ?

Hizi Kauli za Kisiasa zisizotekelezeja ni shida sana...., Sababu kisheria pale walipo ni sahihi ?, Kwahio wawashike na kuwatia ndani kwa kuvunja sheria za Tanroads, mipango miji, mazingira n.k. ?
 
Nimelifikiria sana jambo hili ni kwanini zoezi lile limefanyika halafu mkuu wa wilaya anadai hajui nikahisi kuna watu ndani ya serikali wanashirikiana na kikundi kilichokasirishwa na urais kumuangukia Mh.Samia(kwa mujibu wa katiba) hiki kikundi inasemekana kilifanya jitihada kubwa ili kuzuia katiba kufuatwa lakini kikaangukia pua, Rais awe macho na kikundi hicho (Polepole,Bashiru,Gwajima and Co.)
Nb: Naunga mkono maagizo ya serikali kuwapanga machinga lakini Rais ameelekeza namna anavyotaka maagizo yake yatekelezwe hivyo wale viongozi wachache wenye malengo yao mengine ama wajiweke pembeni ama wasubiri kushughulikiwa.
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Sasa kama inabidi wahame unataka mabanda yabaki kwa kazi gani?
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Majungu tu.
 
Mkuu naona umeamua kuja kimajungu kupitia uzi huu. Unajaribu kuihusianisha Chato na ufanisi wa utendaji wa Lubigija ili umpakazie kwa Mama Samia.

Huu uzi ni so cheap kutoka kwako kwani lengo lako la kishamba limeshastukiwa na kila anayeusoma huu uzi. Badilika kiakili na ukue uondokane na akili hizi za kichonganishi.
wewe utakuwa ludigija nwenyewe au shemeji yake majona yanafanana[emoji1787][emoji1787]
 
Na kaka yao Kalemani amekwenda na maji.
Bado Dotto, wizara ya viwanda na biashara imedorora sana, hajafanikiwa kuleta changamoto yoyote, amepwaya,hawa walikuwa wanashindana kujenga magorofa pale chato
 
Halafu Kuna machinga wa maeneo mengine Bado wamelaza bidhaa za mamilioni barabarani eti mama kasema tusibomolewe.
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale chato ndio kwao na nduguye, Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Kumbe anatokea chato basi anatumiwa kisiasa
 
Back
Top Bottom